Mange Kimambi aendelea kutesa na kufunika instagram

Mange Kimambi aendelea kutesa na kufunika instagram

Status
Not open for further replies.
Team Mange hapa damu damu kitu chochote lazima aseme Mange ndo ntaamini.

Hapa Tz hakuna mtu anayeweza pambana na team domo chapati akabaki salama lakini Mange anawakimbiza na kwenda nao sambamba
Ulimuamini aliposema kwa mbwembwe kuwa Hoyce Temu kafukuzwa kazi??!! Kumbe mdada wa watu bado muajiriwa wa UN!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom