Maneno na kauli za Masikini wanapojifariji

Masikini walifurahi Sana jiwe alipowashughulikia matajiri, wakiamini umasikini wao chanzo ni tajiri.
wengine walifurahi sana mzee rugemalila kusota ndani mda mrefu...siku anatolewa akafatwa na VX, mafukara wakapigwa na butwaa.
 
Mkuu, malezi mabaya, ulevi na marafiki wabaya pia huchangia uharibifu na umasikini wa vizazi vyetu.
Mimi kijana wangu amemaliza kidato cha nne juzi, sasa kuna baadhi ya vitu vilitakiwa vihamishwe kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine, hiyo kazi nilimpa yeye na akaniuliza "baba sasa nafanyaje?" Nikamjibu kaniletee beer nyinywe kwanza alafu nitakupa maarifa. Basi mama yao akaanza kugomba kwamba nampa kijana kazi ngumu, then sikumjibu. Jioni niliporudi toka kwenye mizunguko yangu nikamkabidhi kijana ticket ya kusafiri kesho yake, Kisha nikamwambia akifika aniambie ni pesa ngapi ya gharama kusafirisha vile vitu.
Basi baada ya siku mbili, narejea toka kitaa nikakuta mizigo imeshafika, sikutaka hata kuiangalia wala kushukuru.
Then maisha yakaendelea...πŸ˜‚πŸ˜…
 
Mwanamke mmoja mlokole alishaniambia aheri niwe na mwanamme mume wangu msimangaji nikiwa kwenye benz nalia kuliko kwa mwanamme asiye na kitu eti ana maneno matamu lakini kanipakiza juu ya baskeli
 
matajiri hawalali usingizi....
😳😳😳
 
Wewe una matatizo makubwa. Unataka kulazimisha watu wafanye kazi ngumu kwa ujira unaoamua wewe kwa sababu tu wana shida?
 
Sio ujira ninao taka mimi, mimi nimetoa offer, means unaweza ukasema unataka uongezewe kiasi gani, lakini sio kusema tu hiyo kazi ngumu, sifanyi, hilo ni tatizo
Basi walikuwa na mipango mingine au kazi kama hizo hawazifanyi. Kila mtu ana haki ya kuchagua kazi . Sioni unacholalamikia hapa.
 
Majumba na pesa vyote vya kupita yakiwemo na magari ,hatukatai Ila pambana vipitie kwako na wewe sasa
 
Nashukuru Mungu hizi kauli zilizotajwa hazipo kwenye kamusi yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…