Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

Dah! Aisee labda Mange angefunguka ni jambo gani alilokosewa na huyu kaka?? Mana kama ni issue za Utendaji mbona angeliongelea kwa fact tu na kutoa mawazo yake kwamba iweje au afanye nini na alichofanya si sawa yani angetoa ushauri kama afanyavyo baadhi ya posti, Lakin kumchambua mtu kwa mambo binafsi inakuwa ngumu jamii kumuelewa au labda baadae atakuja kufunguka nini kilimpelekea kufanya hivyo. DAH!!!!
 
Dah! Aisee labda Mange angefunguka ni jambo gani alilokosewa na huyu kaka?? Mana kama ni issue za Utendaji mbona angeliongelea kwa fact tu na kutoa mawazo yake kwamba iweje au afanye nini na alichofanya si sawa yani angetoa ushauri kama afanyavyo baadhi ya posti, Lakin kumchambua mtu kwa mambo binafsi inakuwa ngumu jamii kumuelewa au labda baadae atakuja kufunguka nini kilimpelekea kufanya hivyo. DAH!!!!

Me nimesoma nikajiweka kwenye [emoji151][emoji151] Viatu vya mrs mkuu wa jiji lakini bado nilihisi vimenibana. Ni vibaya mno kufanya personal attacks Kiama hizi anaharibu saikolojia za watu. Tangu amtukane mzee lowasa sijawahi kumuelewa tena anapenda matusi magumu magumu kurushia watu hajali kabisa I see.
 
Me nimesoma nikajiweka kwenye [emoji151][emoji151] Viatu vya mrs mkuu wa jiji lakini bado nilihisi vimenibana. Ni vibaya mno kufanya personal attacks Kiama hizi anaharibu saikolojia za watu. Tangu amtukane mzee lowasa sijawahi kumuelewa tena anapenda matusi magumu magumu kurushia watu hajali kabisa I see.
Ninahisi ukaribu wa Paul na Le Mutuz unampoza, lile bifu la Mange na Le Mutuz halijaisha. Ameamua kugombana na wanaume sasa😳😳
 
Back
Top Bottom