Mange Kimambi asema kumuondoa Magufuli madarakani ilikuwa ni ngumu sana kwa sababu alikuwa anapendwa sana na watu yaani Watanzania

Mange Kimambi asema kumuondoa Magufuli madarakani ilikuwa ni ngumu sana kwa sababu alikuwa anapendwa sana na watu yaani Watanzania

Hiyo ni kweli

Watu wanaoweza kumuondoa rais madarakani ni wamachinga, mama ntilie, boda boda na wakulima

Yaani watu wa hali ya chini.

Magufuli alikuwa mjanja sana kuwa win hao watu wa chini. Ndio maana alikuwa anajiamini sana huwezi kumuondoa madarakani kwa maandamano.

Maana waandamanaji wenye nguvu ni watu wa hali ya chini.

Wamachinga huwezi kuwaambia chochote kuhusu magufuli.

Ndio maana mpaka mama samia na yeye anaogopa kuruhusu wamachinga watimuliwe kariakoo ama sehemu zingine. Hata TRA wanawaogopa wamachinga . Wamachinga Wanaziba bara bara wanavyotaka

Migambo na jiji wote wanaogopa wamachinga.

Wazungu walilijua hilo ndio maana wakashindwa kuleta figisu za maandamano
Teheeeeee
 
Hiyo ni kweli

Watu wanaoweza kumuondoa rais madarakani ni wamachinga, mama ntilie, boda boda na wakulima

Yaani watu wa hali ya chini.

Magufuli alikuwa mjanja sana kuwa win hao watu wa chini. Ndio maana alikuwa anajiamini sana huwezi kumuondoa madarakani kwa maandamano.

Maana waandamanaji wenye nguvu ni watu wa hali ya chini.

Wamachinga huwezi kuwaambia chochote kuhusu magufuli.

Ndio maana mpaka mama samia na yeye anaogopa kuruhusu wamachinga watimuliwe kariakoo ama sehemu zingine. Hata TRA wanawaogopa wamachinga . Wamachinga Wanaziba bara bara wanavyotaka

Migambo na jiji wote wanaogopa wamachinga.

Wazungu walilijua hilo ndio maana wakashindwa kuleta figisu za maandamano
Jeshi litafanya usafi na matembezi. Msiogope hayo mandege ni mazoezi tu ya kawaida.

"Tukiwa waongo, tuwe na kumbukumbu"
 
Aman iwe nanyi watu wa MUNGU

Dada yetu wa taifa anasema kwamba kumuondoa mama samia madarakan is very simple us to push a mlevi man kwa maana huyu mama hana support yeyote ya watu

Mange anadai watanzania wanaompenda mama samia hawafiki hata mia mbili 200 kwahiyo kumfurusha madarakani ni rais mno endapo tutaunganisha nguvu

Lakin akaenda mbali zaid akasema kumuondoa Magufuri ilikuwa ngumu sana maana alikuwa anapendwa sana na watu yaan raia

LONDON BOY
Malaya mzee huyu anaongea akiwa huko USA sheria inamlinda. Anawachuza vijana wa TZ ya leo hii lakini wanazo akili zao na wanahangaika kutafuta mkate wa kila siku.
 
Tanzania nzima imefunguliwa ndani ya miaka mitatu ya SSH, mkoa wa Kigoma unakwenda kuingizwa kwenye gridi ya taifa mwishoni mwa mwaka huu.

Viwanja vya ndege vinaendelea kujengwa na kumaliziwa. Nchi inafunguka. Huyo dada aendelee kuishi akiwa amekariri TZ ya miaka mitatu au minne iliyopita.
 
Magu alipendwa na wajinga wengi, huyu anapendwa na mafisadi
Malaya mzee huyu anaongea akiwa huko USA sheria inamlinda. Anawachuza vijana wa TZ ya leo hii lakini wanazo akili zao na wanahangaika kutafuta mkate wa kila siku.

Magu alipendwa na sisi wenye kuona mbali na wenye uzalendo sote alichukiwa na wenye siasa za chuki, wazembe kama nyinyi na mafisadi. JPM ulituonyesha Njia kwamba hakuna lisilowezekana , hata kama kwa sasa tumeicha hiyo Njia. Kazi ulimaliza Shujaa wetu wa Africa. We miss You -RIP
 
Na hao ndio wapiga kura wanaomuweka ccm madarakani!

Je chadema hataki kura za wajinga
Zamani watu walizoe Kusema Kuwa Ujinga Ni Mzigo, lakini kwa Sasa hasa kwa watafuta Madaraka, Ujinga Ni Mtaji. Na huu ndio mtaji ambao umekidumisha Chama hicho pendwa kwenye Madaraka.
 
Tanzania nzima imefunguliwa ndani ya miaka mitatu ya SSH, mkoa wa Kigoma unakwenda kuingizwa kwenye gridi ya taifa mwishoni mwa mwaka huu.

Viwanja vya ndege vinaendelea kujengwa na kumaliziwa. Nchi inafunguka. Huyo dada aendelee kuishi akiwa amekariri TZ ya miaka mitatu au minne iliyopita.
Kigoma ilianza Kufunguliwa na JK, na JPM akaimarisha na kuongezea zaidi.
 
niko na mama bega kwa bega jaribuni kumgusa muone fahamu zenu zitawarudi mkiwa wapi
 
Magu alipendwa na sisi wenye kuona mbali na wenye uzalendo sote alichukiwa na wenye siasa za chuki, wazembe kama nyinyi na mafisadi. JPM ulituonyesha Njia kwamba hakuna lisilowezekana , hata kama kwa sasa tumeicha hiyo Njia. Kazi ulimaliza Shujaa wetu wa Africa. We miss You -RIP
Kwa sasa njia ni ile ile tatizo tunaongozwa na chuki dhidi ya uanamke wa Samia na ubaguzi dhidi ya uislam wake.

Lakini ni njia ni ile ile kwani Samia anamaliza miradi yote iliyokuwa haijamalizwa na hayati JPM.

Samia anajenga viwanja vya ndege vyote vilivyokuwa havijamalizwa, SGR kaifikisha Dodoma na itakwenda mpaka kanda ya ziwa. Daraja la busisi linamaliziwa muda wowote kuanzia sasa.
 
Back
Top Bottom