Mange Kimambi: Nimepata kiki ya kutosha

Mkuu wew Ke au Me? Samahani lakini!
 
kama mwanaume basi utakua kwenye list ya kigwangala
 
kutukana na kuvamia kituo tena kwa silaha lipi kosa kubwa kisheria au kwakua ney sio msukuma inchi inaenda kibaguzi hii sasa
 
Magufuli naye ni kutafuta kiki kwa lazima kwa kugombania ukurasa wa mbele kwenye Magazeti????
 
Mi najua alianza kitambo baada ya bunge kuwekwa gizani
 
Kaongea kwa kujokey tu ,yaan ni kama kimasihala tub

= jock
= kimasihara

Jockey ni waendesha farasi wa mashindano:


Horse sense: champion jockey Hayley Turner riding the Queen's horse Tactician at Royal Ascot...
 
Kama we ni type ya Bashite huwezi mwelewa Mange, endelea tu kuchukua post zake na kuleta hapa, ni wasio na vyeti fake tu ndio watamuelewa
Nyie wenye vyeti mnafanya nini US? Kutwa kwenye mitandao kutafuta kiki, kama unataka kufoji vyeti kafoji na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…