OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sikutaka kuchangia huu uzi. Ila sio mbaya nikikupa like mkuuMange ni mtu wa Kimataifa! Unafikiri ni sawa na familia yako ambayo ipo kijijini na haijulikani hata kwenye ngazi ya Tarafa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikutaka kuchangia huu uzi. Ila sio mbaya nikikupa like mkuuMange ni mtu wa Kimataifa! Unafikiri ni sawa na familia yako ambayo ipo kijijini na haijulikani hata kwenye ngazi ya Tarafa?
Andika kama mwenye akili, toa sababu ya lawama zako japo unaonekana mapema kuwa kilazaHuyu da'Mange ni limbukeni tu. Hana lolote zaidi ya kupewa bichwa na mazuzu wenzake. Akafie mbele huko.
Tulia wewe bibi usijilinganishe na Mange ni zaidi ya hicho kifamilia chako hapo kijijini yule ni mtu wa kimataifa anaipeleka serikali yenu putaIli kujua mtu ana IQ ndogo ni vitu kama hivi. Kwa hiyo alitaka adui zake wawe adui wa ndugu zake? Ili mtu awe adui yako lazima kuwe na sababu zakukuridhisha na sio za kutoka kwa mtu mwingine na mtazamo wako.
You are absolutely rightMimi sio mshabiki wa huyu Dada, lakini kwa jinsi anavyopaishwa na hii serikali ya Tanzania ya watu 50million plus. She is becoming more relevant day by day in Tanzania and commanding a huge following!
And surprise to many, She is revealing one thing, she IS THE ONE RUNNING THE GOVERNMENT ! AGREE TO DISAGREED.
and another aspect, why the government fail to ignore her, either in most part she is telling the truth or the government is full of incompetency autocrats, and she is irritating them really hard!
Anawakuna kisawasawa!
Kwa iyo kuunga mkono unayempinga ndio upumbavu, na unauhusisha na unene.Ubonge nyanya na kukosa akili nadhani vina asili na mahusiano ya Karibu sana...! View attachment 744924
Hivi ndugu yake aliyeenda kwa Bashite akapiga picha na kuandika sifa zinazoelekea kumponda Dada yake japo hajamtaja ndo kafanya la maana?Mfano wa kuigwa wakati anawasiliana na ndugu zake kwa kupitia instagram! My left foot.
Leo anaanza kutolea siri zao za ndani kwenye instagram halafu unamwambia mfano wa kuigwa!
Kama una akili timamu ukiona ndugu zako wa damu wanaanza kukukumbia mpaka unatumia instagram kuwasiliana nao lazima uanze kujitafakari kwa kina.
Tanzania kuna vituko!
Umeona eee? Ndivyo ccm walivyo mtumia kumtukana Lowasa, ila sasa amewageuka wanahaha na kupiga makelele, ama kweli mkuki kwa nguruwe. ....Nilishangaa sana milipomsikia Musiba akidai eti Mange anatumiwa na kitengo cha Ujasusi cha Marekani.
Kitengo cha Ujasusi cha Marekani hakiwezi kumtumia mtu ambaye haeleweki eleweki kifikra (unsound mind)
Mtu ambaye kesho akiamka kivingine anaanza kutoa siri zote ulizompatia.
Kuna siku hata wanasiasa wa Tanzania wanaomtumia atakuja kuwaanika pamoja na mawasiliano yao.
Wakati huohuo unapongeza serikali kwa wanaoachishwa kazi kwa masharti halali waliyopewa wakati wakiajiriwa! Wewe in ndumilakuwiliThis is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?
Kama mama yakoHuyu da'Mange ni limbukeni tu. Hana lolote zaidi ya kupewa bichwa na mazuzu wenzake. Akafie mbele huko.
She just can't help it... This is like involuntary action
It is quite dangerous and catastrophic to be led by a person who is extrovert and impulsive.She is extrovert.. She just can't help hiding things or keep them private
Nyie endeleeni kujipea moyo, 2604 ndio mtaelewa huyo shabiki wenu alivyo nothingMimi sio mshabiki wa huyu Dada, lakini kwa jinsi anavyopaishwa na hii serikali ya Tanzania ya watu 50million plus. She is becoming more relevant day by day in Tanzania and commanding a huge following!
And surprise to many, She is revealing one thing, she IS THE ONE RUNNING THE GOVERNMENT ! AGREE TO DISAGREED.
and another aspect, why the government fail to ignore her, either in most part she is telling the truth or the government is full of incompetency autocrats, and she is irritating them really hard!
Anawakuna kisawasawa!
Makonda na le mutuz watakuwa wamem-blackmail huyo sasa wanamuendesha watakavyoUbonge nyanya na kukosa akili nadhani vina asili na mahusiano ya Karibu sana...! View attachment 744924
Cheki huyu naye unachukia kwani na wewe una shea kwenye ukoo wa Kimambi.Huyu da'Mange ni limbukeni tu. Hana lolote zaidi ya kupewa bichwa na mazuzu wenzake. Akafie mbele huko.
. kama yuko mbali si masmuzi yake, familia yake, why una judge?This is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?
Kwa iyo kuunga mkono unayempinga ndio upumbavu, na unauhusisha na unene.
Wewe ni mpumbavu sana, mnalilia demokrasia ilhali mnatukana watu wenye mrengo tofauti, huo ni umaku.