Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Bi dada huyu amekuwa akiposti bidhaa zake anazodai anaziproduce yeye na kuziwekea price tag za madolare ya maana. Kumbe bwana sio bidhaa zake, bidhaa hizo ni za trebellawigs.
Amekamatwa live na ameshtakiwa insta na product alizoiba zimeondolewa na insta admn. Anachofanya ni kuchukua picha ya product na kufuta trademark ya Bela na kuweka hiyo ya hollywood sijui holic kwenye bidhaa za watu.
Pia mwenye trademark anasema price ni zaidi ya mara 300 ya bei halali. Shoga kachambweje na mwenye product zake? yani kichambo live.
Kukipambazuka ntaweka picha. Amezoea kuonea wabongo kwa kuwachamba kwa blog ila kwa huyu nadhani ni mniger kanywea. Akina Linda na chagga bebi wamecommentije vichambo?
Hivi ukicopy si una acknowledge source jamani? Hiyo MBA anayojitapa nayo ndio walifundishwa kuiba kazi za wengine? Kukopi kupo ila omba then acknowledge.
Bei za wigi uliweka dola 500 kumbe bei halali kwa mwenye Mali in dola 100 biashara ndio ishadoda hiyo. Watu wananunua kwa Bella direct.
Mytake: nilishasema Mange hana hizo standard anazolazimisha tuamini anazo. Kwa hili ni wazi kwamba bado ni mmachinga tu. Unaanzaje kuiba kazi za watu then u claim to be international?
Daku njema
Amekamatwa live na ameshtakiwa insta na product alizoiba zimeondolewa na insta admn. Anachofanya ni kuchukua picha ya product na kufuta trademark ya Bela na kuweka hiyo ya hollywood sijui holic kwenye bidhaa za watu.
Pia mwenye trademark anasema price ni zaidi ya mara 300 ya bei halali. Shoga kachambweje na mwenye product zake? yani kichambo live.
Kukipambazuka ntaweka picha. Amezoea kuonea wabongo kwa kuwachamba kwa blog ila kwa huyu nadhani ni mniger kanywea. Akina Linda na chagga bebi wamecommentije vichambo?
Hivi ukicopy si una acknowledge source jamani? Hiyo MBA anayojitapa nayo ndio walifundishwa kuiba kazi za wengine? Kukopi kupo ila omba then acknowledge.
Bei za wigi uliweka dola 500 kumbe bei halali kwa mwenye Mali in dola 100 biashara ndio ishadoda hiyo. Watu wananunua kwa Bella direct.
Mytake: nilishasema Mange hana hizo standard anazolazimisha tuamini anazo. Kwa hili ni wazi kwamba bado ni mmachinga tu. Unaanzaje kuiba kazi za watu then u claim to be international?
Daku njema