Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

Subiri. ...ondoa shaka jione kama umeshamjua tayari.

Huyo binti hajafa bado?? Anataka arudi marekani ili aendelee na matusi?? Hell no, apakie mtoto kwenye Ndege under supervision au amtume na mtu wa kumpeleka. Au nauli hana??? Si alisema bwanake ni millionea?? Sasa millionea anashindwa kutuma mtu from US aje kumchukua mtoto wake???

Huyu binti bongo hatoondoka mpaka UKAWA iingie madarakani then tumwonyeshe sie tuna roho nzuri tutamwachia huru..
 
Huyo binti hajafa bado?? Anataka arudi marekani ili aendelee na matusi?? Hell no, apakie mtoto kwenye Ndege under supervision au amtume na mtu wa kumpeleka. Au nauli hana??? Si alisema bwanake ni millionea?? Sasa millionea anashindwa kutuma mtu from US aje kumchukua mtoto wake???

Huyu binti bongo hatoondoka mpaka UKAWA iingie madarakani then tumwonyeshe sie tuna roho nzuri tutamwachia huru..

Hakuna kutoka mzima huyu azimishwe tu!
Yeye ndio anayejua uchungu wa mtoto kuliko hao anaowatukania huko kwenye kiblog chake anajua mama zao wanaumia kiasi gani?
#AfanyiziweTu
 
Hakuna kutoka mzima huyu azimishwe tu!
Yeye ndio anayejua uchungu wa mtoto kuliko hao anaowatukania huko kwenye kiblog chake anajua mama zao wanaumia kiasi gani?
#AfanyiziweTu

Nilisemaga huyu July lazima anashughulikiwa ...unakumbuka?ilikuwa May ...
 
Nilisemaga huyu July lazima anashughulikiwa ...unakumbuka?ilikuwa May ...

Huyu kwa kimbelembele chake wala sikatai kuhusu yeye kushughulikiwa.
Hata hivyo naona bado wanamchelewesha.....
 
Huyu kwa kimbelembele chake wala sikatai kuhusu yeye kushughulikiwa.
Hata hivyo naona bado wanamchelewesha.....

Mimi mpaka sasa sielewi iweje bado hajafanyiwa mbaya.

Maana anachofanyaga ni kuchafua na kutukana watu tu bila ushahidi ulio madhubuti.

Yeye anaouita ni ushahidi ni maneno maneno tu ya mtaani ambayo kuna uwezekano mkubwa sana yasiweze kabisa kustahimili uchunguzi wa kina wa kubaini ukweli.

Ila labda anajua watu wa ku-deal nao ndo maana haachi. Kuna watu wengine wangekuwa washamharibu zamani mno.
 
IG amemwanika Mawar Manyuzinyuzi mwe hii movie ndiyo inaanza!
 
Hakuna kutoka mzima huyu azimishwe tu!
Yeye ndio anayejua uchungu wa mtoto kuliko hao anaowatukania huko kwenye kiblog chake anajua mama zao wanaumia kiasi gani?
#AfanyiziweTu

Yule mwanamke kazidi, sijui kwanini hao wanaotukanwa mmojawapo asijilotee 'kumfanyizia' kimyakimya maana hakuna namna nyingine tena.

Segerea pia naona hapatoshi...wamzimishe kabisa.

amekukosea sana eeh...hadi unataka 'azimishwe'!
 
amekukosea sana eeh...hadi unataka 'azimishwe'!

Hahahaaaaa anakera sana bwana...kitendo cha yeye kukosa adabu hadi anamtukana mzee kama Lowassa kimenifanya nitamani 'afanyiziwe' tu.
Mf.Kuna video aliweka YouTube akasema mzee anatembea kama yuko kwenye mashindano ya u-miss...hilo si tusi kubwa sana?
 
Huu labda ni utani, sitaki kuamini kama humjui huyu shankupe anayeforce umaarufu kwa kutukana watu wazito katika nchi hii kupitia kiblog chake.

Sidhani km kila mtu anamjua huyo mdada, hata mm binafsi ndio kwanza namsikia😎
 
Apigwe tu maana tumechoka na makahaba kama yeye wanaotukana bila breki. Mpuuzi mkubwa!
 
