Maneno gani huyaamini kutoka kwa mwanamke?

Maneno gani huyaamini kutoka kwa mwanamke?

Brothers niaje kaka zangu leo ngoja niwape ka challenge, ni maneno gani ukiambiwa na mwanamke unahisi ni uongo?

Kwa mfano mi demu aisee akinambia eti "upo peke yako" yaani hapo ndo nazidi kupata mashaka nahisi nasaidiwa😀😀
Au akinambia nakupenda ndiyo siaminigi kabisa.

Vipi kwa upande wako maneno gani huyaamini kutoka kwa hizi species
Zaidi ya Mama yangu, simuamini mwanamke yeyote, naona kila waniambiacho ni uwongo mtupu kwangu
 
Siamini yote, naamini maneno ma 2 tu:

1. Chakula kiko tayari maana nita
Brothers niaje kaka zangu leo ngoja niwape ka challenge, ni maneno gani ukiambiwa na mwanamke unahisi ni uongo?

Kwa mfano mi demu aisee akinambia eti "upo peke yako" yaani hapo ndo nazidi kupata mashaka nahisi nasaidiwa😀😀
Au akinambia nakupenda ndiyo siaminigi kabisa.

Vipi kwa upande wako maneno gani huyaamini kutoka kwa hizi species

Yote siamini, labda vitu vya kuonekana kama chakula tayari, etc, nisivyoweza kuthibitisha siviamini vyote.
 
Brothers niaje kaka zangu leo ngoja niwape ka challenge, ni maneno gani ukiambiwa na mwanamke unahisi ni uongo?

Kwa mfano mi demu aisee akinambia eti "upo peke yako" yaani hapo ndo nazidi kupata mashaka nahisi nasaidiwa😀😀
Au akinambia nakupenda ndiyo siaminigi kabisaa naona kama anataka kibunda changu tu.

Vipi kwa upande wako maneno gani huyaamini kutoka kwa hizi species
"napenda kitambi chako....."
 
Back
Top Bottom