Mange Kimambi ameshindikana kudhibitiwa kabisa?

Siku hizi eti chawa wa Maza kwa hiyo hakuna kitu atafanywa maana maza mwenyewe anamwogopa
 
Acha ujinga US tunaijua kuliko bongo acha kudanganya mambo ya kitoto, zaidi ya kupiga kura hakuna tofauti na mbele ya sheria wote sawa tuu,na sio kila felony ni deportable offence acha ujinga
 
Enzi hizo ky kulikua hamna kwahiyo alipata maumivu balaa,mku...ndu uliwaka[emoji91][emoji91]
 
Sijazungumzia google play.
Wasimamishe malipo ya wambea lukuki wanaolipia App kwenye kampuni za simu kama Airtel, Voda, Tigo. Serikali inaweza kuzuia miamala ya kutoka na kuingia kwa kimavi
 
Hatimaye na Mimi nimeziona za uwoya, mbona Kama alikuwa kwenye magheto yetu ya uswazi sio dubai
 

Ashapigwa chini Insta...
 
Ukikuta connection yako kwenye App yake utakuja kufuta hii comment huku kamasi zinakutoka

Ina maana ngono siku hizi imekuwa ni fashion kwamba lazima mchukue na video ikionesha umezama inchi 9? Kama ni hivyo wacha Mange awakomeshe watu ili washike adabu ya kujirekodi video!
 
Nikuukize ndugu, wewe ukijifungia geto kwako ukarekodi video chafu na mchafu mwenzio ktk simu yako halafu baadae ukaikuta kwa Mange ni nani atakua kafanya kosa? Mange alikuja kukushauri kukulazimisha urekodi huo upuuzi ktk simu kwa ulimwengu huu wa science na technology ya leo?
 
Acc yake ya insta imefungwa. Lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…