Mange kajikuta mfadhili wake wa maishani mwake aliyemtupa huko kujilalia na kujiamkia na ma stress Bibie Mwammy yupo Dar na yeye yupo mjini hajatafutwa hata kwa kitone cha maji na anakula bata na mashosti wake wote wa zamani

basi huyo kaibuka na kusema sasa anaanza kuwavumbulia siri zao hapo ni kutoa mambo yao ya kuwaumbua

tunakumbuka yeye ndie alialikwa na kupiga mapicha na kuyarusha kuwa nyumba ya Mwammy akapewa vipande kwa kumuonyeshea kwa watu akabidi ashushe mapicha ili asimuonyeshee kwa watu

haya akashusha mapicha hayo ila wadaku wakaziwahi hizoooo na humu zipo, ila duh nakumbuka Mange alisifia nyumba utazani alilipwa kuandika aliyoandika...sasa nakuja kuwa iweje wewe uliyeongelea hadi bei aliyoyonunua na leo unaibuka na kusem ni ya nani sijui nani...kwa hiyo ndio unatuonyeshea kuwa wewe ulikuwa unajigonga kwa Mwammy sababu ulikuwa haumjui yaani alikuwa akuweki kama rafiki wa kukupa habari zake za kiundani au? mbona ulikuwa shuti unakuwa kama vile nyie mmezaliwa pamoja kumbe ulikuwa omba omba mkubwa hadi biashara ya nguo imekufa sababu ulikuwa unapata msaada kutoka kwake. leo hii ndio maana umeamua kujiuzia dukani tu na hata leo kushusha bei ya nguo sababu watu hawanunui kama ulivyotegemea.

ila wewe unahitaji msaada unafanya hao wajinga wanaokufata ndio wakushadadie halafu kwa shida unalia hauoni watu, tena na Mwammy kuwa mjini ndio umeingia kichaa kabisa hadi unadanganya wajinga wakuonee huruma eti mtoto anaumwa eti hayupo marekani, sasa kweli wewe kama ni mama na unaumia mwanao kuumwa sana na hauna pesa si ungekuwa muhimbili umelala usiku kucha kuomba wamtibu kwanza na ulipe bili baadae au? unataka mdanganya nani kwa kuandika ujinga eti unauguliwa mtoto huku upo busy unauza nguo na kufurahia pesa.

ila mwanamke weye umekipata mwaka huu yaani hadi lazima unajija.mbia ndani kwa ndani. mtoto anaumwa unajifanya hauna pesa haujui umejionyesha unadanganya kwani wale waliokununulia tiketi uje ugombanie ubunge wapo wapi? eeh wale waliokuwa wanakupa info za kuchafua wazee na kukuahidi mambo mbona hata mahakamani sijui polisi hawakukusaidia?

na mie nakuandikia gazeti, uache ujinga wako wa kufata maisha ya marafiki zako na lolote unalololilia litakutokea naona haujifunzi kabisa mpishi kama sijui linini wewe mwanamke wivu utakumaliza

ila nimefurahi umelipata mwaka huu pole yako na udaku wako endeleza ni maisha yako ila umekionja eeeehhhhh duh

haya Mwammy ndio karusha mipicha yupo mjini na wewe kibaraka wake ndio kakusahau kabisa, anakula bata weye unauza nguo za wachina wanazoshonesha kule LA kwenye maeneo yako. sasa kweli hadi 30k labda tafuta kazi ya kupigia tarumbeta CCM washinde ila ya maisha ya watu unajichimbia kila binadamu atakaloliona kwa muda wake.

mwanamke wivu khaaaa, bado nacheka ulivyoipamba nyumba ile na leo haujaalikwa kulala basi unalia lia, ulidhani Mwammy atakualika ukalale kuwa kaja Dar kwani wewe na kaka yake na marafiki zake nani zaidi? kaa na kudoda Tanzania imekuonyesha uwiiiiii pole

na ukome kumtafuta Zari na Diamond bora ulifuta post maana wivu wako nenda kamlambe miguu mwammy basi unaumiaaa na wivu. kahaab wa Dubai weye
 
