Maneno gani mazito ya mwisho ungependa yasomwe kwenye msiba wako watu wayasikie

Maneno gani mazito ya mwisho ungependa yasomwe kwenye msiba wako watu wayasikie

1.Maisha sio majaribio
2.Ukipenda/kupendwa pendeka
3. Ukipewa nafasi onyesha hujachaguliwa kwa bahati mbaya
4.Ukiaminiwa onyesha uaminifu
5.Linda thamani yako
6. Tunaishi mara moja dunia haina huruma na mtu masikini
 
Unakaa chini unawaza misiba na kufa,hivi shida huwa inakuwa ni nini?🤔
 
Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote kwa akili Yako yote na kwa nguvu zako zote
Kisha ipende nafsi Yako kwa moyo wako wote
 
Assume dunia nzima au watanzania wote tupo kwenye msiba wako tunakwenda kukuzika sasa kwa ufupi tu ungepewa nafasi uandike mambo ya mwisho siku za mwisho za uhai wako ungesema hoja gani wosia wa kutuachia sisi tunaobaki.

je yupo mtu ambaye ulimpenda na yeye hakukupenda ungependa ajue au yupo mtu aliyekuumiza na kukukandamiza ungependa umchane
Ningependa watangaziwe kwamba sijafa bali nimeanza maisha mapya.
 
Back
Top Bottom