Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Nakumbuka uliletwa uzi hapa jukwaani kuwa Mange ana wakati mgumu kuhusu mdogo wake wa kiume kupiga picha na RC. Watu wakadai amezoea kuchamba wengine sasa mbona amekaa kimya hasemi chochote kuhusu mdogo wake. Ameamua kuandika watu wanamgeuka tena wanasema IQ yake ni ndogo. Mimi nabaki "kuhemwa" tu.
 
Dogo yupo vizuri harakati za dadake zinahatarisha maisha na Mali za familia,wakati huo dada yao yupo nje safe
Hapo ukute kashinikizwa kuonana na makonda.
Lazima.
Familia itakuwa inaendeshwa sanaaa
 
Mali zenyewe za urithi huyu mwehu anatujazia server kwa ujinga wake,kakazana 25% utadhani kawekeza,kwanza hiyo hoteli ni makazi ya popo na bado TRA inawadai,kwa sisi waafrika mtoto wa kike hana chake katika mali za urithi hata akiwa mkubwa yeye asubiri mgawo kutoka kwa wadogo zake wa kiume.Akizidi kuhamasisha maandamano tutaanzia kubomoa hayo magofu yao ya urithi hapo ndio atajua umuhimu wa amani,anadai hayo magofu sababu ya nchi ni salama .
Hichi ndio mnakiweza mkuu sababu mna Dola.
Hoja hamna kabisa [emoji23] [emoji23]
 
Nakumbuka uliletwa uzi hapa jukwaani kuwa Mange ana wakati mgumu kuhusu mdogo wake wa kiume kupiga picha na RC. Watu wakadai amezoea kuchamba wengine sasa mbona amekaa kimya hasemi chochote kuhusu mdogo wake. Ameamua kuandika watu wanamgeuka tena wanasema IQ yake ni ndogo. Mimi nabaki "kuhemwa" tu.
Wadanganyika hawa bwana.
Juzi walikuwa wanashangilia chupi ya Nandi
 
Kwa mwili huo huyo jamaa atakuwa na akili kweli?

Labda tufahamishwe na wanaomfahamu huyu kijana.
Kwa iyo akili ya mtu inahusiana na unene, nyie mnasikitisha na kuchekesha.
 
Halafu huyo Anil ana shati moja au mashati mengi ya rangi moja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nawaza tu interval ya wakati picha zinapigwa [emoji41]
Huyo lazima amekula sana vitisho kutoka kwa Makonda.
Ila mwisho wa Makonda upo.
Hilo shati itakuwa ni moja.
Kupata shati linalofunika Passo sio kazi ndogo
 
Aiseeee. Kila movement haikosi wafuasi duniani. Movement ya bi mdada INA wafuasi wengi sana naona. Washabiki wanaongezeka tu. Na yeye anazidi kujidhihirisha kila kukicha jinsi alivyo mfano bora wa wale wanaomfollow. Inasikitisha sana.
 
Mimi sio mshabiki wa huyu Dada, lakini kwa jinsi anavyopaishwa na hii serikali ya Tanzania ya watu 50million plus. She is becoming more relevant day by day in Tanzania and commanding a huge following!

And surprise to many, She is revealing one thing, she IS THE ONE RUNNING THE GOVERNMENT ! AGREE TO DISAGREED.

and another aspect, why the government fail to ignore her, either in most part she is telling the truth or the government is full of incompetency autocrats, and she is irritating them really hard!

Anawakuna kisawasawa!
Mkuu nimekuelewa saana. .yani sijui kwa nini wameshindwa kabisa kabisa kuachana nae.
 
Mfano wa kuigwa wakati anawasiliana na ndugu zake kwa kupitia instagram! My left foot.

Leo anaanza kutolea siri zao za ndani kwenye instagram halafu unamwambia mfano wa kuigwa!

Kama una akili timamu ukiona ndugu zako wa damu wanaanza kukukumbia mpaka unatumia instagram kuwasiliana nao lazima uanze kujitafakari kwa kina.

Tanzania kuna vituko!
Kweli uwezo wenu wa ufahamu unazidi kuporomoka. Kitendo cha picha ya Makonda na kaka yake kuwekwa hadharani ndio kimemsukuma Mange kufanya jamii ijue ni nini kinaendelea.
Mange yuko mbali sana kimkakati kuliko Bashite alivyofikiri na malengo yao yamesambara tishwa
 
Sijui hapa alikuwa anatafuta nini???!!!
FB_IMG_15222423170092641.jpg
 
Mange amefanya sahihi kabsaa...hakuja haja tena ya kuficha ficha...
 
Mimi sio mshabiki wa huyu Dada, lakini kwa jinsi anavyopaishwa na hii serikali ya Tanzania ya watu 50million plus. She is becoming more relevant day by day in Tanzania and commanding a huge following!

And surprise to many, She is revealing one thing, she IS THE ONE RUNNING THE GOVERNMENT ! AGREE TO DISAGREE.

and another aspect, why the government fail to ignore her, either in most part she is telling the truth or the government is full of incompetency autocrats, and she is irritating them really hard!

Anawakuna kisawasawa!
Kiukweli Mange anawakuna haswa watu kila siku wanawashwa.

Mange hatosaulika kaitika hili Taifa kataa kubali kivyako vyako na kimtindo wako.

Huyu ni Dada wa Taifa yeees she is a heroine kataa kubali pinga kimpango wako.

Usinijibu ,unikoti kwani nitakupuuza tu .

Am free spirit [emoji57]
 
Kwa kusoma alichoandika huyu Mange na jinsi alivyoandika ni wazi kuwa IQ yake ni ndogo saaana. Watu wanaomkubali sijui IQ zao zikoje.
Wewe una IQ ya ngapi ? Tuanze hapo usijekuta una IQ ya 15 halafu unajidaiii[emoji2]
 
Rudi tukukamate na huyo lawyer wako na judge wako. Hawa watoto wamepata pesa kiulaini kabisa
 
Amina Amina AMINA

KUMBUKA HUMU NI BURUDANI PIA..
Ni sawa lakini burudani isitusahaulishe uchaji wetu... On serious note tusifanye dhihaka wakati sisi ni waamini kwa matendo
Asante sana kwa kunielewa
 
Huko Instagram ndugu zake wamemblock sijui huyo mange angewafikishiaje huo ujumbe kirahisi zaidi ya njia aliyotumia,?
Huenda angetumia njia ya siri isingekuwa na nguvu ili kuharibu mission.
Na kweli, mission ya Bashite imegonga ukuta. Kama ndugu yako anaweza kukudhulumu 100m wakati bado umemuachia 25% of profit ya hotel aendelee kula for 13yrs atashindwaje kutumika kipropaganda na Bashite kukuumiza?
Mange, she is very genius maana sasa hata Bashite awatumieje hao ndugu zake tayari tumeelewa ni watu wa aina gani
 
Back
Top Bottom