Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Kwanza ningependa kukusoa hapo kuhusu walioamini katika NOI au waislamu walimfuata Malcolm X hapo umekosea moja kwa moja , Malcolm kipindi cha mwisho alikuwa na uadui mkubwa na NOI na hao wamehusika kwa namna moja katika kifo chake..

SOMO KAMILI : Malcolm X maisha yake ya kiharakati yana sehemu mbili .

1.Harakati kipindi yupo NOI.
Mahubiri ya Brother Malcolm X yalibase katika violence (jino kwa jino,watu weupe ni mashetani nk)

Hapa alikuwa mtu yeyeto mweupe hafai kushiriki katika harakati zake kea kuamini wote waovu . Vilevile harakati zake zilionyesha kuwa na mlengo wa dini ya Uislamu na kupuuza dini nyingine.

2.Sehemu ya pili ni baada ya kuachana na Uislamu Feki wa NOI na kwenda Saudi Arabia kufanya ibada ya Haji . Hapa aliporudi Malcolm X alizaliwa upya alitikisa Dunia nzima kubadili msimamo wake kuhusu watu weupe kuwa mashetani na falsafa za Violence hata watu hawakuamini kama ni yeye. Tena akawa anahusisha dini zote na kutenga mbo kidini na kiharakati akaja na kitu "Black nationalism " kuunganisha watu weusi na wasio weusi ,wenye dini na wasio na dini katika harakati zake.

Hapa alikuja bongo kukuta a na Jk Nyerere ,Ghana Kwame Nkurumah ,Japan nk hata inner cycle yake katika organization yake mpya ilikuwa na na watu wakiristo kibao mfano huyo hapo Robert Genes kwenye kidauaraView attachment 2534679

Hapo akiwa na MLK baada ya kuzaliwa upya View attachment 2534682

Sikiliza speech hiyo tena alitoa kanisani inakataa mzizi wa fitina kuhusu maneno yako.View attachment 2534688

Nb: Kutokana na muda naomba niishie hapo maana nina clip nyingi na documents nyingi za uhakika kuhusu Brother Malcolm X .

Nataka nimalizie kusoma vitabu viwili kuhusu yeye nitimize Vinne ,kimoja cha aliyekuwa best friend wake 'Malcom Jarvis au Short na kingine cha uchambuzi kisha nishushe uzi maalumu kuhusu yeye wenye full nondoz .

Hivyo vilivyobaki
View attachment 2534689

View attachment 2534690
Wote malcom x na martin luther walifeli sababu walikua watumwa wa dini na siasa za watu weupe wa mashariki na magharibi.Hata majina yao waliyokua nayo na waliyoyatumia baadae unaona hayakua ya kiafrika
 
Wote malcom x na martin luther walifeli sababu walikua watumwa wa dini na siasa za watu weupe wa mashariki na magharibi.Hata majina yao waliyokua nayo na waliyoyatumia baadae unaona hayakua ya kiafrika
Malcolm X hakuna alipofeli kwa sababu alifanikiwa kuunganisha watu wa dini na rangi zote baada ya Safari yake ya Makka ,ndio maana nikaweka ushahidi wa maneno yake ,kuhutubia kanisani ,watu waliokuwa ndani ya Chama chake kipya vilevile wasomi wengi tu hakuna na wachambuzi wa kimataifa hakuna hata mmoja anayesapoti mawazo yako ndio maana anakubalika na watu wote mpaka leo hii.

Na wangemuacha alikuwa anakuja na kasi ya ajabu maana Malcolm X wa zamani watu walishaishika nae ila walishindwa kujiunga na kumsapoti jumla jumla kutokana na kuwa na siasa za ubaguzi ila mpya baada ya Hija Makka mitazamo wake ulikuwa kuunganisha wote bila kujali tofauti zao na alipata uungwaji mkono Duniani na watu wote kea muda mfupi sana .
 
Msomi malcom alivutia wamarekani waislamu na alishindwa kuunganisha wamarekani wote.Na martin luther alivutia wamarekani wakrsto na alishindwa kuwaunganisha wamarekani wote.Ndio maana zile harakati zao zilifeli sababu wamarekani weusi walihujumiana kwa sababu ya kuamini dini za watu weupe na kushindwa kujiunganisha kama jamii moja
Mimi MLK Sijafuatilia sana hivyo kwake siwezi kuchangia maana sina uthibitisho,ila Malcolm X hakufeli na mbona unakuwa mbishi unang'angania alivutia wamarekani waislamu bila ushahidi ? wakati mimi nimeweka ushahidi wanachama wake na supporters kutoka kwa wasio waislamu tena wengi na documents na info zipo wazi mitandaoni na vitabuni halafu bado unakuwa mbishi kijinga kabisa.

Harakati hazikufeli kabisa Malcolm X aliwawa akiwa katika peak ya ushawishi wa kila watu Marekani na nje ya Marekani .
 
