Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani anapenda chokochoko....ili mradi shamimu aumie.Kaiandika kishabiki huyo.
Mliokuwa mnamwita Mange mwanaharakati naona vimewashuka shuu!
It was personal, it was never about war against drugs.
Anakera kama nini......huu upuuzi anaoufanya ipo siku utafika mwisho
Huyu Mange huyu, afu watu wanafananisha upuuzi wake huu na celebrities forum
Nyee
Kaanza tena kumuanika Abdul kisa nyumba ndogo, alivyoandika kishabiki ili kumuumiza shamimu, huyu mwanamke ana roho kutu kweli, eti shamimu apendwe kwa shepu ipi? Huyo hawara ana shepu mbona hajaolewa? Shamimu hana shepu bali ndo mke, huyu ndio msomi eti mbunge mtarajiwa kazi ipo.
Nadhani kwa vile umeanza kumfatilia last week.
Hujui previous posts zake.Tunaposema MATUSI ni matusi kweli.
Hana lolote wauza unga kashindwa Kikwete ataweza yeye?? anatumia gear ya kuingia bungeni
Hapo.kwa wema hapo......
Ingekuwa wanashtakiwa kule jukwaa la celebrity robo tatu ya memba o'bey polishi poshti.....
Tukija kwa wanasiasa... yelewiiii jf ingefungwa kitamboooooo
Namtetea Mange kwenye freedom ya kuongea. Sasa kama huyo January Makamba kaamua kumuweka ndani sababu ya kuongea ukweli amebug step.
Ukiwa kiongozi uwe tayari kukubali kuzungumziwa mzuri na mabaya.
Twende kazi Mange hadi wenyewe waache huru watu tuzungumze. Ulaya na marekani kuna freedom ya kuongea,halafu hichi kinchi kijiji Tanzania watu tufungwe mdomo!
If this is true, then "Free Mange Kimambi".
I am not a fan of Mange. I am a fan of Freedom of Speech.
This just elevates Mange beyond her current status.
Brother kwanza tujue ni kwa nini kawekwa ndani huyo mwanamke!!!
Pili kama ni mambo ya Defamation then the STATE has no power to intervene,...its strictly civil law.
Waliotukanwa ndiyo inabidi wamshitaki,....
Sijakuelewa aiseee......kwamba nini eti?
Acha uongo wewe. Au we ndo Shamim?
Hata amuandike vibaya vp hampati shamim kwa lolote, kuanzia ukucha mpk nywele mxiuuu,
Eti wanasema hata kule tunawaongelea watu..