Jamani anaeweza kumuonya yule mtoto wa kike amounye, anakokwenda si kuzuri hata kidogo, hivi hajui kuwa rais Magufuli anaweza kuwasiliana na Interpol, FBI au CIA na akahojiwa?Alivyolala ndani last time nilidhani kajifunza......
Halafu ana matusiiiiiiiiiiii kuita wenzie mbwa ni mwepesi kweli kweli
Labda mwisho wake unakuja...maana siku hizi anekuwa too much
Heri angeendelea kujikita na kuposti ubuyu tu
Duuuh bathiii ni soooo....huyo binadamuAnamaadui katika pembe nne zote za dunia, halali lazima aangalie nani amemtukana wapi😎😎, aende insta, fb, what'sup, JF na kwingine anakokujua.
kumbe tuko wengi unafika unatoa MACHO then kama ya leo nikatupiamo na like fyuuuuu nikasepa sasa nimekutana nayo huku ila hata huku unaweza ukatia nyama ukaokotwa piaKule ninaingia kama nyumba ya mama mkwe, kwa adabu na heshima na siachi comment zaidi ya kusoma, yule ni chizi maarifa, unaweza kumsifia pia akafikiri unamchora😀
Wewe unaingiza maneno ambayo sijayasema, rafiki unanichimbia kaburi, hujui kuwa mimi ndiye mchumba mtarajiwa wa Le Mutuz😛😛Rafiki nawe umelikoroga maana Le Mutuz atakushukia atadhani Makonda ndiye mwanaume ila yeye mh! - utani
HhahahahaKule ninaingia kama nyumba ya mama mkwe, kwa adabu na heshima na siachi comment zaidi ya kusoma, yule ni chizi maarifa, unaweza kumsifia pia akafikiri unamchora😀
Landa kuna baya linalotaka kumpata...sasa linatafuta sababuJamani anaeweza kumuonya yule mtoto wa kike amounye, anakokwenda si kuzuri hata kidogo, hivi hajui kuwa rais Magufuli anaweza kuwasiliana na Interpol, FBI au CIA na akahojiwa?
Nsamehe bureWewe unaingiza maneno ambayo sijayasema, rafiki unanichimbia kaburi, hujui kuwa mimi ndiye mchumba mtarajiwa wa Le Mutuz😛😛
Du! Huu UHURU wa Mitandao utatufikisha Pabaya.
I wapi ile sheria ya inayowajibisha mwandika ujumbe na msomaji.....ujumbe.tunakoelekea followers wa mange wataokotwa na jamhuri nipeni dk 5.........
Kwa kweli, hatutasahau wazazi na walezi waliomlea Mange Kimambi, anagusa maisha ya kila binadamu, hata wakwe zake wa zamani hawana hamu nae😳😳Landa kuna baya linalotaka kumpata...sasa linatafuta sababu
Maana anakoenda siko....
Lini?Nitarudi.
Mwenye namba ya mange anisaidie ili nimshauri maana kipindi tuko o level alinipenda sana
Nadhani Mange ni smart kuliko tunavyomchukulia, kuna kila dalili anatafuta status ya mkimbizi wa kisiasa marekani baada ya mume wake kumkalia kooni.Hizi personal attack za Mange kwa Paul ni sababu za kisiasa au kuna mengine?
Hoja za msingi ni kusema mzee kama Lowassa amejinyea?Japo kuwa huwa anahoja za msingi, Sema hajui kuzitetea hoja kwa hoja, yeye anadili na Kila kitu mpaka Maisha binafsi ya mtu
Kwani humu JF hayumo?!
UtanikutaNitarudi.
Mange tayari ana greencard,na talaka haiwezi kumuondolea green card yakeNadhani Mange ni smart kuliko tunavyomchukulia, kuna kila dalili anatafuta status ya mkimbizi wa kisiasa marekani baada ya mume wake kumkalia kooni.