whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,432
Wana Chit-chat mmemsoma Mange Leo ? Kwa kweli hali ya hewa imechafuka nashindwa kuweka screen shot hapa inakataa Kwa anayeweza hebu aiweke wasio na insta account. Mange huyu anaelekea pabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dear, nilikujibu kule kwenye ile mada ingine uliponiuliza nikaribie nini? Uliiona post angu?mange siku zake zinahesabika
umeshindwa kukopi na kupaste alichikiandikaa??Wana Chit-chat mmemsoma Mange Leo ? Kwa kweli hali ya hewa imechafuka nashindwa kuweka screen shot hapa inakataa Kwa anayeweza hebu aiweke wasio na insta account. Mange huyu anaelekea pabaya
nani..mange au MPAlikuwa demu wngu kipindi tuko o level
nani..mange au MP
Mbona mwoga weka alichosema tuone nasisi sasa unakuja nusu nusu.Wana Chit-chat mmemsoma Mange Leo ? Kwa kweli hali ya hewa imechafuka nashindwa kuweka screen shot hapa inakataa Kwa anayeweza hebu aiweke wasio na insta account. Mange huyu anaelekea pabaya