Mange kajikuta mfadhili wake wa maishani mwake aliyemtupa huko kujilalia na kujiamkia na ma stress Bibie Mwammy yupo Dar na yeye yupo mjini hajatafutwa hata kwa kitone cha maji na anakula bata na mashosti wake wote wa zamani

basi huyo kaibuka na kusema sasa anaanza kuwavumbulia siri zao hapo ni kutoa mambo yao ya kuwaumbua

tunakumbuka yeye ndie alialikwa na kupiga mapicha na kuyarusha kuwa nyumba ya Mwammy akapewa vipande kwa kumuonyeshea kwa watu akabidi ashushe mapicha ili asimuonyeshee kwa watu

haya akashusha mapicha hayo ila wadaku wakaziwahi hizoooo na humu zipo, ila duh nakumbuka Mange alisifia nyumba utazani alilipwa kuandika aliyoandika...sasa nakuja kuwa iweje wewe uliyeongelea hadi bei aliyoyonunua na leo unaibuka na kusem ni ya nani sijui nani...kwa hiyo ndio unatuonyeshea kuwa wewe ulikuwa unajigonga kwa Mwammy sababu ulikuwa haumjui yaani alikuwa akuweki kama rafiki wa kukupa habari zake za kiundani au? mbona ulikuwa shuti unakuwa kama vile nyie mmezaliwa pamoja kumbe ulikuwa omba omba mkubwa hadi biashara ya nguo imekufa sababu ulikuwa unapata msaada kutoka kwake. leo hii ndio maana umeamua kujiuzia dukani tu na hata leo kushusha bei ya nguo sababu watu hawanunui kama ulivyotegemea.

ila wewe unahitaji msaada unafanya hao wajinga wanaokufata ndio wakushadadie halafu kwa shida unalia hauoni watu, tena na Mwammy kuwa mjini ndio umeingia kichaa kabisa hadi unadanganya wajinga wakuonee huruma eti mtoto anaumwa eti hayupo marekani, sasa kweli wewe kama ni mama na unaumia mwanao kuumwa sana na hauna pesa si ungekuwa muhimbili umelala usiku kucha kuomba wamtibu kwanza na ulipe bili baadae au? unataka mdanganya nani kwa kuandika ujinga eti unauguliwa mtoto huku upo busy unauza nguo na kufurahia pesa.

ila mwanamke weye umekipata mwaka huu yaani hadi lazima unajija.mbia ndani kwa ndani. mtoto anaumwa unajifanya hauna pesa haujui umejionyesha unadanganya kwani wale waliokununulia tiketi uje ugombanie ubunge wapo wapi? eeh wale waliokuwa wanakupa info za kuchafua wazee na kukuahidi mambo mbona hata mahakamani sijui polisi hawakukusaidia?

na mie nakuandikia gazeti, uache ujinga wako wa kufata maisha ya marafiki zako na lolote unalololilia litakutokea naona haujifunzi kabisa mpishi kama sijui linini wewe mwanamke wivu utakumaliza

ila nimefurahi umelipata mwaka huu pole yako na udaku wako endeleza ni maisha yako ila umekionja eeeehhhhh duh

haya Mwammy ndio karusha mipicha yupo mjini na wewe kibaraka wake ndio kakusahau kabisa, anakula bata weye unauza nguo za wachina wanazoshonesha kule LA kwenye maeneo yako. sasa kweli hadi 30k labda tafuta kazi ya kupigia tarumbeta CCM washinde ila ya maisha ya watu unajichimbia kila binadamu atakaloliona kwa muda wake.

mwanamke wivu khaaaa, bado nacheka ulivyoipamba nyumba ile na leo haujaalikwa kulala basi unalia lia, ulidhani Mwammy atakualika ukalale kuwa kaja Dar kwani wewe na kaka yake na marafiki zake nani zaidi? kaa na kudoda Tanzania imekuonyesha uwiiiiii pole

na ukome kumtafuta Zari na Diamond bora ulifuta post maana wivu wako nenda kamlambe miguu mwammy basi unaumiaaa na wivu. kahaab wa Dubai weye

Haaa haaaa haaaaa Mzurimie you made my day.
 
Back
Top Bottom