Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Wachaaaa. Labda na yeye kaacha michezo yakeAnajitia mama wa heshima siku hizi[emoji849][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaaaa. Labda na yeye kaacha michezo yakeAnajitia mama wa heshima siku hizi[emoji849][emoji848]
Daah mange noma, Kuna ishu ya water-zo, B kumi na mbili na andunje ni nomaz[emoji119][emoji119]
Ndo madai yake...noma sanaWatazo kweli anamtifua Vitamin kumi na Bee?
[emoji16][emoji16] ukewenza shidaKama namuona bi hamisi anavyochekelea saivi
Hana lolote...kimekaa kiufake ufake sanaIla alijua kutukomesha wadada wa mujini
Wachaaaa. Labda na yeye kaacha michezo yakeAnajitia mama wa heshima siku hizi[emoji849][emoji848]
😂😂😂😂😂😂😂😂Paula alifeli form four, uturuki labda kaenda kusomea cherehani.
Sio degree ya" maabala"...hahahahahTuko naye hapa anasomea Degree ya Medicine!
kabisa, kuna watu wenye degree za chuki, masters za uongo na PhD za umbea"Tanzania kuna viwanda vya uongo" by JK.
Kabla hujasapoti kitu kama B12 au Mr.Amplifaya kuwa mashoga ni bora ujiridhishe na hizo habari. Kuna mtu akikuchukia anaweza kukuzushia kitu cha aibu hapo huwezi kuchomoka.
Chuki ni mbaya sana.
Sio degree ya" maabala"...hahahahah
[emoji848][emoji119]Masha na Muna walipata confirmation toka chuo gani hapo Uturuki? China, India, UAE (Dubai) na Uturuki visa rahisi kupata watu wanaenda kuuza vipochi waje kununua IST na iPhone. Wakisingizia biashara ya viduka feki sinza.
***India wahindi hawana nguvu ya ku-pull (wamezoea kukalia mipini) dada zetu wanawapanga hata 100 kwa siku. Hela nje-nje Huko kwa wapenda pilipili. Kama una ndugu yako India chunguza vizur
Easy!Mange ana followers milioni 5.
Mimi kwenye page yangu ya kufundisha watu ufugaji wa nguruwe nina followers 27.
Bongo nyoso.
Mkuu page yako inaitwaje ?Mange ana followers milioni 5.
Mimi kwenye page yangu ya kufundisha watu ufugaji wa nguruwe nina followers 27.
Bongo nyoso.
Na wew unaleta habari za mange kimavi apa ?? Ukute wazazi wako wanakutegemea uwe baba wa watoto na uwatunze wazaziBongo nyoso kweliiii.
Hawa ndio mastaa wetu ambao tunasema ni vioo vya jamii. Lakini their life is fake to the ground.
[emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487]
Paula is an innocent beautiful little girl. Ila anakuwa let down na watu wazima. Na nnamuita little girl sababu she is the same age as my daughter Cassandrah.
Jamani Paula wala hasomi huko uturuki. Wamemuweka kwenye apartment za Airbnb. Mtoto ana kazi ya ku-hangout tu kwenye viwanja vya starehe. Wabongo wanamuona tu kwenyw restaurants. Hakuna cha chuo wala nini.
I think ni vile mtoto wa Mona alivyopelekwa chuo nje ikabidi tu wamuondoe Paula Dar ila ili watu wasiongee. Paula sio mwanafunzi wa chuo chochote huko Uturuki.
Paula hana makosa ni mtoto, ila hana tu watu wakumuongoza. Kweli mtoto wa 19 years unampeleka nchi ya nje unambwaga kwenye furnished apartments anaishi tu peke yake no shule no nothing ? Hayo maisha atayakimu vipi? Si ndo atajikuta anaingia kwenye maisha mengine?
Walichokosea Uturuki kuna watanzania wengi sana. Na wote wanajuana. Wangempeleka nchi haina watz habari zisingerudi kwa dada wa taifa [emoji24][emoji24][emoji24]
Duh muongo wew watu wanaenda uturuki sana tu wale wanaobebaga unga uko wanakuwa wamepata visa kwa confirmation ya school ??Ni amini mimi. Hiyo PR ya Mange app. Paula anasoma chuo. Hiwezi kupata visa Uturuki bila confirmation ya chuo unakoenda