Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Kweli wanaomuunga Mkono huyu bidada wakapimwe akili, natafakari tu jinsi anavyotaman kurud nyumban azushe varangati halafu haiwezekani. Mhe. Makonda nashauri hiyo hotel ipigwe bango FOR SALE hakwanan atableed huko aliko, asicheze na akili kubwa huyo bich.
 
Mali asahau mtoto wa nje ya ndoa anapewa tu kwa hisani na huruma ya watoto wa ndoani basi. Ila katujulisha saiv wamebakiwa na guest na nyumba moja tu basi,viwanja vingine alivyopewa na hao ndugu,mange alishauza kumsaidia mzungu kupunguza madeni

Kwani lazima Mange aje leo kufungua kesi?
Mange hawezi kurudi leo.
Na hivyo nyumba na mali zao sio za utawala wa kikwete wala magufol wenu ni kipindi cha mkapa.

Sasa basi unadhani kwamba Magu atatawala mileke mpaka mange ashindwe kurudi huko mbeleni?

Au ndio mnajimilikisha nchi kama rwanda
 
A letter to my brother Anil

Since baba amefariki in 2004 I have tried to be the best sister I can be. Siku zote nimewaweka nyinyi mbele yangu mimi. .
.
Nimejaribu kufikiria kama you thought everything through kabla hukwenda kwa Bashite. Remember nyumba mnayoishi 25% ya hiyo nyumba ni yangu. Kumbuka hoteli inayowapa kula 25% ni yangu. Na sio yangu kwa maneno ila kwa judgement ya mahakama kuu. Judgement imetoka since 2006 na mpaka leo mimi naishi nje ya nchi na sijawasumbua muuze chochote mnipe changu.
.
.
Since 2004 baba alivyofariki sijawahi kudai wala kupokea hata shingi 10 ya mapato ya hotelini sababu niliwaza nyinyi mnahitaji hizo pesa more than me. Nilitaka msimmiss sana baba sababu aliwaacha nyinyi wadogo sana. Nikaona nibusara niwaachie na share yangu ya hotel. For 14 years hamjawahi kunipa hata sumni. That’s how much I love you. Nahangaika kivyangu marekani ila hata siku moja sijawahi kuwaambia naomba muanze kunipa share yangu ya hoteli. Leo hii nikisema niwadai share yangu ya mapato ya hotel since 2004 mtakuwa na hali gani?? Au nikisema uzeni nyumba mnilipe changu mtaenda kuishi wapi? Na mmezoea kuishi kwenye mansion? Mnadhani sihitaji hizo pesa zangu ? Nazihitaji ili na kimi ninunue japo apartment hapa marekani. Sitaki kuharibu undugu sababu ya mali. Ila wewe umekubali undugu kuharibu wetu?? 3 months ago kimya kimya mmeuza ile sehemu ya kuchimba kokoto pale Tegeta kwa milioni 400 hamjanipa hata senti moja, hata kuniambia kama mmeuza hamjaniambia. Nafanya kuhadisiwa na mliowauzia. Na hata kuwauliza sijawauliza sababu nalinda undugu. Na nnalinda undugu sababu hakuna kitu baba alikuwa ananisihi kukifanya kama kuhakikisha hatufarakani. Kila siku aliniambia Wewe ndio mkubwa, wewe ukiwapenda wadogo zako hamtokaa kutengana. Wewe ndio wakuwaunganisha hawa. Nimejaribu kufanya hivi ili kumuenzi baba yetu. Nimeona bora nyinyi muishi like kings mimi niishi kawaida. .
.

