Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Status
Not open for further replies.
Degree tatu yupo bize kazini😄😄😄
Yaani degree tatu na kukaa kote "mamtoni" hii ndio kazi yakufanya kweli kupigizana kelele na matusi na vitoto insta na mitandao mingine ya kijamii?

you killed bro hahahaa

Damn
 
Hahahahaha

Le big show

Babu yake kimnana

Amesarenda na kufuta posti yake aliyodai inasambazwa...

Hahahaha
Ruttashobolwa uneona mambo ya jirani yako?

Ha haaa nmefurahi huyu le mutuz kunyooshwa na mange kumiambi
 
Last edited by a moderator:
Le Mutuzi ndo nani huyo? mmesema ana Degree tatu sasa mbona anaspell broken? My little sister who is kindergartener ameobserve hilo sio mimi!
 
Sioni na sielewi kabisa kwanini Dr. Mwaka anaandamwa namna hii.

Siasa za kijinga, pluss wivu wa kike pluss ignorance...

Na pia ushindan wa kibiashara..kuna wapinzan wake anawafunikaaa
 
Nenda kwenye Account ya mange insta Kaweka Video nayo usipo Amini duuu!

Video alishaitoa sababu maadui wake wengine walimuunbua kwa kuwa na app ya kuendesha teksi UBER.

Wanamcheka mke wa tajiri anavyoringa kumbe anapandisha abiria kula.
 
Mange sio mtoto wa dada ake Lemutuz. Hawana hata undugu. Hasira nazo za kukataliwa kukaa Upanga zinahusu nilishangaa nilikuwa simuoni kitaa hicho cha upanga napoendaga na alikuwa bongo.
 

SIMJUI MTU HUYU.....!
Hapo ndio utagundua chizi karogwa tena haaa haa eti kasema hamjui Le super Hero kweli babu kaishiwa pumzi kwa binti kama hata uyu hamjui basi wanaokuamini wana kazi kubwa.
 
Miogoni mwa degree hizo tatu kuna moja ya "Bachelor of arts and american war and civil right war with latin history. Useless!!

No wonder anashinda anazurula hovyo hovyo mitandaoni..hana namna kshavurugwa huyu kibabu.

Acha mange ampe za uso.
 
Mbona lemutuz hasndikagi hivyo .hayo MANENO sio choice ya lemutuz.i don't think ni yeye
 
Mbona lemutuz hasndikagi hivyo .hayo MANENO sio choice ya lemutuz.i don't think ni yeye

Umemzoea kwa haya

U know haahaahaha

Le mbebezzzzz

Le Mualikozzzz

Le super mbebezzzz

gademu mburulaZzzzz

Hapo alibanwa asingeweza kusema hivyo alikuwa mpole na nidhamu ya hali ya juu
 
Sio biashara ya utumbo tena?
 
Sio biashara ya utumbo tena?

Afu huyu Le Mutuzi Sijui Yupo Jambo lipo Serikalini Linasubiri Sheria ifuate Mkondo wake Lakini yeye hatulii kila siku kila Leo lazima Apost kitu kinacho husu Kumtetea Dr mwaka Hapa ndo naamini kuwa kalipwa

Sahizi anataka Naibu waziri aombe msamaha yeye ni nani Hapa nchini kwanini Asisubiri sheria ifuate mkondo wake?
 
- Ina maana na wewe ni mpumbavu maana haiwezekani ukatoa mishipa na mapovu na wewe sio mpumbavu hahahaha

le Mutuz

Hili jambo limeshafika kwa Wahusika Sahizi lipo kisheria linasubiri sheria ifuate Mkondo wake

Mbona wewe mwenzetu huko instagram hutulii kila siku kila leo wewe Ni kupost kuhusu kumtetea Dr Mwaka na kumponda Naibu waziri unataka aombe hadi radhi akati jambo bado halija amliwa kisheria hivi wewe ni nani Hadi uwe juu ya sheria

Mbna muhusika kakaa kimya lakini wewe kila siku ni kumtetea kwanini usisubiri Maamuzi yafanyike ndo uje uandike yale unayo yaandika Boy are u serious kweli?

Wewe ni Msomi kweli? Kumbuka mambo ya kisheria hayanaga siasa wala urafiki unaijua RULE OF LAW vizuri kweli? Mbona kama unamlazimisha Naibu waziri kuharakisha kuchukua Maamuzi Akati bado analishughulikia?

Hebu acha hiyo kitu wewe ni mtu mzima bhna kaa mbali na sheria acha viongozi wafanye kazi ake
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…