Thubutu! Mlivyowapashukuna nyie, ndugu yenu kazimia kwa utamu wa roboYanga walikuwa hawajui ratiba ya Simba, hata matokeo waliyapata baada ya mechi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutu! Mlivyowapashukuna nyie, ndugu yenu kazimia kwa utamu wa roboYanga walikuwa hawajui ratiba ya Simba, hata matokeo waliyapata baada ya mechi
Wewe kweli kolo, ingekuwa mshabiki wa simba ningeshangaa sana maana simba haina mashabiki jamii yenu mnatetemeka kwa vitu vidogo, yule mablich yupo icu kwa utamu wa roboMimi ni kolo kindakindaki daah tunateseka jamani.
Hapa na type huku natetemeka mikono.
Daah Yanga mnapata raha sana.
Ukumbuke pia Simba na Nkana ulikufa kiongizi baada ya Simba kutanguliwa na goli la Water Bwalya pia Simba na As vita iliua Kiongozi wa Tawi la Keko. Kwaiyo Si jambo jipya na halichagui timu.Wewe kweli kolo, ingekuwa mshabiki wa simba ningeshangaa sana maana simba haina mashabiki jamii yenu mnatetemeka kwa vitu vidogo, yule mablich yupo icu kwa utamu wa robo
Chezea robo wewe , nusura afe.Ndiyo wajue robofainali siyo mchezoWewe kweli kolo, ingekuwa mshabiki wa simba ningeshangaa sana maana simba haina mashabiki jamii yenu mnatetemeka kwa vitu vidogo, yule mablich yupo icu kwa utamu wa robo
Ila kwao sasa hivi ni jambo la kawaida. Au siyo?Ukumbuke pia Simba na Nkana ulikufa kiongizi baada ya Simba kutanguliwa na goli la Water Bwalya pia Simba na As vita iliua Kiongozi wa Tawi la Keko. Kwaiyo Si jambo jipya na halichagui timu.
Hahahaha 🤣🤣 hahahaha....kafunge turubai tu.Kuna jamaa yangu wa simba amejifungia ndani baada ya magoli mawili ya mfululizo. Sijui kajinyonga maana hata simu haipokelewi🤣🤣🤣
Hahahahaha katika jitu mbumbumbu ni huyu mnamuita mhasibu asiyejua loloteMwasibu wetu wa kipekee OKW BOBAN SUNZU nawe risiti yako ipo tayari. Gwede Gwede kaingia katika mechi muhimu na kafunga goli muhimu. View attachment 2915729
Saw sawa jamaa ndio wanaongoza kwa kuandika Pumba humu...wakumbushe mbumbumbu hao1. Hamuwezi mechi za kimataifa
2. Medali ya kombe la looser
3. Huku ni ligi ya Mabingwa bhana
4. Sio Shirikisho huku.
NB
Nasubiri update ya misemo mipya baada ya hii
Wewe ile siku ya 5G tarehe 8 nilikuwa nimeketi jirani na shabiki wa Simba alishindwa kujihimili na kuzimia kwenye kibanda umiza tukaanza kumpepea na kumtoa nje kwenye hewa.Wewe kweli kolo, ingekuwa mshabiki wa simba ningeshangaa sana maana simba haina mashabiki jamii yenu mnatetemeka kwa vitu vidogo, yule mablich yupo icu kwa utamu wa robo
Tulikuwa tunasema hatashinda kule kamweKwani nyie kabla simba hajaenda ivory coast mlikuwa mnasemaje?
Hili ndio ZWAZWA la mwisho kabisaPopoma jingine Hilo apoView attachment 2915820
Tuache utani kolowizard mwenzangu.Wewe kweli kolo, ingekuwa mshabiki wa simba ningeshangaa sana maana simba haina mashabiki jamii yenu mnatetemeka kwa vitu vidogo, yule mablich yupo icu kwa utamu wa robo