Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

Tupieni ma screen shot
 
Wana Chit-chat mmemsoma Mange Leo ? Kwa kweli hali ya hewa imechafuka nashindwa kuweka screen shot hapa inakataa Kwa anayeweza hebu aiweke wasio na insta account. Mange huyu anaelekea pabaya
umeshindwa kukopi na kupaste alichikiandikaa??
 
Mwenye namba ya mange anisaidie ili nimshauri maana kipindi tuko o level alinipenda sana
 
Wana Chit-chat mmemsoma Mange Leo ? Kwa kweli hali ya hewa imechafuka nashindwa kuweka screen shot hapa inakataa Kwa anayeweza hebu aiweke wasio na insta account. Mange huyu anaelekea pabaya
Mbona mwoga weka alichosema tuone nasisi sasa unakuja nusu nusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…