Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
sawa sawaWee usitake kunipa kesi huwa naziona selfika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa sawaWee usitake kunipa kesi huwa naziona selfika.
Jamani 🙆Hakuna mzee pale ni fix tu 😂
Mzee file lako lina utata kidogo, naanza kupata mashaka na uzee wako.Hewaa 🤝
Vyema Wazee tuendelee kuheshimiwa 🤗
Alikuwa anapenda sana chini"Usimuamini mwanamke yeyote isipokuwa mama yako" hii kauli alinambia bro mmoja alipigwa tukio na mkewe nilolishuhudia yule bro alikuwa muislam pure ila tangu yamkute kwa sasa mlevi mbwa
😂😂😂 Hellow!!!Jamani 🙆
Wazee hatuna nafasi ya kusema uongo 🤗
Hahaa[emoji28][emoji28]imenikuta kwa mwanachuo mmoja eti ananambia nataka we ndio uwe mwanaume wangu wa kwanza, nikajua hapa naenda bikiri mtu. Heeee shenzi mngoni yulee
Ebu muache una matatizo gani lkn 😂
Eti nimeambiwa hutaki kuamini kwamba nimekula chumvi nyingi 😜😂😂😂 Hellow!!!
Wazee wenzio washalalaWazee hatuna nafasi ya kusema uongo 🤗
Wazee Umri umetutupa Mkono mjue 😜
Niache 😀Ebu muache una matatizo gani lkn 😂
😂😂 Siamini. Hakuna mzee wa aina yako.Eti nimeambiwa hutaki kuamini kwamba nimekula chumvi nyingi 😜
Ndiyo namalizia kuvuta tumbaku yangu ndiyo nilaleWazee wenzio washalala
SikuachiNiache 😀
Khaa!Kwangu mimi ni hizi:
"Nilikuwa busy sana jamani sema ntakutafuta tu nikitulia" translation sihitaji mazoea nawewe kwa sasa.
"Baby mi nalala bana im tired tutaongea kesho" ...translation...Kuna simu muhimu zaidi ya kuongea nayo kata simu yako fala wewe😂
"Wewe ni mtu wangu wa pili since nimeanza dating" ... Translation... Tuliza mshono bana wewe ni mtu wa 23 to be exact😁
Alikudharau sanakwa kifupi kila neno litokalo kwa mwanamke linapaswa kupitishwa kwenye CT SCAN, ANT VIRUS, ULTRA SOUND na kila aina ya vipimo uvijuavyo...
mimi nili date na mtoto wa 2000 way back akaniambia hajawahi kukutana na mwanaume for over 3 yrs, nikamini... Hio ni long distance r/ship
kmmk siku tunakuja kukutana nakuta ana mimba ya miezi minne ya mshkaji jirani yake..
kmmk simwamini Ke yeyote kwenye mahusiano