Mange Kimambi, Diamond Platinumz, Ali Kiba; Sijawahi kuwafollow watu hawa

Hizo movie za kutafsiri unazipenda mwenyewe asee sitakagi hata kuziona naanzaje kuangalia
 
Hapo sasa ndipo unakosea tena unakosea sana tena sana.
Yani unacompare kichuguu na ghorofa, kwa hali ilivyo huezi ringanisha mafanikio ya msanii au mwanamichezo wa Marekani na Tanzania hizi ni nchi mbili tofauti zenye chumi mbili tofauti kabisa.
Yani unatak Diamond afanye biashara kama Jay Z, hata wanaijeria waliotutangulia kwenye soko la mziki wasanii wao hawana uwezo huo hata South Africa haiwezekani.
Unataka Shilole awe na mafanikio kama msanii aiyeanza naye mziki wakati mmoja huko Marekani?
aisee yani umenistaajabisha sana sana tena sana.
Marekani actor akiigiza movie analipwa ela ya maana budget ya filamu ni millions of dollars, tanzania movie budget yake ikiwa million 50 basi watu wanasema imewacost sana hivyo ona tofauti hiyo.
Bakhresa kutokana na jarida la forbes ni tajiri wetu hapa japo siyo namba moja Tanzania lakini still, utajiri wake haulingani na utajiri alionao Pdidy wala Dr Dre ndipo uone utofauti uliopo kati yetu sisi na wao.
unahisi hizo script unazoziandika na sijui hadithi za mapenzi hapa Tanzania utakuja kufanikiwa kama hao watu unaowasoma?
Aisee unafurahisha sana sana yani tena siyo kidogo.
Akina diamond, Shilole Alikiba wamefanya anavyoweza kutokana na soko na uwezo wa hali ya Kitanzania usiwacompare na wakina Jayz ambako mtu akitoa single moja ika hit basi yeye mauzo na shows zake ndani miezi kadhaa ana pesa kuliko diamond.
 
sasa kweli Diamond ni wa kuuza KARANGA kwa level yake? we unaona Jay Z au Rick Ross anauza karanga america? acheni utani buana!
if zinalipa kwanini asiuze, ndiyo akili ya wabongo wengi unakuta kafungua duka la Tv kwa mwezi anauza Tv nne wakati kuna mtu pembeni anauza maandazi mazuri na kwa mwezi anauza maelfu ya mandazi na aningiza faida zaidi yake lakini yuko busy anamcheka eti flani bwana ndiye wakuuza maandazi...
 
Ni ushamba wako tu kuona chako hakina thamani ..
vyangu unakijua au?
bro hunijui sikujui ila nawafahamu sana hao unaowaita celebs wa bongo!

yani Mheshimiwa Raisi ana kazi sana na watz wake.. ndio maana watu wa JF wenye akili walinitag kwenye forums za akili maana wanajua kubishana na mjinga utaonekanaga mjinga tu!
 
mmh! kweli ulisomeaga nini chuo kikuu?!

mathematics au language?!
ahahahaha maana nimecheka mpaka mume kaamka!
 
Fifty cent anauza maji
 
Badilisha basi na tarehe ya kuzaliwa kwenye Profile yako isomeke march badala ya May kama ulivyoelezea
 
Fifty cent anauza maji
kama extra kama hobby ila anatengeneza series ya POWER imemuingizia Trilion 3 kasome wikipedia!

Mondi kitu gani kimemuingizia Trilion 3?!
 
mmh! kweli ulisomeaga nini chuo kikuu?!

mathematics au language?!
ahahahaha maana nimecheka mpaka mume kaamka!
wewe ndiye nakushangaa najiuliza na kuwasoma hao watu wote unamshangaa diamond kuuza karanga? Hujasikia Tyson na Snoop wanaanzisha kilimo na biashara ya bangi?
Hivi ulishwahi wajiuliza ni packet ngapi ambazo Diamond Karanga zinauzwa kila siku?
Aisee uenda hata una ABCs za biashara na ujasiriamali
 
kama extra kama hobby ila anatengeneza series ya POWER imemuingizia Trilion 3 kasome wikipedia!

Mondi kitu gani kimemuingizia Trilion 3?!
Yani ndiyo maana ninasema unayoyasoma unakuja yaleta kama yalivyo Tanzania, wewe muandishi wa script tuanzie kwako ulishawahi kulipwa hata milion tano kwa kuandika script hapa tanzania?
 
sawa wewe mwenye nazo

kwahiyo unawafananisha wauza bangi na platnumz sasa?

embu tafuta clean msanii wa nje ya africa na wa Tz wafananishe afu uje tuongee ABCs za biashara!

Mondi angekuwa anauza Bangi ndio ningemshangaa zaidi mondi! ahahahahaha we kweli baadae sana
 
kama extra kama hobby ila anatengeneza series ya POWER imemuingizia Trilion 3 kasome wikipedia!

Mondi kitu gani kimemuingizia Trilion 3?!
Tatizo huelewi unashindanisha nini. Advancement ya hao celebs wa mbele ni integration ya vitu vingi at per. Kuanzia serikalini mpk system zao za elimu. Sasa wewe copy and paste kila kitu cha mtoni uone kama vyote vita apply huku
 
Yani ndiyo maana ninasema unayoyasoma unakuja yaleta kama yalivyo Tanzania, wewe muandishi wa script tuanzie kwako ulishawahi kulipwa hata milion tano kwa kuandika script hapa tanzania?
nimelipwa dola 5000 hapa hapa Tz kwa kuandika hadithi ya Story: Fumanizi la ukubwani

we unaniona nakutag tag unadhani me mwenzio nina njaaaa!

iga ufe!
 
Tatizo huelewi unashindanisha nini. Advancement ya hao celebs wa mbele ni integration ya vitu vingi at per. Kuanzia serikalini mpk system zao za elimu. Sasa wewe copy and paste kila kitu cha mtoni uone kama vyote vita apply huku
my dia things are tougher in America than Tz

kwani Mondi anazuiwa nini na Serikali ya Tz? ndio kwanza Mheshimiwa Raisi anamsifu analipa kodi zake zote vizuri!

America uwe a nobdy in year uwe somebody in 5 yrs uwe Obli-zillionaire.. America hio itakuwa America Chips ya Kinondoni

Tz we are the luckiest man! system haipo tough kiivyo kama unavyodhania, tena huku tunaachiwa sana sana, wala usiilalamikie serikali inawabana wasanii, labda imeanza kuwabana juzi kwenye mavazi je 10 yrs ago walibanwa wapi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…