Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hio sentensi ni sawa na "Pre-Breakout""Yule ni rafiki yangu tuu ...... sifanyi nae chochote ......",hapo jiandae kiakaili na kaa mkao wa kupigwa kibuti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio sentensi ni sawa na "Pre-Breakout""Yule ni rafiki yangu tuu ...... sifanyi nae chochote ......",hapo jiandae kiakaili na kaa mkao wa kupigwa kibuti.
They are real in real shit(kuigiza).Mpo real kivipi
😂 LIFO itaapply kwa kazi mbovuNi FIFO tu
Huenda kama ni hivyo yupo sahihi.They are real in real shit(kuigiza).
Kwanini mama?Kuniita mama umenishtua daah hadi nimelia
😁😁😁😁😁😁😂 LIFO itaapply kwa kazi mbovu
Aaah wapii!!
Umeona wapi mgema anajisifiaa!?
Hahahaha umeua kaka ni ukweli mtupuKwangu mimi ni hizi:
"Nilikuwa busy sana jamani sema ntakutafuta tu nikitulia" translation sihitaji mazoea nawewe kwa sasa.
"Baby mi nalala bana im tired tutaongea kesho" ...translation...Kuna simu muhimu zaidi ya kuongea nayo kata simu yako fala wewe😂
"Wewe ni mtu wangu wa pili since nimeanza dating" ... Translation... Tuliza mshono bana wewe ni mtu wa 23 to be exact😁
Wacha tu tunyamazeee.I know my self better[emoji4][emoji4]
😂 Asa hivi nina uongo wa kiutu uzima mpaka ujue nimekudanganya ni badae sana.Bado unayatumia usitudanganye.
Mimi ninajua ila nitajifanya sijui ili nikupe ushindi unione boya kumbe nwamba nakuchora tu.😂 Asa hivi nina uongo wa kiutu uzima mpaka ujue nimekudanganya ni badae sana.
Utajua lkn kwa kuchelewa sana.Mimi ninajua ila nitajifanya sijui ili nikupe ushindi unione boya kumbe nwamba nakuchora tu.
Hiyo ya mwisho bora mtu akae kimya 😂Kwangu mimi ni hizi:
"Nilikuwa busy sana jamani sema ntakutafuta tu nikitulia" translation sihitaji mazoea nawewe kwa sasa.
"Baby mi nalala bana im tired tutaongea kesho" ...translation...Kuna simu muhimu zaidi ya kuongea nayo kata simu yako fala wewe😂
"Wewe ni mtu wangu wa pili since nimeanza dating" ... Translation... Tuliza mshono bana wewe ni mtu wa 23 to be exact😁
Maisha yako yote nitakupa tu ushindi ila ukweli nitakua naujua.Utajua lkn kwa kuchelewa sana.
Hahahahaha kumbe ndio zako eehHiyo ya mwisho bora mtu akae kimya 😂
Sawa baba parokwo 😸Maisha yako yote nitakupa tu ushindi ila ukweli nitakua naujua.
Aah wee mimi huwa sisemi idadi ya watu wangu wawe kirundo ama kidogo yaani ni marufuku 😸😸😸Hahahahaha kumbe ndio zako eeh