miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Ha ha haaaa danh afie mikononi mwa watu tena. . . . .??!!!
Cha muhimu ni somo litalobaki . . . .Watu kuwa responsibke na matendo na maneno yao. . .
Yes anadai anamjua muuza unga m1 ambaye ni mume wa adui yake.
Tatizo haendi mshitaki wala kutoa ushahidi lakini kila siku akikwaruzana na adui yake anamtukanaa huyo mwanamke then anahamia kwa mume mtu na kudai anamaliza vijana kwa kuuza sembe.
siku adui yake katangaza lipstick ambazo nayeye anauza maana wote wafanyabiashara, anamchambuaa matusi na kashfa tena ahamia kwa mume wake anauza sembe hadi watoto.
Jee huu ni uharakati??
hata akoge vipi na marashi kujimiminia bungeni haendiiiiiii!!!!
Mumewe kamshindwa kamtoa nduki anakuja kuficha aibu kwa gia ya ubunge na uharakati!
Watu watasahau......ni kweli inshu ya madawa inaumiza sana.Lakin inategemea unaiaddress vp hyo inshu,Lakin huyu bidada anajulisha tu kuwa ana cha ziada kwa hao anaowaongelea.
Jamani naenda kupalilia pilau langu ha ha ha
Mbna wauza sembe mpka mkuu anawajua huyo anawivu tu kazidiwa maendeleo n mwenzake.....kwanini amtaje tu abdul wakati kuna madon hpo dar zaidi ya 10,inaonekana kanashida nyingi sana n maisha yke ni fake 2 wakamwagie acid 2
Mbna wauza sembe mpka mkuu anawajua huyo anawivu tu kazidiwa maendeleo n mwenzake.....kwanini amtaje tu abdul wakati kuna madon hpo dar zaidi ya 10,inaonekana kanashida nyingi sana n maisha yke ni fake 2 wakamwagie acid 2
mwanaume una chuki na mwanamke kiasi hiki sio bure, itakuwa mligombea naye bwana!
Hahaaa nawe umechukua fomu jimbo gani......inaonekana mnashea mzungu pori wote,sasa hii alosto imewapata kipindi kibaya
Akatwe tu mbunge gani anamwaga matusi hivo
nadhani wa yule marehem but sina uhakikaMvungi yupi? Yule Dr wa Kino au Yule aliyeuliwa wa NCCR? Kwenye Hiyo picha ni Joyce Kiria ?
Hamjui mwenzie hana rafiki wa kidumu!
Ngoja siku maruhani ya mange yacharuke atachambwaje sasa?
Watu na mahaba yenu kwani unadhani hata kama anakosa mtaona? Wala hamuwezi...Ila hebu someni vzr anayoandika Mange, hatukani matusi bali ni anatoa ukweli mchungu kama ulivyo bila kificho ambao binadamu hatuwezi kukubaliana nao
Watu na mahaba yenu kwani unadhani hata kama anakosa mtaona? Wala hamuwezi...
Mi alshaniblock page zake na kwenye blog piaNimetoka huko IG kwake anakwambia yani anajiona kama WINNIE MANDELA, kwa jinsi watu walivyopagawa! haaa haaa huyu bidada duuh!