Mange Kimambi asema kumuondoa Magufuli madarakani ilikuwa ni ngumu sana kwa sababu alikuwa anapendwa sana na watu yaani Watanzania

Mange Kimambi asema kumuondoa Magufuli madarakani ilikuwa ni ngumu sana kwa sababu alikuwa anapendwa sana na watu yaani Watanzania

Aman iwe nanyi watu wa MUNGU

Dada yetu wa taifa anasema kwamba kumuondoa mama samia madarakan is very simple us to push a mlevi man kwa maana huyu mama hana support yeyote ya watu

Mange anadai watanzania wanaompenda mama samia hawafiki hata mia mbili 200 kwahiyo kumfurusha madarakani ni rais mno endapo tutaunganisha nguvu

Lakin akaenda mbali zaid akasema kumuondoa Magufuri ilikuwa ngumu sana maana alikuwa anapendwa sana na watu yaan raia

LONDON BOY

Hao 200 ni akina Lukas, USSR na Faiza.
 
Hatuna shida na ujenzi wa miundo mbinu inayoendelea. Na mama anajitahidi kadiri ya Uwezo Wake. Labda eneo moja tu Usimamizi wa Rasilimali za Taifa. Katika eneo hilo Jiwe alikuwa hacheki na mtu na hakujificha kwenye kichaka cha ubinafsishaji na ubia eti unongeza Tija na ufanisi. Hakuna mwekezaji yoyote wa nje anakuja kukusaidia wewe, auankuja kutafuta super profits na hata ikibdi kukunyanaganya kile kidogo ulichokuwa ukipata in the long run, utabakia na mshimo na bare land, huku resources zote zimechotwa. Alitaka win-win situation. . Alizingatia Kiapo chake ipasavyo katika kutetea na kulinda rasilimali za Taifa kwa manufaa ya wote . Hayo mengine umeongezea wewe kunogesha commet yako. Hakuna Chuki yoyote, Rafiki yako mwambie Ukweli hata kama atakuchukia, Siyo Kusifia tu , tunampotosha kwa njia hiyo.
 
Aman iwe nanyi watu wa MUNGU

Dada yetu wa taifa anasema kwamba kumuondoa mama samia madarakan is very simple us to push a mlevi man kwa maana huyu mama hana support yeyote ya watu

Mange anadai watanzania wanaompenda mama samia hawafiki hata mia mbili 200 kwahiyo kumfurusha madarakani ni rais mno endapo tutaunganisha nguvu

Lakin akaenda mbali zaid akasema kumuondoa Magufuri ilikuwa ngumu sana maana alikuwa anapendwa sana na watu yaan raia

LONDON BOY
of course, kwa yanayoendelea nchini, maza anazidi kuchukiwa na kila mtu. though hana cha kupoteza hata akikosa urais. ameshajiimarisha. too sad.
 
Aman iwe nanyi watu wa MUNGU

Dada yetu wa taifa anasema kwamba kumuondoa mama samia madarakan is very simple us to push a mlevi man kwa maana huyu mama hana support yeyote ya watu

Mange anadai watanzania wanaompenda mama samia hawafiki hata mia mbili 200 kwahiyo kumfurusha madarakani ni rais mno endapo tutaunganisha nguvu

Lakin akaenda mbali zaid akasema kumuondoa Magufuri ilikuwa ngumu sana maana alikuwa anapendwa sana na watu yaan raia

LONDON BOY
Nakazia, Magufuri alikuwa anapendwa sana na watu yaan raia. Kumbe haka ka dada sometimes kanarudi kwenye sense zake na kuongea ukweli.
 
Magu alipendwa na sisi wenye kuona mbali na wenye uzalendo sote alichukiwa na wenye siasa za chuki, wazembe kama nyinyi na mafisadi. JPM ulituonyesha Njia kwamba hakuna lisilowezekana , hata kama kwa sasa tumeicha hiyo Njia. Kazi ulimaliza Shujaa wetu wa Africa. We miss You -RIP
Kwenye kulinda mali dictetor alijitahidi sn hilo nakubali, lakini alikuwa ni katili na muuaji
 
Aman iwe nanyi watu wa MUNGU

Dada yetu wa taifa anasema kwamba kumuondoa mama samia madarakan is very simple us to push a mlevi man kwa maana huyu mama hana support yeyote ya watu

Mange anadai watanzania wanaompenda mama samia hawafiki hata mia mbili 200 kwahiyo kumfurusha madarakani ni rais mno endapo tutaunganisha nguvu

Lakin akaenda mbali zaid akasema kumuondoa Magufuri ilikuwa ngumu sana maana alikuwa anapendwa sana na watu yaan raia

LONDON BOY
Nguvu za kiume hamna, mtakuwa nazo za kumuangusha Mama!!! Mushaambiwa hii sio Serikali ya Samaki. Mavi sana nyie.
 
Back
Top Bottom