tunaendelea ....
mbuni = mademu
kupigwa inya = kupewa msosi kidogo ambao huwezi kushiba
fangafu = bakuli la msosi
bampari = mihogo ya kuchemsha
chuma = headmaster
lawino = mwalimu wa english
kakunyu = sehemu maalamu ya kujisomea
...............
(Tanga Tech hiyooo)
tunaendelea ....
mbuni = mademu
kupigwa inya = kupewa msosi kidogo ambao huwezi kushiba
fangafu = bakuli la msosi
bampari = mihogo ya kuchemsha
chuma = headmaster
lawino = mwalimu wa english
kakunyu = sehemu maalamu ya kujisomea
...............
(Tanga Tech hiyooo)
tunaendelea ....
Laiti kama watu wangejua maana ya hiyo ID yako...hahahah
Anyway swali la kizushi, "ni hui shuo Zhongwen ma??
ni zai zhongguo ma?
bu, zai tangsanniya...ni ne?
wo zai zhongguo, hai you liangge yue huilai tangsanniya
alijukana kama nyaujicho= spy wa waalimu, maharage =sumu ya wasomi,
tunaendelea ....
mbuni = mademu
kupigwa inya = kupewa msosi kidogo ambao huwezi kushiba
fangafu = bakuli la msosi
bampari = mihogo ya kuchemsha
chuma = headmaster
lawino = mwalimu wa english
kakunyu = sehemu maalamu ya kujisomea
...............
(Tanga Tech hiyooo)
Beto=maliwatoni
kudrop=kutoroka shule
kutoboa=kukesha ukisoma niko p*mbu=sina hela
Mambo ya pugu hayo,kula like