The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
Mange is smarter than a thousand plus lumumba gnus.Huyu da'Mange ni limbukeni tu. Hana lolote zaidi ya kupewa bichwa na mazuzu wenzake. Akafie mbele huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mange is smarter than a thousand plus lumumba gnus.Huyu da'Mange ni limbukeni tu. Hana lolote zaidi ya kupewa bichwa na mazuzu wenzake. Akafie mbele huko.
Hata wewe ni zuzu mwenzie.Huyu da'Mange ni limbukeni tu. Hana lolote zaidi ya kupewa bichwa na mazuzu wenzake. Akafie mbele huko.
Mnataka aje Tanzania. Mumgawe vipande vipande?kama mwenyewe alivyosema?Mfano wa kuigwa wakati anawasiliana na ndugu zake kwa kupitia instagram! My left foot.
Leo anaanza kutolea siri zao za ndani kwenye instagram halafu unamwambia mfano wa kuigwa!
Kama una akili timamu ukiona ndugu zako wa damu wanaanza kukukumbia mpaka unatumia instagram kuwasiliana nao lazima uanze kujitafakari kwa kina.
Tanzania kuna vituko!
Mfuasi wa Mange kimambi kajifunze kuandika.Ili kumtoa kwenye moody yake ya kuhamasisha 2604. Naona Makonda kamtafuta mdogo wake Mange na kupiga nae picha. Haahaaaa
Halafu kuna ndoa za kisiasa zinakuja kabla ya 2604.
Zimepangwa naona ili washabiki was Mange watoke kwenye reli ya 2604.
Alikiba kufunga ndoa karibuni. Hahaaaa..
Sikujua Mange anaisumbua hivi hii cerecali.
Ni zaidi ya Bullshit mkuu.This is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?
Aje adai kama anawezaHuyu da'Mange ni limbukeni tu. Hana lolote zaidi ya kupewa bichwa na mazuzu wenzake. Akafie mbele huko.
Wewe ni matako tu, undugu hautenganishwi na siasa. They will always remain brother and sister regardless ya hizi fitinaThis bitch is a fucking lunatic. Eti ataenda mahakamani ili wampte share yake! Mahakama ipi in the US inasikiliza civil disputes za foreign country. Anajua fika kwamba she will never ever board a flight bound to Dar as long as CCM ni chama tawala, and no wonder the so called "ndugu zangu" wanajifanyia wanayo taka bila kumwambia. Matter of fact, wanajuta kuzaliwa na kituko kama yeye, aka Dr. Mange K.
Acha kujidhalilisha wewe.Wewe ni matako tu, undugu hautenganishwi na siasa. They will always remain brother and sister regardless ya hizi fitina
Halafu Mange hapambani na ccm, kwa sasa she is non partisan, standing and fighting for the country. Na kwa taarifa yako tu wanaccm wengi tunamsupport. Miaka ya mbeleni baada ya utawala huu wa kidictator mchango wa Mange Kimambi utatambuliwa na kuenziwa.
Mange ni mtu wa Kimataifa! Unafikiri ni sawa na familia yako ambayo ipo kijijini na haijulikani hata kwenye ngazi ya Tarafa?This is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?
Unaamini kuna kitu maandamano hiyo 26?Nafikiri utalikimbia jukwaa siku hiyoIli kumtoa kwenye moody yake ya kuhamasisha 2604. Naona Makonda kamtafuta mdogo wake Mange na kupiga nae picha. Haahaaaa
Halafu kuna ndoa za kisiasa zinakuja kabla ya 2604.
Zimepangwa naona ili washabiki was Mange watoke kwenye reli ya 2604.
Alikiba kufunga ndoa karibuni. Hahaaaa..
Sikujua Mange anaisumbua hivi hii cerecali.
Usisahau kuwa tunaishi katika dunia of fully technology!Hehe...Mange bhana, eti anaweza kwenda mahakamani kudai, siku akitia mguu DPP atapata taabu sana sijui aanze na hati ipi ya mashtaka.