Mange Kimambi: Paula Kajala hajaenda Uturuki kusoma, anafanya kazi Airbnb

Mange Kimambi: Paula Kajala hajaenda Uturuki kusoma, anafanya kazi Airbnb

Masha na Muna walipata confirmation toka chuo gani hapo Uturuki? China, India, UAE (Dubai) na Uturuki visa rahisi kupata watu wanaenda kuuza vipochi waje kununua IST na iPhone. Wakisingizia biashara ya viduka feki sinza.
***India wahindi hawana nguvu ya ku-pull (wamezoea kukalia mipini) dada zetu wanawapanga hata 100 kwa siku. Hela nje-nje Huko kwa wapenda pilipili. Kama una ndugu yako India chunguza vizur
Sijaelewa maana ya kukalia mpini
 
Daah mange noma, Kuna ishu ya water-zo, B kumi na mbili na andunje ni nomaz[emoji119][emoji119]
Mtu na mke mwenza[emoji1787]
mangekimambi_-20211107-0002.jpg
 
Hayahaya, mama mtu katuma kitambulisho cha chuo anachosoma mwanaye[emoji4]

View attachment 2002390
Ina maana hakuna Herufi za Kituruki za jina PAULA PETER ....ngoja nisubiri wajuvi wa mambo ya International Students waje wanisaidie inawezekana International laws haziruhusu jina la mwanafunz wa nje liandikwe kwa lugha tofauti 😎😎😎
 
Ina maana hakuna Herufi za Kituruki za jina PAULA PETER ....ngoja nisubiri wajuvi wa mambo ya International Students waje wanisaidie inawezekana International laws haziruhusu jina la mwanafunz wa nje liandikwe kwa lugha tofauti [emoji41][emoji41][emoji41]
Good observation mkuu...

Hiko chuo ukikigoogle homepage yake ni kituruki mwanzo mwisho....

Halafu eti vitambulisho viwe kwa lugha ingine?
 
Back
Top Bottom