Mpaka hati zangu za shamba langu la Mbweni nilikubali mkazichue kwa lawyer wangu although jaji alinikabidhi mwenyewe. Kama isingekuwa Mama Tenga kukataa kuwapata bila mimi kuwepo leo mngekuwa nazo.
Mpaka hati zangu za shamba langu la Mbweni nilikubaliana mkazichuenkwa lawywr wangu although jaji alinikabidhi mwenyewe. Kama isingekuwa lawyer kukataa kuwapata bila mimi kuwepo leo mngekuwa nazo. Kesi tumeshinda mahakamani na hata sijawasumbua kuhusu ilo shamba. .
. .
.
.
Nna uwezo wa kurudi mahakamani na kumwambia jaji mmeuza eneo la kokoto kimya kimya without giving me anything. Na hatua kali zikachukuliwa kwa kunitapeli, labda your new friend Bashite atakusaidia huko mahakamani . You have connection now [emoji849]
.
.
Ila dah umeniumiza
By the way share yangu ya machimbo ya kokoto ( Tegeta) mliouza kwa milioni 400 mngeanza kunitafutia kabisa. Mlidhani sijui? I know Ila nilikuwa kimya sababu nawapenda sana na bila nyinyi nahisigi siwezi kuishi ila labda nahitaji kujifunza kuishi bila nyinyi. I have tried my best. Baba huko aliko anajua, I have tried!!
.
.
Nna uwezo wa kurudi mahakamani na kumwambia jaji mmeuza eneo la kokoto kimya kimya without giving me anything. Na hatua kali zikachukuliwa kwa kunitapeli, labda your new friend Bashite atakusaidia huko mahakamani . You have connection now [emoji849]
.
.
I just wanted to remind you of how easily I can **** you guys over but I chose not to sababu kwangu mimi pesa na mali is nothing but undugu is everything. Ila leo you decided to **** me over. Ukooo mzima ulishangaa na unanishangaa mpaka kesho how come sijadai changu Hadi leo miaka 10 na wakati jaji alishatugawanyisha?? You have taken me for granted. But namwachia Mungu, atanilipia!!!!
.
.
.
Sorry guys, ilibidi nitoe hili kifuani ili niweze kuendelea na mambo mengine.... Nisingekwambia ingenisumbua mno. Haki leo Bashite kaniumiza.... abut the struggle continues. I promise not to address this issue again.... Kwahili mniombee kwa kweli maana limeniumiza haswa. Na nimeumia simply because najua my dad is so disappointed huko aliko finally tumefarakana!!!! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji30][emoji30][emoji30]
pole bidada shupavu wetu!
 
Bonge amemsaliti dada ake! Siku zote damu ni nzito kuliko maji! Alichokifanya ni dhahiri yuko tayari hata dada ake anyongwe ili tu kina DAB wafurahi! Wakina Paul ni wapita njia lakini Mange atabaki kuwa ndugu yake milele na hakupaswa kumdhalilisha kiasi hiki! Hata hao kina DAB pamoja na matatizo yao bado ndugu zao wanawasapoti! Ila huwezi jua labda alitishiwa kutekwa!
 
Wape wape vipande vyao wakimeza wakitema ni shauri yao, kupiga Picha na makonda ni kitendo cha aibu sana
Ni haki yake kidemocrasia kufanya atacho na apendacho ili mradi havunji sheria,nyie si ndio mnahubili democrasia kila siku?,mbona hapa mnapingana na mahubili yenu?
 
Na bado, mali zinaisha na kesho kesho kutwa mzungu kakutema[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ndo utakapo chekea chooni
 
Sijaona popote wakitaja tarehe fulan,ni sawa na kujitekenya kisha kucheka mwenyewe,wema tu akipiga picha na makonda mange anatoa mapovu,kwann anataka kucontrol watu wote anaona wapo chini yake(ndoton). Hata hatufaham mazungumzo waliyoongea tayar watu wanatokwa povu je tungeyafaham si kungekua na kupoteza fahamu
Si kosa. Japo muhusika kwa sasa anatapatapa kumtoa dada kwenye reli. Yeye atulie tu mbona tunajua hiyo tarehe hakuna chochote anazidi tu kumpa sympathy na kuonekana kweli kawashika pabaya.

Hii ni Tanzania si Kenya tunajijua kabisa vile ni waoga.
 
