sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,276
- 976
Kuwa makini basi midume tupo umo.
Wakuu nimepitia blog yake kwa ustadi wa hali ya juu, sasa nasema huyu dada ni wa kuonewa huruma tu hajui atendalo. Inaonekana anastress sana za dunia, labda ameshawahi tendwa vibaya sana huko nyuma. Kama sivyo basi anamtindio wa ubongo, usiopona. We mtu anataka ubunge kwa tiketi ya CCM huku kwenye blog yake page ya tatu ameiponda sana CCM na system nzima. Na hadi analaumu wananchi wamejitakia shida wenyewe na kuwakumbusha huu ndo mwaka wa mabadiliko. CCM gani wamchague,,?
Wangemuacha tu huko huko hadi baada ya uchaguzi
Mbona hajapandishwa difenda kama wengine???
hahaaa mchuma janga..
hula na wa kwao bibieee....
hata mie wanifunge tu..!!!nkidhalilisha mtu au watu huoni siku hizi nnavyomkubali wema kiaina...
Ningeelezea how worse it was wakati amemuanika mtu wangu wa karibu, but let me spare my words na niendelee kujificha hukuhuku nyuma ya keyboard! Siku hiyo kuna rafiki angu alinambia ingia kwenye blog ya mange uone alichokiandika kuhusu mtu fulani, nilisoma kidogo pressure ipande, mpaka leo sijawahi kuingia tena kwenye hiyo blog yake.
Blog kuwa ya kudiscuss family matters za watu na kuachia comments kali pengine (zisizokuwa na ukweli) ndipo ugomvi wangu na mange ulipo!
Na aadhibiwe tu maana hakuna namna nyingine sasa!
Alokwambia mimi ME nani?
Nabadilika badilika jinsia kulingana na hali ya hewa.
Nisikuchoshe buree
Ha ha ha ampitie tena???mwenzio mwl wa mbuyuni huyo ma first lady wanapotokea ndo maana anajishaua.
Borq ubadilike kwa uzuri... Mabadiliko ndio njia pekee manake ndio option tu. Usalama wamerudi kazini kutoka likizo. Jamaa mmoja facebook ameshakamatwa tena with fake name.
Kwa kesi hizi najua masharti mojawapo hatatakiwa kuondoka mpaka amalize kesi.akikimbia mtoto wa mvungi analo
Upuuzi mtupu..mange,mange,..wakati kuna mambo mengi ya muhimu kujadili yanayolikabili taifa letu.
Wanaleta ushabiki tu
Huyo mtoto wa mvungi anajiona star sijui kawin kumuweka dhamana we ngoja akimbie ili akalale yeye ndani ukute hata sio marafiki ila kujipendekeza tu
teh teh teh unatamani wewe ndio ungekuwa OCD wa hicho kituo cha Obey.. Mbona angelia Idd ndani teh teh