Shikamoo kaka Nyani Ngabu nikikuona nafurahi najua tu wazimaHivi yale maandamano bado yapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shikamoo kaka Nyani Ngabu nikikuona nafurahi najua tu wazimaHivi yale maandamano bado yapo?
Ccm itatawala milele? Je akiamua kuweka wakili?This bitch is a fucking lunatic. Eti ataenda mahakamani ili wampte share yake! Mahakama ipi in the US inasikiliza civil disputes za foreign country. Anajua fika kwamba she will never ever board a flight bound to Dar as long as CCM ni chama tawala, and no wonder the so called "ndugu zangu" wanajifanyia wanayo taka bila kumwambia. Matter of fact, wanajuta kuzaliwa na kituko kama yeye, aka Dr. Mange K.
Mkuu nimekuelewa saana. .yani sijui kwa nini wameshindwa kabisa kabisa kuachana nae.
Wema kwa vile umemvuruga vuzi dada Mange.
Sasa mwambie huyo anil aanza kujiandaa kutoa share ya mil 400
It is quite dangerous and catastrophic to be led by a person who is extrovert and impulsive.
If she is what you say, the oath of office will not mean anything to her when her moods and 'involuntary' actions take over.
Be as it may, whether it was deliberate or involuntary as a result of her mentioned condition, what she did is wrong. Forcing people into her political affiliation by use of threats and damaging exposure of private matters is wrong, criminal and against the very principles of democracy she is fighting for.
If she really cant help it, its high time she gets appropriate medical help.
Ccm itatawala milele? Je akiamua kuweka wakili?
Tatizo Konda anafanya mambo ambayo anadhani anamdhoofisha Bidada kumbe anazidi kumpa sympathy.
Hapo ameonesha ni jinsi gani bidada anaogopeka.
Kwani lazima Mange aje leo kufungua kesi?Broda ni ngumu mno mange kupata hizo shares,kwanza hio hotel anayoisemea ni guest isiyofanya kazi,pia kuna kesi ya nyumba mange alifungua dhidi ya mama ake wa kambo(mke wa ndoa wa mzee kimambi)yule mama alishinda. Na hata saiv mange akija kufungua kesi labda iwe kwa mahakama za marekan ila kwa Tanzania hii hata TLS hawawez msaidia ushindi zaid ataishia gerezan
[emoji848] aseee!!si mchezo,nimecheka vibaya mno..Kwa kumuangalia tu huyo bonge hapo njaa isha mtafuna sana tumboni na sasa imehamia kichwani.
Hamna mtu hapo . [emoji38]
Si kosa. Japo muhusika kwa sasa anatapatapa kumtoa dada kwenye reli. Yeye atulie tu mbona tunajua hiyo tarehe hakuna chochote anazidi tu kumpa sympathy na kuonekana kweli kawashika pabaya.Kwan kosa la huyo ndugu ni lipi?kupiga picha ni kosa?
Watu mna dharau wewe una utajili gani mkuu?Sasa wewe na familia yako mtawasiliana kuhusu nini?
Mna kajumba hata ka milioni kumi mjini hapa?
Ufukara wenu usiufananisha na kila mtu.
Kama umeanza kumjua Mange leo bado nenda kwenye archives kwanza
Ubonge nyanya na kukosa akili nadhani vina asili na mahusiano ya Karibu sana...! View attachment 744924
Coco wewe ni mkristo mcha Mungu mzuri sana... Jitahidi sana kuwa na tafakuri
This is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?
HA!Wewe ni matako tu, undugu hautenganishwi na siasa. They will always remain brother and sister regardless ya hizi fitina
Halafu Mange hapambani na ccm, kwa sasa she is non partisan, standing and fighting for the country. Na kwa taarifa yako tu wanaccm wengi tunamsupport. Miaka ya mbeleni baada ya utawala huu wa kidictator mchango wa Mange Kimambi utatambuliwa na kuenziwa.