Pesa isha nunulua tofali tayari hadi wananchi wanataka kupiga viongozi,siasa mbaya sana kwakweli.yani kma nilikua sijanunuliza vifaa vya ujenzi ni hapohapo nawapangisha foleni unasaini unapewa cha kwako hiyo yote ni kwa faida yao kama wanaona ni hasara unaachana nao wasubiri serikali iwajengee
Ilikuwa nzuri sana hyo mkuu, miaka hii hakuna. Ivo elimu inazidi kuzalisha watu wenye vyeti tuu, na sio wenye ujuzi.Oral examinations na practicals ndio zilikua zinanifanya nisome wakati niko chuoni,.
Oral examination ya kwanza nilifanya nikiwa std 7 wakati nafanya mtihani wa kujiunga na Seminary.Ni mfumo mzuri sana wa kutahini
TomasoMkuu, picha ya maandishi kwenye hilo lango ingependeza sana!
Mtoto hajui kusoma wala kuandika kiswahili ila anafaulu kujiunga na elimu ya sekondari!!! Inasikitisha.sasa hivi kufaulu Std7/ Form4 ni very simple...
huko vyuoni ndio kumejaa watu wasiojitambua
Kweli kuna tatizo kubwa hapa la phd fakeKwenye geti la chuo kikuu cha Cape Town nchini Afrika kusini kuna maandishi yasemayo "Ukitaka kuangamiza taifa lolote duniani huhitaji kutumia silaha za nyuklia wala mabomu ya atomic. Njia nzuri ya kuangamiza taifa ni kuharibu mfumo wa elimu. Ruhusu "mbumbumbu" waonekane wamefaulu na wasonge mbele.
Matokeo yake yatajionesha baada ya muda, "mbumbumbu" hao wakishahitimu. Wagonjwa watafia mikononi mwa madaktari, majengo yataanguka mikononi mwa wahandisi, pesa zitapotelea mikononi mwa wachumi, utu utapotea mikononi mwa viongozi wa dini, na haki itapotelea mikononi mwa mahakimu. Kuchezea elimu ni kuangamiza taifa
Picha tafadhari maana naona maneno mengi sana hayo kukaa kwenye Bango au yameandikwa kimombo ndio umetafsiri?Kwenye geti la chuo kikuu cha Cape Town nchini Afrika kusini kuna maandishi yasemayo "Ukitaka kuangamiza taifa lolote duniani huhitaji kutumia silaha za nyuklia wala mabomu ya atomic. Njia nzuri ya kuangamiza taifa ni kuharibu mfumo wa elimu. Ruhusu "mbumbumbu" waonekane wamefaulu na wasonge mbele.
Matokeo yake yatajionesha baada ya muda, "mbumbumbu" hao wakishahitimu. Wagonjwa watafia mikononi mwa madaktari, majengo yataanguka mikononi mwa wahandisi, pesa zitapotelea mikononi mwa wachumi, utu utapotea mikononi mwa viongozi wa dini, na haki itapotelea mikononi mwa mahakimu. Kuchezea elimu ni kuangamiza taifa
kuna binti huku kwetu kafaulu Form5 mama ake hajampeleka shule maana hata what is biology hajuiMtoto hajui kusoma wala kuandika kiswahili ila anafaulu kujiunga na elimu ya sekondari!!! Inasikitisha.
Tena Ayaone Sizonje Live kabisaaMkuu, picha ya maandishi kwenye hilo lango ingependeza sana!
Kuna watu wanatia huruma aiseee, kumbe wenye akili wamebaki vijijiniKuna watu vyuoni huko wanasikitisha sana.
Hali ni mbaya.kuna binti huku kwetu kafaulu Form5 mama ake hajampeleka shule maana hata what is biology hajui
akaona uwongo huu, yani msichana hajielewi hata¼
Hao unaosema hawafaulu maswali yakuchagua wengi wao hawakariri past papers,kwenye kukariri ma-past paper wengi hufaulu nakujiaminisha kua wanaweza ilhali ni wajinga tu hawana chochote,ukiwabana watetee walichokipata wengi wao hawawezi.mkuu una uhakika na hayo? wewe umesoma hesabu? kuchagua ni kubaya, mbona vyuo vikuu yapo na watu hawafaulu!
nimecheka sanaSisi kazi yetu ni kukopi na kupaste. Hakuna utaratibu kila waziri analeta mawazo yake. Huyu sasa kakaa muda mrefu madudu yake yatafumuliwa akiondoka. Mara divisheni mara GPA, mara kubadili dividheni mara scantron.
Mara TCU inadahili mara vyuo vyenyewe, mara pivate schools hakuna kufukuza wanao fail mara hakuna kurusha madarasa, mara ada elekezi mara elimu bure, mara wazazi changieni chakyla cha watoto wenu, mara paap kumekuchwa...ili mradi matamko kumridhisha mkuu.
Hii serikali wakitoka, utasikia huu mfumo mbovu hahaha.