Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Ili kujua mtu ana IQ ndogo ni vitu kama hivi. Kwa hiyo alitaka adui zake wawe adui wa ndugu zake? Ili mtu awe adui yako lazima kuwe na sababu zakukuridhisha na sio za kutoka kwa mtu mwingine na mtazamo wako.
Tulia wewe bibi usijilinganishe na Mange ni zaidi ya hicho kifamilia chako hapo kijijini yule ni mtu wa kimataifa anaipeleka serikali yenu puta
 
Mimi sio mshabiki wa huyu Dada, lakini kwa jinsi anavyopaishwa na hii serikali ya Tanzania ya watu 50million plus. She is becoming more relevant day by day in Tanzania and commanding a huge following!

And surprise to many, She is revealing one thing, she IS THE ONE RUNNING THE GOVERNMENT ! AGREE TO DISAGREED.

and another aspect, why the government fail to ignore her, either in most part she is telling the truth or the government is full of incompetency autocrats, and she is irritating them really hard!

Anawakuna kisawasawa!
You are absolutely right
 
Mfano wa kuigwa wakati anawasiliana na ndugu zake kwa kupitia instagram! My left foot.

Leo anaanza kutolea siri zao za ndani kwenye instagram halafu unamwambia mfano wa kuigwa!

Kama una akili timamu ukiona ndugu zako wa damu wanaanza kukukumbia mpaka unatumia instagram kuwasiliana nao lazima uanze kujitafakari kwa kina.

Tanzania kuna vituko!
Hivi ndugu yake aliyeenda kwa Bashite akapiga picha na kuandika sifa zinazoelekea kumponda Dada yake japo hajamtaja ndo kafanya la maana?
 
Nilishangaa sana milipomsikia Musiba akidai eti Mange anatumiwa na kitengo cha Ujasusi cha Marekani.

Kitengo cha Ujasusi cha Marekani hakiwezi kumtumia mtu ambaye haeleweki eleweki kifikra (unsound mind)

Mtu ambaye kesho akiamka kivingine anaanza kutoa siri zote ulizompatia.

Kuna siku hata wanasiasa wa Tanzania wanaomtumia atakuja kuwaanika pamoja na mawasiliano yao.
Umeona eee? Ndivyo ccm walivyo mtumia kumtukana Lowasa, ila sasa amewageuka wanahaha na kupiga makelele, ama kweli mkuki kwa nguruwe. ....
ccm ukafiri wenu utafika mwisho tu
 
This is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?
Wakati huohuo unapongeza serikali kwa wanaoachishwa kazi kwa masharti halali waliyopewa wakati wakiajiriwa! Wewe in ndumilakuwili
 
She just can't help it... This is like involuntary action
She is extrovert.. She just can't help hiding things or keep them private
It is quite dangerous and catastrophic to be led by a person who is extrovert and impulsive.
If she is what you say, the oath of office will not mean anything to her when her moods and 'involuntary' actions take over.

Be as it may, whether it was deliberate or involuntary as a result of her mentioned condition, what she did is wrong. Forcing people into her political affiliation by use of threats and damaging exposure of private matters is wrong, criminal and against the very principles of democracy she is fighting for.

If she really cant help it, its high time she gets appropriate medical help.
 
Mimi sio mshabiki wa huyu Dada, lakini kwa jinsi anavyopaishwa na hii serikali ya Tanzania ya watu 50million plus. She is becoming more relevant day by day in Tanzania and commanding a huge following!

And surprise to many, She is revealing one thing, she IS THE ONE RUNNING THE GOVERNMENT ! AGREE TO DISAGREED.

and another aspect, why the government fail to ignore her, either in most part she is telling the truth or the government is full of incompetency autocrats, and she is irritating them really hard!

Anawakuna kisawasawa!
Nyie endeleeni kujipea moyo, 2604 ndio mtaelewa huyo shabiki wenu alivyo nothing
 
Kwa iyo kuunga mkono unayempinga ndio upumbavu, na unauhusisha na unene.
Wewe ni mpumbavu sana, mnalilia demokrasia ilhali mnatukana watu wenye mrengo tofauti, huo ni umaku.

Kwa mwili huo huyo jamaa atakuwa na akili kweli?

Labda tufahamishwe na wanaomfahamu huyu kijana.
 
Back
Top Bottom