Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
Mkuu, tunapokujaga kupishana mimi na wewe, ni hapa tu, JPM apewe heshima yake chiefMagu alipendwa na wajinga wengi, huyu anapendwa na mafisadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, tunapokujaga kupishana mimi na wewe, ni hapa tu, JPM apewe heshima yake chiefMagu alipendwa na wajinga wengi, huyu anapendwa na mafisadi
Aman iwe nanyi watu wa MUNGU
Dada yetu wa taifa anasema kwamba kumuondoa mama samia madarakan is very simple us to push a mlevi man kwa maana huyu mama hana support yeyote ya watu
Mange anadai watanzania wanaompenda mama samia hawafiki hata mia mbili 200 kwahiyo kumfurusha madarakani ni rais mno endapo tutaunganisha nguvu
Lakin akaenda mbali zaid akasema kumuondoa Magufuri ilikuwa ngumu sana maana alikuwa anapendwa sana na watu yaan raia
LONDON BOY
Hakuna kama JPM !Mkuu, tunapokujaga kupishana mimi na wewe, ni hapa tu, JPM apewe heshima yake chief
of course, kwa yanayoendelea nchini, maza anazidi kuchukiwa na kila mtu. though hana cha kupoteza hata akikosa urais. ameshajiimarisha. too sad.Aman iwe nanyi watu wa MUNGU
Dada yetu wa taifa anasema kwamba kumuondoa mama samia madarakan is very simple us to push a mlevi man kwa maana huyu mama hana support yeyote ya watu
Mange anadai watanzania wanaompenda mama samia hawafiki hata mia mbili 200 kwahiyo kumfurusha madarakani ni rais mno endapo tutaunganisha nguvu
Lakin akaenda mbali zaid akasema kumuondoa Magufuri ilikuwa ngumu sana maana alikuwa anapendwa sana na watu yaan raia
LONDON BOY
Nakazia, Magufuri alikuwa anapendwa sana na watu yaan raia. Kumbe haka ka dada sometimes kanarudi kwenye sense zake na kuongea ukweli.Aman iwe nanyi watu wa MUNGU
Dada yetu wa taifa anasema kwamba kumuondoa mama samia madarakan is very simple us to push a mlevi man kwa maana huyu mama hana support yeyote ya watu
Mange anadai watanzania wanaompenda mama samia hawafiki hata mia mbili 200 kwahiyo kumfurusha madarakani ni rais mno endapo tutaunganisha nguvu
Lakin akaenda mbali zaid akasema kumuondoa Magufuri ilikuwa ngumu sana maana alikuwa anapendwa sana na watu yaan raia
LONDON BOY
Nashukuru mkuu kwenye ukweli lazima ukweli usemwe sababu wote tunataka Tz iwe sehemu salamaMkuu, tunapokujaga kupishana mimi na wewe, ni hapa tu, JPM apewe heshima yake chief
Kwenye kulinda mali dictetor alijitahidi sn hilo nakubali, lakini alikuwa ni katili na muuajiMagu alipendwa na sisi wenye kuona mbali na wenye uzalendo sote alichukiwa na wenye siasa za chuki, wazembe kama nyinyi na mafisadi. JPM ulituonyesha Njia kwamba hakuna lisilowezekana , hata kama kwa sasa tumeicha hiyo Njia. Kazi ulimaliza Shujaa wetu wa Africa. We miss You -RIP
Sijui hata nikujibu nini.Alijenga hakujenga
Nguvu za kiume hamna, mtakuwa nazo za kumuangusha Mama!!! Mushaambiwa hii sio Serikali ya Samaki. Mavi sana nyie.Aman iwe nanyi watu wa MUNGU
Dada yetu wa taifa anasema kwamba kumuondoa mama samia madarakan is very simple us to push a mlevi man kwa maana huyu mama hana support yeyote ya watu
Mange anadai watanzania wanaompenda mama samia hawafiki hata mia mbili 200 kwahiyo kumfurusha madarakani ni rais mno endapo tutaunganisha nguvu
Lakin akaenda mbali zaid akasema kumuondoa Magufuri ilikuwa ngumu sana maana alikuwa anapendwa sana na watu yaan raia
LONDON BOY