Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Kweli nimezeeka Mkuu, kama utakuja Siku ya Mtoko wa JF utaniona ninavyotembelea mkongojo 🤗😂😂 Siamini. Hakuna mzee wa aina yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli nimezeeka Mkuu, kama utakuja Siku ya Mtoko wa JF utaniona ninavyotembelea mkongojo 🤗😂😂 Siamini. Hakuna mzee wa aina yako.
kwani aliishia wapi sasa...Alikudharau sana
😀😀Mlichoambiwa/ mlichoongea na nyoka.
Zaidi ya Mama yangu, simuamini mwanamke yeyote, naona kila waniambiacho ni uwongo mtupu kwanguBrothers niaje kaka zangu leo ngoja niwape ka challenge, ni maneno gani ukiambiwa na mwanamke unahisi ni uongo?
Kwa mfano mi demu aisee akinambia eti "upo peke yako" yaani hapo ndo nazidi kupata mashaka nahisi nasaidiwa😀😀
Au akinambia nakupenda ndiyo siaminigi kabisa.
Vipi kwa upande wako maneno gani huyaamini kutoka kwa hizi species
Brothers niaje kaka zangu leo ngoja niwape ka challenge, ni maneno gani ukiambiwa na mwanamke unahisi ni uongo?
Kwa mfano mi demu aisee akinambia eti "upo peke yako" yaani hapo ndo nazidi kupata mashaka nahisi nasaidiwa😀😀
Au akinambia nakupenda ndiyo siaminigi kabisa.
Vipi kwa upande wako maneno gani huyaamini kutoka kwa hizi species
Hiyo ilikuwa siri yake uko anaposhinda mana hakuwa na mambo mengi kitaani akirudi yeye ni ndani tu.Alikuwa anapenda sana chini
Chini kwa mke wake......unajua wanawake ni wajanja sana na hii siri wanaume hawaijui.....Ukiwa unapenda sana Chini Mke anakudharau sana. Anakufanya unakuwa mtumwa na unatumika kweli kweli.Hiyo ilikuwa siri yake uko anaposhinda mana hakuwa na mambo mengi kitaani akirudi yeye ni ndani tu.
Hapo ujue ni maestro wa ku rap na kuimba na de liboBaby ujue mwenzio sijazoea..
Niko TMK mkuu, ila jioni ntakuwa Ubungo 😁Broo upo wapi? Nataka nikufuturishe bila kusahau kukununulia nguo za Eid El Fitr maana umepita mulemule qmmqe 😁😁😁😁
"napenda kitambi chako....."Brothers niaje kaka zangu leo ngoja niwape ka challenge, ni maneno gani ukiambiwa na mwanamke unahisi ni uongo?
Kwa mfano mi demu aisee akinambia eti "upo peke yako" yaani hapo ndo nazidi kupata mashaka nahisi nasaidiwa😀😀
Au akinambia nakupenda ndiyo siaminigi kabisaa naona kama anataka kibunda changu tu.
Vipi kwa upande wako maneno gani huyaamini kutoka kwa hizi species
Najua wako kirundo 😁Aah wee mimi huwa sisemi idadi ya watu wangu wawe kirundo ama kidogo yaani ni marufuku 😸😸😸
😂😂Najua wako kirundo 😁
Kabisa maana pia ni udhaifu tayari ambao atakuadhibu nao haswaaa.Chini kwa mke wake......unajua wanawake ni wajanja sana na hii siri wanaume hawaijui.....Ukiwa unapenda sana Chini Mke anakudharau sana. Anakufanya unakuwa mtumwa na unatumika kweli kweli.