EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Namchukia rafiki yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepita mule mule mkuu 😂Kwangu mimi ni hizi:
"Nilikuwa busy sana jamani sema ntakutafuta tu nikitulia" translation sihitaji mazoea nawewe kwa sasa.
"Baby mi nalala bana im tired tutaongea kesho" ...translation...Kuna simu muhimu zaidi ya kuongea nayo kata simu yako fala wewe😂
"Wewe ni mtu wangu wa pili since nimeanza dating" ... Translation... Tuliza mshono bana wewe ni mtu wa 23 to be exact😁
Nawewe si unasemaga hivyo hivyo?Siwaelewagi watu wanaodai wapo busy. Huwezi kuwa busy kwa mtu unaempenda kweli hivi hata kutuma tu sms nayo isiwezekane? Nikishaskia hizi kauli najua tayari.
Ma parokwo we muongo sana, ukuje piem basi 😅Sawa baba parokwo 😸
Mimi nshazeeka uongo nimewaachia vijana 😂Ma parokwo we muongo sana, ukuje piem basi 😅
😂😂 Sijawahi. Nina uongo wangu tofauti kabisa.Nawewe si unasemaga hivyo hivyo?
Huo tofauti kwangu ndio kawaida.😂😂 Sijawahi. Nina uongo wangu tofauti kabisa.
Mzee ni Grahams tu nyie wengine mnajipendekezaMimi nshazeeka uongo nimewaachia vijana 😂
😸 Sawa sawaHuo tofauti kwangu ndio kawaida.
ThibitishaHakuna mzee pale ni fix tu 😂
Si picha zinajieleza labda kama anatuma ambazo si zake. Hakuna mzee wa vile 😸😸Thibitisha
😂 kumbe na picha unatumiwaSi picha zinajieleza labda kama anatuma ambazo si zake. Hakuna mzee wa vile 😸😸
Mlichoambiwa/ mlichoongea na nyoka.😀😀😀 wanumee, mnataka tuwaambie maneno gani ndiyo mtuamini?
Broo upo wapi? Nataka nikufuturishe bila kusahau kukununulia nguo za Eid El Fitr maana umepita mulemule qmmqe 😁😁😁😁Kwangu mimi ni hizi:
"Nilikuwa busy sana jamani sema ntakutafuta tu nikitulia" translation sihitaji mazoea nawewe kwa sasa.
"Baby mi nalala bana im tired tutaongea kesho" ...translation...Kuna simu muhimu zaidi ya kuongea nayo kata simu yako fala wewe😂
"Wewe ni mtu wangu wa pili since nimeanza dating" ... Translation... Tuliza mshono bana wewe ni mtu wa 23 to be exact😁
Wee usitake kunipa kesi huwa naziona selfika.😂 kumbe na picha unatumiwa