Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Revenge porn artists na websites zao zimepigwa chini USA, na Wahusika wamewajibishwa. It's against the US law. Na huyu k.uma ndicho anachokifanya. She needs to be shut down asap by US authorities, and sued kwa vile Apple na Google ni US-based companies . Hapo ndipo utaona Apple Store na Google Play wataondoa app yake kama kuna pressure ya ziada, sababu app yake tayari ipo banned in Tanzania.
 
Wale watoto nawahurumia sana ila inaonekana siku hizi hawapelekeshi atakavyo watakua wameshapata elimu ya kujikomboa,ndo maana amebaki kulalamika kuhusu yule mkubwa kujiamulia style za nywele atakavyo. Bhoke ndo alimkimbia hataki hata kurudi kumsalimia

Zari alimkomesha kwenye kutukana watoto wa wenzie. Faiza alimkomesha kwenye kuita wenzie single mothers without child support. Kumbe kipindi anamsakama faiza nae alikua anapitia yale yale ya usingle mother akijua hakuna mbongo atakaye fahamu wakaibuka wabaya wake wakamuumbua akajitokeza hadharani kuachika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Natamani warudi tena kutuonyesha mengine ili akome daah rachel temu ndani ya fekero alitisha sana.
Hehehehehe umenikumbusha Rachel Temu uwiii alijua kumkalia kooni kidogo alimpoozesha,
Sijui kaenda wapi Rachel nae jamani,

Bhoke kakimbia maana angekaa nae karibu na yeye angepelekwa Hospital ya Vichaa,

Yule Mtoto wa kiume naona anasubiri kwa hamu atimize miaka 18 sidhani kama ataendelea kuishi na mama ake,

Kwa Zari alichemka maana kila akifurukuta mwenzie bado kamuacha mbali sana kimaisha pia ninachoona kinazidi kumfanya apagawe ni ile kukosa uhuru, anatamani sana arudi Bongo ajimwambafai eeh nimetoka Marekani ila hawezi, anatamani kampani za marafiki lakini wote huko walishamkimbia nani atakaa na kigeu geu, nawaza yule Iron Lady ni kajitoa muhanga au na yeye anayajua mengi ya Bidada?
 
Revenge porn artists na websites zao zimepigwa chini USA, na Wahusika wamewajibishwa. It's against the US law. Na huyu k.uma ndicho anachokifanya. She needs to be shut down asap by US authorities, and sued kwa vile Apple na Google ni US-based companies . Hapo ndipo utaona Apple Store na Google Play wataondoa app yake kama kuna pressure ya ziada, sababu app yake tayari ipo banned in Tanzania.
Umetoa mwanga sasa naimani wahanga wanaweza kuona jinsi ya kufanya malalamiko yafike huko mamlaka husika ya Nchi aliyokuwepo, presha ikiwa kubwa kweli hana la kufanya ni kama vile anavyoomba usiku na mchana akaunt yake ya Insta isifungiwe kumbe yawezekana kama malalamiko yakiwa mengi basi ndio anguko lake
 
Kuna taarifa yule mwanamke ni mgonjwa wa kansa ya damu, anajijua wazi siku yeyote atakata kamba. Jambo hili ndiyo linamfanya atende ujinga ule, hana cha kupoteza na kuharibu maisha ya mtu kwake ni faraja.
Nilisikia hiyo kitu pia, is it true?!
 
Asanteni sana JF kwa kusafisha na kufunga zile nyuzi zote za Irene Uwoya!
 
Nauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??

Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,

Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.

Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,

Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??

Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,

Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
Wewe unachukuaje video za ngono? Huwezi kufanya faragha zako hadi mjirekodi?

Halafu anakuumizaje kwa jambo ambalo una uhakika nalo kwamba ni jambo jema mbele ya jamii? Kama unafanya maovu acha uovu wako uanikwe mbele ya jamii ili uache tabia hiyo.
 
Umetoa mwanga sasa naimani wahanga wanaweza kuona jinsi ya kufanya malalamiko yafike huko mamlaka husika ya Nchi aliyokuwepo, presha ikiwa kubwa kweli hana la kufanya ni kama vile anavyoomba usiku na mchana akaunt yake ya Insta isifungiwe kumbe yawezekana kama malalamiko yakiwa mengi basi ndio anguko lake
Ni suala la muda tu. Believe me, huyu mbwa has crossed the line, dawa yake ipo jikoni.
 
Serikali yetu inamambo yamsingi sana ya kufanya na sio kudeal na xvideos za mange app! Kwanza imefungiwa kwann udownload VPN ukacheki pilauextra!
 
Hitmen huko aliko mbona wengi tu na si ghali...hajakanyaga pabaya bado,Ila unaweza tafuta ndugu zake huku ukawashughulikia....mchuma janga hula na wa kwao
Huyo dada,ametamba kipindi cha Magu,Magu akafa akamuacha,sidhani kama kuna hao wakuitwa hitmen wamuweze,au Unadhani JPM au wasaidizi wake,walikua wanafurahia alichokua anakifanya?
 
Huyo ni TZ Citizen, hana protections under US laws, plus she's doing all her stupid, evil sh.it simply for profit, knowing she's unapproachable nd beyond the reach of TZ law given the fact she's based in the US.
 
Back
Top Bottom