Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Nadhani tungeangalia pale tu kwenye hoja ya racism kwanza mkuu
kafiri sio ubaguzi ni sifa ya mtu ni sawa na kuitwa mpagani sio ubaguzi tatizo letu ss tunapenda kuketi kwenye viti visivio vietu
 
Mkuu huyo adamu alikua wa rangi gani kwa mujibu wa maelezo ya hivyo vitabu.Afu angalia kwenye hivyo vitabu jinsi wanavyoelezea asili ya mtu mweusi.Ndio utajua waanzilishi wa imani hizo kama hawakua wabaguzi kwa wengine.
God cares how we treat each other because we’re all created in His image (Genesis 1:27). He makes no distinction between the inherent value of one race or ethnicity over another.

Na hii hapa ni Biblia so ubaguzi ni hulka yao ila dini zao hazifundishi kubaguana.
 
kwani kusema adamu alikuwa rangi fulani huo ni ubaguzi?tatizo la watu wesi hawataki ukweli ukiambia mweusi wewe unachukia mbona muarabu mchina tukiwata weupe awasemi tunawabagua
Nilikua namjibu @ doctor Ngariba kua hata hizo dini anazozisema vitabu vyake viliandikwa kiubaguzi kuegemea watu weupe.So dini zote zilizoletwa afrika zilijengwa kwa msingi ya kibaguzi toka mwanzo.
 
God cares how we treat each other because we’re all created in His image (Genesis 1:27). He makes no distinction between the inherent value of one race or ethnicity over another.

Na hii hapa ni Biblia so ubaguzi ni hulka yao ila dini zao hazifundishi kubaguana.
Hao mungu wao pia ni wabaguzi maana adithi zao na kila kitu kimeegemea kwa watu weupe msomi
 
kwani kusema adamu alikuwa rangi fulani huo ni ubaguzi?tatizo la watu wesi hawataki ukweli ukiambia mweusi wewe unachukia mbona muarabu mchina tukiwata weupe awasemi tunawabagua
Yeah ni ubaguzi msomi.Kwanini wasiseme adamu alikua mweusi.Vitabu vyao vinaonyesha wazi adamu alikua mweupe msomi.Na manabii wao na pia adithi zao zoote zinaegemea maeneo yao waliyokua wanaishi na sio maeneo ya watu weusi.Huo ni ubaguzi
 
Kwanza waafrika tunajibagua wenyewe ukiona mtu anasema sio ngudu yako lakini unamg'ang'ania jua umeshaonesha uzahifu kwani sisi waafrica dini yetu ni ipi je ukiona mtu anajipiga karolaiti au anaweka dawa kichwani ziwe za kiarabu au kizungu hapo ajajibagua na wewe unaemnunulia hivyo vitu ili abadili asili yake wewe sio mbaguzi wa muafrica mwenzako wakati mwingine mwarabu au mzungu hawana shida na sisi maana sisi ndio zaifu wa fikira swala la dini sioni tukizifata ipasavyo kama kuna xhida kikubwa tuache kutumia dini kwa ajili ya matumbo yetu
 
Nadhani wanalinda race yao dhidi ya wahamiaji weusi na alichokosea raisi kusema watu weusi kutokea sub sahara countries wanaleta unacceptable religion,cultures,values,crimes kwa watunisia na wana mpango wa kuifanya tunsia kua purely african.Hakushutumu illegal migrants kutoka Syria,Afghanistan,Iraq,Libya,Lebanon.Bali alishutumu illegal migrants wa sub sahara countries pekee.Ndio watu wakaandamana kumpinga
Kila nchi ina haki ya kulinda utamaduni wake na identity yake
Kuchagua wachukue mhamiaji yupi na wamuache yupi

Mbona Waafrika tunajiona tuna haki sana ya kwenda kuishi nchi za watu?
 
Kwanza waafrika tunajibagua wenyewe ukiona mtu anasema sio ngudu yako lakini unamg'ang'ania jua umeshaonesha uzahifu kwani sisi waafrica dini yetu ni ipi je ukiona mtu anajipiga karolaiti au anaweka dawa kichwani ziwe za kiarabu au kizungu hapo ajajibagua na wewe unaemnunulia hivyo vitu ili abadili asili yake wewe sio mbaguzi wa muafrica mwenzako wakati mwingine mwarabu au mzungu hawana shida na sisi maana sisi ndio zaifu wa fikira swala la dini sioni tukizifata ipasavyo kama kuna xhida kikubwa tuache kutumia dini kwa ajili ya matumbo yetu
Dini zina utaratibu na lugha za kigeni so shida bado ipo msomi.
 
Tatizo hata dini zao zimejengwa kwa msingi ya ubaguzi.Ndio maana kuna maneno kama.KAFIR na WATEULE
God cares how we treat each other because we’re all created in His image (Genesis 1:27). He makes no distinction between the inherent value of one race or ethnicity over another. Hiyo hapo ni Biblia

“All humans are descended from Adam and Eve,” said Muhammad in his last known public speech. “There is no superiority of an Arab over a non-Arab, or of a non-Arab over an Arab, and no superiority of a white person over a black person or of a black person over a white person, except on the basis of personal piety and righteousness.”
Na mwisho hapo ni Qur an.
Dini zao hazifundishi kubaguana lakini watu wa dini zao wanaweza kubaguana kutokana na hulka zao.
 
Kila nchi ina haki ya kulinda utamaduni wake na identity yake
Kuchagua wachukue mhamiaji yupi na wamuache yupi

Mbona Waafrika tunajiona tuna haki sana ya kwenda kuishi nchi za watu?
Hata wao walipokuja kwetu walijiona wana haki msomi.Au umesahau
 
God cares how we treat each other because we’re all created in His image (Genesis 1:27). He makes no distinction between the inherent value of one race or ethnicity over another. Hiyo hapo ni Biblia

“All humans are descended from Adam and Eve,” said Muhammad in his last known public speech. “There is no superiority of an Arab over a non-Arab, or of a non-Arab over an Arab, and no superiority of a white person over a black person or of a black person over a white person, except on the basis of personal piety and righteousness.”
Na mwisho hapo ni Qur an.
Dini zao hazifundishi kubaguana lakini watu wa dini zao wanaweza kubaguana kutokana na hulka zao.
Dini zilibuniwa na watu,na zina ubaguzi ndani yake msomi.
 
Nilikua nakujibu tu msomi kuhusu dini zilizoletwa afrika zilivyo na ubaguzi.Wewe ulisema dini hizo hazina ubaguzi msomi
Hazina ubaguzi kwa mujibu wa mafundisho ya dini zao.
Tufanye mfano katiba ya Tanzania hairuhusu ujambazi lakini majambazi wapo.Je,utasema kwamba nchi yetu inafundisha watu kuwa majambazi?
 
Hazina ubaguzi kwa mujibu wa mafundisho ya dini zao.
Tufanye mfano katiba ya Tanzania hairuhusu ujambazi lakini majambazi wapo.Je,utasema kwamba nchi yetu inafundisha watu kuwa majambazi?
Zisome vizuri hizo dini na utaona mafundisho yake na adithi zake zimeegemea upande mmoja na hio ni ubaguzi
 
Back
Top Bottom