Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu umesema alinyea debe wiki nzima ktk kituo gani cha polisi na ni kwa kosa gani litakalomuweka wiki nzima. Mi siamini sheria inatoa haki mtu kudhaminiwa na anatakiwa akae masaa 24 polisi sasa wiki duuu??????
Cyber law haijaanza kutumika acheni unazi. Kama kwa sheria nyingine sawa sio cyber law
Yule mwanamke kazidi, sijui kwanini hao wanaotukanwa mmojawapo asijilotee 'kumfanyizia' kimyakimya maana hakuna namna nyingine tena.
Yule mwanamke kazidi, sijui kwanini hao wanaotukanwa mmojawapo asijilotee 'kumfanyizia' kimyakimya maana hakuna namna nyingine tena.
Ndio nani huyu kwa hapa mjini?
Huu labda ni utani, sitaki kuamini kama humjui huyu shankupe anayeforce umaarufu kwa kutukana watu wazito katika nchi hii kupitia kiblog chake.
Ndugu wana jamvi..
Yule msichana anae penda kujitafutia umaarufu kupitia migongo ya watu kwa kuwatukana viongozi wa serekali,watia nia na watu mashuhuri amejikuta kwenye hali isiyo ya kawaida baada kuwatukana watoto wa mjini wenzake na kujikuta ana nyea ndoo week nzima.
Hivi sasa anataka kukimbia nchi baada kuwa na kesi hiyo ya cyber law, ilio muweka ndani week, kisingizio ni mtoto anaumwa na anasema watu wanataka kumtoa roho, akisema swala hilo lote lina fadhiliwa na January Makamba, anasema January sio kiongozi ni ditecta na anajipendekeza kwa Magufuli ili kupata madaraka kwa awamu ya 5 endapo Magufuli atashinda.
Week iliyopita kwenye blog ya aliandika IDDI AZZAN NI MUUZA UNGA, RIDHIWANI NI MWIZI na kwa LOWASSA ndo sehemu kubwa kwake kumtukana kama vile kamzaa, Lowassa fisadi, Lowassa ana UKIMWI, UKAWA ni viongozi wanao taka kuuingiza Tanzania kwenye ubepari, Ukawa kumchukua lowassa ni kama kuingiza cancer kwenye mwili.
huyu mange ni inaonekana ni bonge la kilaza,waungwana tulimshauri kiroho safi tu hapa JF,kwamba aache kutafuta umaarufu kinyesi kupitia majina ya watu,akatupuuza.bila shaka anawafatisha vilaza wenzake wanaomjaza ujinga kwa ku-comment ktk ki-blog chake.acheni yamkute ya kumkuta.naona sasa anafanya defense mechanism ili aonewe huruma na hao wabaya wake.
![]()
Huyu info zake nimepitwa! Nipe!