Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Kwahiyo ali kiba kapangiwa tarehe ya kufunga ndoa au kapanga mwenyewe?
 
l
Kashfa gani kwan lemutuz hana kibamiaa kweli??
 
Kwan huoni maadui zake walivyozitumiaa hizo pichaa??
Si lengo la kumuumiza limefanikiwa? Lengo la kumfanya aweweseke limefanikiwa? Alipaswa kuweka msiba chumbani kwake huku struggle zikiendelea. Unapoamua kuwa front kwenye issues kama hizi lazima uwe na mbinu na mbavu za kuvumilia mawe kama haya. Angemalizana na familia yake huko private huku nje angepuuza na wala picha zingekuwa maarufu.
 
Word!upo vizuri mkuu
 
Mbona umepanic umesema saa ngapi?au sijaiona hio post?
Rudi page za nyuma hahaaahaaa ni panic kwa lipi mamy [emoji23][emoji23][emoji23] Panic button kwangu haipo.
Bidada ni motroooo.
 
 
Misukule hawatakuelewa mkuu. Ukweli upo mbele yao kama asingelalamika kika mtu asingeona umuhimu wa hio picha
 
Motroooo kwa kupanic[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makonda tafuta na lance piga nae picha watu tufaid ubuyu(mweee mzungu atachambwaje hadi tutafahamu kama ana kibamia au hogo)
Rudi page za nyuma hahaaahaaa ni panic kwa lipi mamy [emoji23][emoji23][emoji23] Panic button kwangu haipo.
Bidada ni motroooo.
 
Misukule hawatakuelewa mkuu. Ukweli upo mbele yao kama asingelalamika kika mtu asingeona umuhimu wa hio picha
There is no morality when it comes to politics baby.........unapambana then unasepaaa
 
Mange ni kichaa tena kichaa cha mbwa, hivi hana namba za ndugu zake anakuja kusemea huku.du ukiwa mjinga shida sana.
 
Mbona unatusemea Waafrika wote, wa wapi wewe? Eti, sisi Waafrika mtoto wa kike blah blah blah...sema kabila lenu hilo msiostaarabika kiasi mnafanya km wanyamapori.

Mwenzio ana tuzo ya mahakama kupata haki yake we unaleta ngonjera za mila kisa umekasirishwa na gwaride LA binti wa Kipare
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…