Kwanini niinunue n'gombe mzima wakati shida yangu Ni nyama Tu Na nyama buchani zimejaa. Nikitaka kwenda Mahali si ninapanda daladala Tu. Gari la milioni 60 la kazi ganiWe maskini wa akili ,gari ni kitu gani,hizo taka za japan au china mnaita gari?
Hapa leo naskia rafiki yangu mkubwa kavunja kiuno na uti wa mgongo akiendesha gari.
Mi nilipasua kichwa kwenye medula oblangata mwaka 2011 na gari mpaka leo niko chalechale tu.
Alafu kuna mshamba kama wewe unaona gari deeal sana.
Labda kwa ile CCM ya mazwazwa na washamba wa NyarugusuKabisa! Angalia kauli za bavicha kwa ccm!
Yote ile ni kujifariji,
Pesa zenyewe za urithi, mimi natafuta zangu mwenyewe"Furaha ya maskini ni watoto""
Utakimbia vyote lakini kukimbia maradhi ni mtihani mkubwa sana.Hilineno (hakuna kitu mbaya Kama umasikini) nimekua nikilirudia kila wakati kuwaambia wanangu (katika maisha yako, jitahidi kuukimbia umasikini, ujinga na maradhi).
Na hapa huwa hawatanii wanafyatua kwelikweli"Furaha ya maskini ni watoto""
Acha kumsingizia marehemu, nenda kawaulize mafukara kitu gani matajiri wanawafanyia. Mtaani kwetu kitajiri kidogo kimeamua kujenga fensi ya nyumba mpaka barabarani. Sasa hivi barabara ni uchochoro na raia hatuna cha mkumfanya. Sasa huyo ni level ya mtaa. Njoo level ya kitaifa, ndo unasikia, mafuta ya magari na mitambo bei juu, mafuta ya kupikia bei juu, sukari bei juu, vifaa vya ujenzi bei juu, na vifurushi vya mitandao bei juu. Kwa hiyo ukiona fukara anamchukia tajiri ujue ana sababu zake wala siyo huyo mwendazake.ila mwendazake aliwafanya watu mafukara wawachukie sana matajiri. sijui matajiri walimkosea nini yule jamaa.
Hata kama umeupata kwa ndele?😅Umaskini ni laana, utajiri halali ni baraka.
Ugonjwa haukimbiliki na ndipo jeuri ya Mungu ilipo hapo! Ukichapwa na ugonjwa ukakulaza kitandani tu jua habari yako imeisha hapo!Utakimbia vyote lakini kukimbia maradhi ni mtihani mkubwa sana.
Mkuu hivi matendo manono yupogo wapi siku hizi? Au Kagame kampa ushushushu?"Ka Mo Dewji kenyewe kumbe ndio haka"
Coz hiyo ndio satarehe yao, hawana pa kwenda,akirudi home hana cha kufanya zaidi ya kuichakata mbususu,Na hapa huwa hawatanii wanafyatua kwelikweli
Sikiri Mimi maskini narudi zangu nyumbaniYule Ni freemasoni, pesa za makafara mi sizitaki.....[emoji57]View attachment 2041538
Mkuu, minaamini kwamba ukipata tiba kwa wakati (usilee ugonjwa) na ukiitunza afya yako basi unaweza ukapunguza maradhiUtakimbia vyote lakini kukimbia maradhi ni mtihani mkubwa sana.
Wewe wakwako umewatengenezea hayo mazingira...??Usiishie kuwaambia tu, anza kuwatengenezea mazingira ili wavunje circle.
kupanda kwa bei mafuta na sukari matajiri wanahusikaje?.Njoo level ya kitaifa, ndo unasikia, mafuta ya magari na mitambo bei juu, mafuta ya kupikia bei juu, sukari bei juu, vifaa vya ujenzi bei juu, na vifurushi vya mitandao bei juu. Kwa hiyo ukiona fukara anamchukia tajiri ujue ana sababu zake wala siyo huyo mwendazake.