Mange Kimambi: Paula Kajala hajaenda Uturuki kusoma, anafanya kazi Airbnb

Mange Kimambi: Paula Kajala hajaenda Uturuki kusoma, anafanya kazi Airbnb

Bongo nyoso kweliiii.

Hawa ndio mastaa wetu ambao tunasema ni vioo vya jamii. Lakini their life is fake to the ground.


[emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487]

Paula is an innocent beautiful little girl. Ila anakuwa let down na watu wazima. Na nnamuita little girl sababu she is the same age as my daughter Cassandrah.

Jamani Paula wala hasomi huko uturuki. Wamemuweka kwenye apartment za Airbnb. Mtoto ana kazi ya ku-hangout tu kwenye viwanja vya starehe. Wabongo wanamuona tu kwenyw restaurants. Hakuna cha chuo wala nini.

I think ni vile mtoto wa Mona alivyopelekwa chuo nje ikabidi tu wamuondoe Paula Dar ila ili watu wasiongee. Paula sio mwanafunzi wa chuo chochote huko Uturuki.

Paula hana makosa ni mtoto, ila hana tu watu wakumuongoza. Kweli mtoto wa 19 years unampeleka nchi ya nje unambwaga kwenye furnished apartments anaishi tu peke yake no shule no nothing ? Hayo maisha atayakimu vipi? Si ndo atajikuta anaingia kwenye maisha mengine?

Walichokosea Uturuki kuna watanzania wengi sana. Na wote wanajuana. Wangempeleka nchi haina watz habari zisingerudi kwa dada wa taifa [emoji24][emoji24][emoji24]


View attachment 2002337
Hakuna dada wataifa dada gani ambaye aliandaa mgomo halafu hajatokea mtu ambaye anaitwa dada wataifa anapigania what's is right for her nation watu wamekufa kisa kupigania nchi zao mfano hai ni south afrika.
Jingine ache maisha ya watu kwani wenye elimu ya juu ndio nini?
 
Daah mange noma, Kuna ishu ya water-zo, B kumi na mbili na andunje ni nomaz[emoji119][emoji119]
Ebu mtuwekee na sisi hapa tusome wengine hatuna bando za kwenda huko mbali😁😁
 
Kumbe wameanza muda? Mie sikuwahi kuwaza hata

Ila tu jamaa huo uinnocent wake ulikuwaga unanipa mashaka kiaina

Hapo bibie inabidi ajifanye haoni tu

Nchi ngumu sana hii
Inasemekana bi mfupi ndo kaingilia mahusiano ya wenzie. Toka zile Enzi wakaenda China kufanya shopping ya vitu vya harusi na ndoa haikufungwa nilisikia sababu alikua b12 hakutaka jambo litokee na water-zo alipambana sana baby wake b12 akumbalie afunge ndoa.

Sema ni aibu jamani watu wanajua mumeo anakula mnduku wa mwanaume mwenzie bora ingekua anakula wadada
 
Inasemekana bi mfupi ndo kaingilia mahusiano ya wenzie. Toka zile Enzi wakaenda China kufanya shopping ya vitu vya harusi na ndoa haikufungwa nilisikia sababu alikua b12 hakutaka jambo litokee na water-zo alipambana sana baby wake b12 akumbalie afunge ndoa.

Sema ni aibu jamani watu wanajua mumeo anakula mnduku wa mwanaume mwenzie bora ingekua anakula wadada
Imagine this!

Andunje chenyewe full mashauzi kama nini, ila deep down ukikaangalia unakaona kabisa hakana furaha kabisa!

Huwa nakumbana nako occasion mbalimbali kama misiba, harusi ukikakuta live huwa hakana amani wala raha full stress...ngoja aingie insta sasa[emoji854]
 
Imagine this!

Andunje chenyewe full mashauzi kama nini, ila deep down ukikaangalia unakaona kabisa hakana furaha kabisa!

Huwa nakumbana nako occasion mbalimbali kama misiba, harusi ukakuta live huwa hakana amani wala raha full stress...ngoja aingie insta sasa[emoji854]
Ila alijua kutukomesha wadada wa mujini
 
Imagine this!

Andunje chenyewe full mashauzi kama nini, ila deep down ukikaangalia unakaona kabisa hakana furaha kabisa!

Huwa nakumbana nako occasion mbalimbali kama misiba, harusi ukakuta live huwa hakana amani wala raha full stress...ngoja aingie insta sasa[emoji854]
Lakini kwa hili inabidi awe mpole tu maana na yeye si lahsgabagduan.
 
Back
Top Bottom