Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Hehehehehe umenikumbusha Rachel Temu uwiii alijua kumkalia kooni kidogo alimpoozesha,Wale watoto nawahurumia sana ila inaonekana siku hizi hawapelekeshi atakavyo watakua wameshapata elimu ya kujikomboa,ndo maana amebaki kulalamika kuhusu yule mkubwa kujiamulia style za nywele atakavyo. Bhoke ndo alimkimbia hataki hata kurudi kumsalimia
Zari alimkomesha kwenye kutukana watoto wa wenzie. Faiza alimkomesha kwenye kuita wenzie single mothers without child support. Kumbe kipindi anamsakama faiza nae alikua anapitia yale yale ya usingle mother akijua hakuna mbongo atakaye fahamu wakaibuka wabaya wake wakamuumbua akajitokeza hadharani kuachika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Natamani warudi tena kutuonyesha mengine ili akome daah rachel temu ndani ya fekero alitisha sana.
Kweli kabisa japo naomba isiwe kumalizwa kwa kuuwawa watoto bado wadogo sana wale,Likiwekwa dau la maana wahuni watammallza huyu kahaba huko huko California
Umetoa mwanga sasa naimani wahanga wanaweza kuona jinsi ya kufanya malalamiko yafike huko mamlaka husika ya Nchi aliyokuwepo, presha ikiwa kubwa kweli hana la kufanya ni kama vile anavyoomba usiku na mchana akaunt yake ya Insta isifungiwe kumbe yawezekana kama malalamiko yakiwa mengi basi ndio anguko lakeRevenge porn artists na websites zao zimepigwa chini USA, na Wahusika wamewajibishwa. It's against the US law. Na huyu k.uma ndicho anachokifanya. She needs to be shut down asap by US authorities, and sued kwa vile Apple na Google ni US-based companies . Hapo ndipo utaona Apple Store na Google Play wataondoa app yake kama kuna pressure ya ziada, sababu app yake tayari ipo banned in Tanzania.
Nilisikia hiyo kitu pia, is it true?!Kuna taarifa yule mwanamke ni mgonjwa wa kansa ya damu, anajijua wazi siku yeyote atakata kamba. Jambo hili ndiyo linamfanya atende ujinga ule, hana cha kupoteza na kuharibu maisha ya mtu kwake ni faraja.
Maake apo kwanza N'cheke [emoji1787]Siku hizi amekuwa bilionea, hata huko Marekani anaongea na wakina Jennifer Lopez na Angelina Jolie tu.
Wewe unachukuaje video za ngono? Huwezi kufanya faragha zako hadi mjirekodi?Nauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??
Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,
Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.
Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,
Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??
Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,
Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
Ni suala la muda tu. Believe me, huyu mbwa has crossed the line, dawa yake ipo jikoni.Umetoa mwanga sasa naimani wahanga wanaweza kuona jinsi ya kufanya malalamiko yafike huko mamlaka husika ya Nchi aliyokuwepo, presha ikiwa kubwa kweli hana la kufanya ni kama vile anavyoomba usiku na mchana akaunt yake ya Insta isifungiwe kumbe yawezekana kama malalamiko yakiwa mengi basi ndio anguko lake
Huyo dada,ametamba kipindi cha Magu,Magu akafa akamuacha,sidhani kama kuna hao wakuitwa hitmen wamuweze,au Unadhani JPM au wasaidizi wake,walikua wanafurahia alichokua anakifanya?Hitmen huko aliko mbona wengi tu na si ghali...hajakanyaga pabaya bado,Ila unaweza tafuta ndugu zake huku ukawashughulikia....mchuma janga hula na wa kwao
Duh...Alipewa drugs yule dada, hakua na nguvu kabisa nakukoroma juu
Hivi kuna wenye pesa humu Tanzania kuizidi serikali?Mange kawasema marangapi akina JPM?Kule nje,raia wanalindwa sana,labda umpige chuma,halafu uishie jela,yaani ujitoe muhanga.Ajikanyage aposti za wenye fedha,atagongwa chuma hukohuko warudishe mzoga
Sawasawa, na huyo mwenye kufanya upuuzi/uzinzi wake anatakiwa apigwe faini..Serikali yetu inamambo yamsingi sana ya kufanya na sio kudeal na xvideos za mange app! Kwanza imefungiwa kwann udownload VPN ukacheki pilauextra!