Maelezo yako ni kama ya mtoto wa chekechea au shule ya msingi hakuna facts wala uthibitisho.
Msomi unaukwepa ukweli.Malcom x na martini luther walifeli sababu waliwagawa wamarekani weusi kwa msingi ya dini za kikrsto na uislamu.Ndio maana vision zao hazikufikia malengo.
 
Mimi MLK Sijafuatilia sana hivyo kwake siwezi kuchangia maana sina uthibitisho,ila Malcolm X hakufeli na mbona unakuwa mbishi unang'angania alivutia wamarekani waislamu bila ushahidi ? wakati mimi nimeweka ushahidi wanachama wake na supporters kutoka kwa wasio waislamu tena wengi na documents na info zipo wazi mitandaoni na vitabuni halafu bado unakuwa mbishi kijinga kabisa.

Harakati hazikufeli kabisa Malcolm X aliwawa akiwa katika peak ya ushawishi wa kila watu Marekani na nje ya Marekani .
National of islam ya elijah muhamad na malcom x waliwatenga wamarekani weusi waliokua sio waislamu msomi.Au hujui kua hiyo ilikua taasisi ya kidini zaidi kuliko kisiasa.Malcom x hakuwa na ushawishi kwa wamarekani weusi wakrsto na Martin luther hakuwa na ushawishi na wamarekani weusi ambao walikua waislamu na member wa national of Islam alipokua anatokea malcom x na elijah muhamad.Au msomi hilo hulijui pia
 
Malcolm X hakuna alipofeli kwa sababu alifanikiwa kuunganisha watu wa dini na rangi zote baada ya Safari yake ya Makka ,ndio maana nikaweka ushahidi wa maneno yake ,kuhutubia kanisani ,watu waliokuwa ndani ya Chama chake kipya vilevile wasomi wengi tu hakuna na wachambuzi wa kimataifa hakuna hata mmoja anayesapoti mawazo yako ndio maana anakubalika na watu wote mpaka leo hii.

Na wangemuacha alikuwa anakuja na kasi ya ajabu maana Malcolm X wa zamani watu walishaishika nae ila walishindwa kujiunga na kumsapoti jumla jumla kutokana na kuwa na siasa za ubaguzi ila mpya baada ya Hija Makka mitazamo wake ulikuwa kuunganisha wote bila kujali tofauti zao na alipata uungwaji mkono Duniani na watu wote kea muda mfupi sana .
Hakuunganisha watu wa dini mbalimbali na kuhutubia kanisani sio kigezo cha kuunganisha watu.Alikua anaungwa mkono na watu wenye mtazamo wa kisiasa na kidini kama yeye mostly member of national of muslim.Wamarekani weusi na waafidhina wa kikrsto na member wa makanisa ya kiluther na kipentekoste hawakumuunga mkono.Ukweli waga watu wanauogopa,waafrika ukiwaletea dini umewatenganisha na sio kuwaunganisha
 
Maelezo yako ni kama ya mtoto wa chekechea au shule ya msingi hakuna facts wala uthibitisho.
National of islam na malcom x waliupigia promo uislamu na arab nazation kwenye harakati zake za kisiasa na Rev Martin luther jr aliupigia promo ukrsto na west nazation kwenye harakati zake za kisiasa.Ndio maana wote walifeli kuwaunganisha wamarekani weusi.
 
Haya nenda kashoboke nchi za Waarabu ukifirwa uje ulie hapa
Wasomi waga hatuna lugha za matusi kwenye kutoa hoja au kuchangia hoja .Matusi ni dalili ya udhaifu wa akili,kiwango kidogo cha kuelimika na mihemuko ya kushindwa kuhimili hoja kizani.
 
Kwa wale wanaopenda kujinasibisha na watu wa Afrika ya Kasikazini na kuwaita Waafrika wenzao nadhani mmesikia alichosema Raisi wa Tunisia kuhusu Waafrika wabantu.

Waafrika popote walipo ni wahanga wa ubaguzi iwe Afrika, Ulaya, Asia au Amerika. Yote kwa sababu tumeacha asili zetu, dini zetu, majina yetu, imani zetu na tamaduni zetu na kukumbatia vya wageni na kuita vya mababu zetu ushenzi.

Waafrika Wabantu hatujitambui na nafasi yetu katika hii Dunia

=====

Tunisia’s president, Kais Saied, has told a meeting of security officials that migrants are part of a wider campaign to change the demographic makeup of the country and make it “purely African”.
Kama nchi yake imo katika bara la Afrika, yeye anataka aitwe nani? Anajidhalilisha mwenyewe. Hataki uafrika, ahame.
 
Wasomi waga hatuna lugha za matusi kwenye kutoa hoja au kuchangia hoja .Matusi ni dalili ya udhaifu wa akili,kiwango kidogo cha kuelimika na mihemuko ya kushindwa kuhimili hoja kizani.
sio matusi, unafirwa kweli, hujawahi kusikia wanachofanyiwa wafanyakazi huko Uarabuni? Qatar,. saudi Arabia, lebanon, mbona kesi zipo kibao tu
 
Back
Top Bottom