xiao_didi
Member
- Feb 26, 2013
- 7
- 2
tunaendelea ....
mbuni = mademu
kupigwa inya = kupewa msosi kidogo ambao huwezi kushiba
fangafu = bakuli la msosi
bampari = mihogo ya kuchemsha
chuma = headmaster
lawino = mwalimu wa english
kakunyu = sehemu maalamu ya kujisomea
...............
(Tanga Tech hiyooo)
mbuni = mademu
kupigwa inya = kupewa msosi kidogo ambao huwezi kushiba
fangafu = bakuli la msosi
bampari = mihogo ya kuchemsha
chuma = headmaster
lawino = mwalimu wa english
kakunyu = sehemu maalamu ya kujisomea
...............
(Tanga Tech hiyooo)