Hiyo picha amepost ms sepetu saa inaonesha ni 00:34 Usiku mkubwa tuu... yaani hakusubiri hata kukuche...hahaaaaaaa
 
Mfano wa kuigwa wakati anawasiliana na ndugu zake kwa kupitia instagram! My left foot.

Leo anaanza kutolea siri zao za ndani kwenye instagram halafu unamwambia mfano wa kuigwa!

Kama una akili timamu ukiona ndugu zako wa damu wanaanza kukukumbia mpaka unatumia instagram kuwasiliana nao lazima uanze kujitafakari kwa kina.

Tanzania kuna vituko!
Bila shaka nduguzake watakuwa wamemfungia vioo, hawapokei simu wala kumjibu msgs!
 
Nilishangaa sana milipomsikia Musiba akidai eti Mange anatumiwa na kitengo cha Ujasusi cha Marekani.

Kitengo cha Ujasusi cha Marekani hakiwezi kumtumia mtu ambaye haeleweki eleweki kifikra (unsound mind)

Mtu ambaye kesho akiamka kivingine anaanza kutoa siri zote ulizompatia.

Kuna siku hata wanasiasa wa Tanzania wanaomtumia atakuja kuwaanika pamoja na mawasiliano yao.

Mange anaweza kuwa na unsound mind lakini wew unawajua CIA au unawasikia tu?

Achana na huyo mdudu CIA. Kwani lazima aitwe Langley ili ujue anatumiwa na wao? Kwan lazima wamtumie wao moja kwa moja? Hii dunia achana nayo. Lolote lawezekana
 
Nilishangaa sana milipomsikia Musiba akidai eti Mange anatumiwa na kitengo cha Ujasusi cha Marekani.

Kitengo cha Ujasusi cha Marekani hakiwezi kumtumia mtu ambaye haeleweki eleweki kifikra (unsound mind)

Mtu ambaye kesho akiamka kivingine anaanza kutoa siri zote ulizompatia.

Kuna siku hata wanasiasa wa Tanzania wanaomtumia atakuja kuwaanika pamoja na mawasiliano yao.
Mkuu,
Musiba na Mange hakuna tofauti, wana intellectaul disability.
 
Mimi sio mshabiki wa huyu Dada, lakini kwa jinsi anavyopaishwa na hii serikali ya Tanzania ya watu 50million plus. She is becoming more relevant day by day in Tanzania and commanding a huge following!

And surprise to many, She is revealing one thing, she IS THE ONE RUNNING THE GOVERNMENT ! AGREE TO DISAGREE.

and another aspect, why the government fail to ignore her, either in most part she is telling the truth or the government is full of incompetency autocrats, and she is irritating them really hard!

Anawakuna kisawasawa!
Sasa tuchukulie mfano kwenye hili.

Serikali imempaisha vipi?

Mdogo wake Mange (Anil), kwa sababu zake mwenyewe, kenda muona Makonda. Wengi hufanya hivyo wakidhani biashara zao mjini zitafanikiwa au kutaka kupata msaada fulani wa mkuu wa mkoa.

Kwa kuwa Mange amemtukana sana Makonda, alipoiona ile picha ya mdogo wake pamoja na Makonda akaingiwa na kichaa na kuandika ujumbe huu wa kuanika mambo yao ya ndani ya kifamilia.

Serikali mkono wake upo wapi hapa?

Acheni kutengeneza stori za kumpaisha bosi wenu halafu mnasema serikali ndio inayofanya hivyo.
 
Sijaona popote wakitaja tarehe fulan,ni sawa na kujitekenya kisha kucheka mwenyewe,wema tu akipiga picha na makonda mange anatoa mapovu,kwann anataka kucontrol watu wote anaona wapo chini yake(ndoton). Hata hatufaham mazungumzo waliyoongea tayar watu wanatokwa povu je tungeyafaham si kungekua na kupoteza fahamu
Hakuna haja ya kupingana na ukweli.

Kinachoendelea hapo kinajulikana wala si lazima kutumia darubini kuliona hilo.

