Yap bad timing....
Keshawavuruga mashosti wote...
Kamnyambua makamba kingunge na lowasa...tena daily
Halafu karudi....
Tamaa ya ubunge... angenyuti kama miaka 2-3 watu maumivu yapungue
Wanaleta ushabiki tu
Huyo mtoto wa mvungi anajiona star sijui kawin kumuweka dhamana we ngoja akimbie ili akalale yeye ndani ukute hata sio marafiki ila kujipendekeza tu
ebho kumbe tunajulikana aiseeWala siye mkuu, huyo wetu huku mbona watu wanamjua?
Ni kule kufanana kwao kwa lifestyles tu ila ni watu wawili tofauti.
ameahidi ataongea zaidi ya sasawe acha tu mi sina hamu na huyu dada yaani
mi nimefurahi yani MUNGU analipa hapa hapa duniani
ameahidi ataongea zaidi ya sasa
Sorry mtu alifuta posti yangu, eti nisiandike, mfyuuu. Hi friends, im out and well. Leo nimejua nnapendwa sana na familia yangu, rafiki zangu pamoja na fans wangu.The system is corrupt. The whole thing was masterminded by dogo Jembe. Nimepigwa marufuku kuwasema viongozi, uwiii wao wanaita kuwatukana. Yani next time watanipoteza kabisaaaaa...... walikosa kabisa sheria ya kunishtaki nayo so somehow wakampata Mbonie Masimba kuja kuandika mashtaka ya uongo mtupu, eti Mbonie kanishtaki kuwa nilimtukana kuwa yeye ni malaya na anaf**** eesh hivi yule kadata? So balaa lote like nililopata eti kesi ni kumtukana a complete irrelevant nobody.... in short kuna dogo jembe wamecheza mchezo then wakawa wanatafuta sasa watu wa kunifungulia kesi kila mtu akala kona. Jamani let me tell you this, wamefanya kutia mafuta kwenye moto now that nimejua ile blog ina impack kubwa hivi mpaka serikali inahangaika na mimi uwiii ndo ntakuwa natapika daily!!!!! Mr,Sembe aint shit, sasa hivi ndo anatafutwa na polisi sijui kala kona ya wapi... imagine eti waliweka ile kesi pending. Yani inshort walitaka kunitingisha mpaka niogope niache kuwaandika viongozi. Na naambiwa kabisa andika hao wenzio viongozi usiwaguse.
ameahidi ataongea zaidi ya sasa
Jana niliona repost kwa mtu, alivotoka akiwa na joyce kiria....kasema hii nchi ni corrupt sana anashukuru walomuekea dhamana na anaahidi ataongea mara elf 5 zaidi ya sasaAmehaidi wapi?
Naona anatafuta pa kufia.Angebaki US tu.
Akatwe tu mbunge gani anamwaga matusi hivoYeah ameahidi atatapika zaidi ya haya. Poor lady! kichwa chake na hakika kuna fyuz moja imelegea au inahang! Kitakachofatia sasa ni kukatwa tu maana hamna namna.
Huyu Mange kweli ni kichaa, Anagombea ubunge wa Kinondoni..Ameanza kampeni kwa kumtukana mbunge wa Kinondoni kuwa anauza madawa ya kulevya.. Hivi hajui huyo ni mwanaCCM mwenzake, Huyu mtu akapimwe akili
Akatwe tu.
I'd rather die a man than living like a coward-Tupac Shakur
Najaribu kumuelewa huyu dada haswa baada ya kuandika (kama kweli) huo ujumbe baada ya kutoka sero. . . . . kuna kitu anasimamia yawezekana ana mapungufu yake lakini kuna anachosimamia