Nashindwa kuwaelewa watu wanaotetea hili.Jombaa hiyo sheria iko wapi....usa wanamziki kibao wanakufa na unga hawajawahi kuitwa kuhojiwa,ila makonda kakosa kiki ndio kaona atoke na hii ila comedy nyingi unamtaja petit cjui alteza wauza unga wakati.madon wapo wakubwa na wadogo kina rummy,kanyau,tikotiko
Kwakweli.Mtu anaemshabikia wema inabidi achunguzwe na yeye, makonda tunaomba na hili ulifanyie kazi
Serikali yenyewe inaogopa kusimama kizimbani na hawa watu maana isipokuja na ushahidi wa kutosha lazima walipe hao wanaotuhumiwa.
Itakuwa mange alilalwa/aligegedwa bure pasi na kulipwa hata mia.
Nimeuliza kipi? .... nataka kujua hicho kikufanyacho uamini hapana ushahidi.Ndiyo maana nimekwambia nasubiri kusikia wamepelekwa mahakamani wasipopelekwa nitashangaa siyo kuhojiwa kwao bali kwa kushikiliwa kwao kama ni kweli wameshikiliwa...
Rudi usome comment yangu uliyo ni quote ikiwa ya kwanza soma paragraph ya mwisho...usipoelewa basi sina jinsi ya kukuelewesha nilichoandika na nimeandika kumjibu aliyeuliza swali kama lako kaelewa na ka like.Nimeuliza kipi? .... nataka kujua hicho kikufanyacho uamini hapana ushahidi.
Watakua wana share mumeHivi mange na makonda walichukuliana demu
Sawa, muda rafiki mwema haujawahi niangusha daima hunipa ukweliRudi usome comment yangu uliyo ni quote ikiwa ya kwanza soma paragraph ya mwisho...usipoelewa basi sina jinsi ya kukuelewesha nilichoandika na nimeandika kumjibu aliyeuliza swali kama lako kaelewa na ka like.
ndivyo makonda alivyosema mkuu??( wanahusika na madawa ya kulevya..means anaushahidi wa kutosha kuwa wanahusika kwa namna hii ama ile)Alichosema makonda ni wanasemekana na haijathibitika so ni haki yake kuwakata ili kuwahoj nankupata ukwel akiwa kama mwenyekit wa kamat ya ulinz na usalama
Ni tuhuma tu
Mange ni kademu kamoja hivi, kembamba kama ubao, sura imekomaa kama kanakula cement! So labda alikapiga chini.Hivi mange na makonda walichukuliana demu
Huyu mange ndo nani?Mkuu vipi tena, kwani mange ni msagaji?
Wewe na Wema mkisimama nani ataonekana teja?Kwani ni mara ya kwanza huku jf kutaja wema kuwa mbuya unga?
Kwanini hamkumshauri aache kama mlikuwa na uchungu naye?
Duh!!!!Mange ni kademu kamoja hivi, kembamba kama ubao, sura imekomaa kama kanakula cement! So labda alikapiga chini.
Utingo alimbwaga sasa dah anaukakasi nae sana.Hivi mange na makonda walichukuliana demu
Hisia hai ndio,kwani kama hawaogopi kwa nn wasiwashughulikie ile hali mamlaka zote wanazo.Unaushaidi gani kuwa serikali inaogopa kusimama kizimbani au ni hisia zako tu ????