Kwa nini yaje kipindi hiki??

Hapa sizungumzii wema ni picha ya Konda na Anil na ndo maana Mange kaamua kuzungumza. All in all ni haki yake maana Ni ndugu yake sisi wengine tunapiga makelele tu.

Ukweli utabaki sahivi Mange anazidi kumsumbua sana jamaa hajui ashike nini sasa hii kiki imebuma atafute nyingine kwa kweli yule bidada hata kama movement yake haitafanikiwa lakini katia jambajamba.
 
A letter to my brother Anil

Since baba amefariki in 2004 I have tried to be the best sister I can be. Siku zote nimewaweka nyinyi mbele yangu mimi. .
.
Nimejaribu kufikiria kama you thought everything through kabla hukwenda kwa Bashite. Remember nyumba mnayoishi 25% ya hiyo nyumba ni yangu. Kumbuka hoteli inayowapa kula 25% ni yangu. Na sio yangu kwa maneno ila kwa judgement ya mahakama kuu. Judgement imetoka since 2006 na mpaka leo mimi naishi nje ya nchi na sijawasumbua muuze chochote mnipe changu.
.
.
Since 2004 baba alivyofariki sijawahi kudai wala kupokea hata shingi 10 ya mapato ya hotelini sababu niliwaza nyinyi mnahitaji hizo pesa more than me. Nilitaka msimmiss sana baba sababu aliwaacha nyinyi wadogo sana. Nikaona nibusara niwaachie na share yangu ya hotel. For 14 years hamjawahi kunipa hata sumni. That’s how much I love you. Nahangaika kivyangu marekani ila hata siku moja sijawahi kuwaambia naomba muanze kunipa share yangu ya hoteli. Leo hii nikisema niwadai share yangu ya mapato ya hotel since 2004 mtakuwa na hali gani?? Au nikisema uzeni nyumba mnilipe changu mtaenda kuishi wapi? Na mmezoea kuishi kwenye mansion? Mnadhani sihitaji hizo pesa zangu ? Nazihitaji ili na kimi ninunue japo apartment hapa marekani. Sitaki kuharibu undugu sababu ya mali. Ila wewe umekubali undugu kuharibu wetu?? 3 months ago kimya kimya mmeuza ile sehemu ya kuchimba kokoto pale Tegeta kwa milioni 400 hamjanipa hata senti moja, hata kuniambia kama mmeuza hamjaniambia. Nafanya kuhadisiwa na mliowauzia. Na hata kuwauliza sijawauliza sababu nalinda undugu. Na nnalinda undugu sababu hakuna kitu baba alikuwa ananisihi kukifanya kama kuhakikisha hatufarakani. Kila siku aliniambia Wewe ndio mkubwa, wewe ukiwapenda wadogo zako hamtokaa kutengana. Wewe ndio wakuwaunganisha hawa. Nimejaribu kufanya hivi ili kumuenzi baba yetu. Nimeona bora nyinyi muishi like kings mimi niishi kawaida. .
.

Mpaka hati zangu za shamba langu la Mbweni nilikubali mkazichue kwa lawyer wangu although jaji alinikabidhi mwenyewe. Kama isingekuwa Mama Tenga kukataa kuwapata bila mimi kuwepo leo mngekuwa nazo.
Mpaka hati zangu za shamba langu la Mbweni nilikubaliana mkazichuenkwa lawywr wangu although jaji alinikabidhi mwenyewe. Kama isingekuwa lawyer kukataa kuwapata bila mimi kuwepo leo mngekuwa nazo. Kesi tumeshinda mahakamani na hata sijawasumbua kuhusu ilo shamba. .
. .
.
.
Nna uwezo wa kurudi mahakamani na kumwambia jaji mmeuza eneo la kokoto kimya kimya without giving me anything. Na hatua kali zikachukuliwa kwa kunitapeli, labda your new friend Bashite atakusaidia huko mahakamani . You have connection now [emoji849]
.
.
Ila dah umeniumiza
By the way share yangu ya machimbo ya kokoto ( Tegeta) mliouza kwa milioni 400 mngeanza kunitafutia kabisa. Mlidhani sijui? I know Ila nilikuwa kimya sababu nawapenda sana na bila nyinyi nahisigi siwezi kuishi ila labda nahitaji kujifunza kuishi bila nyinyi. I have tried my best. Baba huko aliko anajua, I have tried!!
.
.
Nna uwezo wa kurudi mahakamani na kumwambia jaji mmeuza eneo la kokoto kimya kimya without giving me anything. Na hatua kali zikachukuliwa kwa kunitapeli, labda your new friend Bashite atakusaidia huko mahakamani . You have connection now [emoji849]
.
.
I just wanted to remind you of how easily I can **** you guys over but I chose not to sababu kwangu mimi pesa na mali is nothing but undugu is everything. Ila leo you decided to **** me over. Ukooo mzima ulishangaa na unanishangaa mpaka kesho how come sijadai changu Hadi leo miaka 10 na wakati jaji alishatugawanyisha?? You have taken me for granted. But namwachia Mungu, atanilipia!!!!
.
.
.
Sorry guys, ilibidi nitoe hili kifuani ili niweze kuendelea na mambo mengine.... Nisingekwambia ingenisumbua mno. Haki leo Bashite kaniumiza.... abut the struggle continues. I promise not to address this issue again.... Kwahili mniombee kwa kweli maana limeniumiza haswa. Na nimeumia simply because najua my dad is so disappointed huko aliko finally tumefarakana!!!! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji30][emoji30][emoji30]
Stressed woman!!!!!!!!!! Issue ni kwamba si kwamba anahuzunika dogo kuuza hzo Mali nyingne na kutokupata share zake hzo ni mambo za kwake.issue ni kwamba dogo kuwa karibu na makonda ndio kinachomuumiza zaidi hakuna kingne hapo

Ila usitake wale unaogombana nao wewe ndugu au rafiki wagombane nao pia

Dogo hakutaka kuingilia magomvi ya Dada yake na watu wake huo ndio uanaume halisi dogo kaangalia mbali saana na mishe zake anazofanya town.

Mange ni hopeless kabisa na stressed woman kwahyo wanaomfuata au kumsikiliza nao ni walewale tu

Bila dogo kuwa karibu na makonda msingeyajua Haya

Ndio mjue mange ni mtu visasi sana na hata chochote kichwani kwake
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu,aliyeanza bifu na mwenzie nani kati ya mange na makonda?

Sion kosa hapo maana aliyechokoza nae kachokozwa

Mmeumia ndo vizuri hata makonda aliumizwa sana na mange kwa zile kashfa kipind kile

Picha imezua jambo hahahaha aiseee
Hakuna haja ya kupingana na ukweli.

Kinachoendelea hapo kinajulikana wala si lazima kutumia darubini kuliona hilo.

Kwa nini yaje kipindi hiki??

Hapa sizungumzii wema ni picha ya Konda na Anil na ndo maana Mange kaamua kuzungumza. All in all ni haki yake maana Ni ndugu yake sisi wengine tunapiga makelele tu.

Ukweli utabaki sahivi Mange anazidi kumsumbua sana jamaa hajui ashike nini sasa hii kiki imebuma atafute nyingine kwa kweli yule bidada hata kama movement yake haitafanikiwa lakini katia jambajamba.
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu,aliyeanza bifu na mwenzie nani kati ya mange na makonda?

Sion kosa hapo maana aliyechokoza nae kachokozwa

Mmeumia ndo vizuri hata makonda aliumizwa sana na mange kwa zile kashfa kipind kile

Picha imezua jambo hahahaha aiseee
Mamy andika vizuri tumia neno wameumia hakuna mahali umeona nimeumia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu ukweli utabaki Dada kuna watu anawalaza macho mpaka wanaenda kutafuta ndugu wapige picha kiki imebuma.

Kutapatapa kubaya sana
 
Back
Top Bottom