Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Status
Not open for further replies.
- hahahahahahahah Instagram ina safari yangu nzima ya South Africa hakuna kilichofichwa hata kimoja, nilienda mwenyewe Johannesburg na nikafikia Maslow Hotel, siku nilipofika Kinje alinialika nyumbani kwake jioni tukachoma nyama nilirudi Hotelini kwangu nikaungana na Mshikaji wangu Mo na kina Petitman,

- Sikumuona tena Kinje mpaka naondoka kesho yake nikakutana na Kampuni ya Glenfiddich Whiskey kama nilivyopanga nao Tarehe 19 nikarudi, hizi habari ni za Isntagaram sasa naona yeye kazifanya kama vile yeye ni Spy zilikuwa siri please hahahahahaha poleni sana mnaomsikiliza this is a big joke

le Mutuz
vipi kuhusu na apartment kumbe ni ya juma pinto, hujajibu hilo mkuu na nyumba ya kinyerezi kumbe sio yako ni ya mkeo
 
I know it full well.

Umbea hauhitaji ithibati.

Ye mwenyewe washamzushia eti kaachika lakini hatukuonyeshwa hata nakala ya divorce decree.....

Ni mambo ya kufurahisha magenge ya Instagram na kwingineko kama huku.
Una kiswahili kitamu wewe, "ithibati" utafikiri mtu Wa pwani
 
vipi kuhusu na apartment kumbe ni ya juma pinto, hujajibu hilo mkuu na nyumba ya kinyerezi kumbe sio yako ni ya mkeo

- hahahahaha yale yale haya maswali ya nyumba nilishaulizwa kwenye Interview na Mboni Masimba, ninazo Apartment 2 moja ninayoishi na nyingine Changombe, nyumba yangu Kinyerezi hahahahahahahaa poleni sana

le Mutuz Nation
 
13249728_1806523272911959_1570283627_n.jpg
We baba unajiaibishaaaaaa Sasa hii ni degree???? ...nimechekaaaaaa Huyu Kweli Le mburulaz .. Tuseme cheti ni cha Kweli sio feki hii ni degree Sasa??? Kwa Marekani hii inaitwa associate degree Tena ya community college wala sio ya chuo kikuuuuu... Kwa bongo ni Sawa na advanced diploma. Sasa Ndo hi unawaambiaga watu una degree sijui ya criminology?? Degree ya Marekani unaichezea wewe?? degree ya Marekani unayo Unadhani ungekuwa unaendesha magari ya kunyonya mavi Marekani na ulivyopandishwa daraja ukaanza kuendesha magari ya Taka? Mtu mwenye degree ya mmarekani anaendesha gari za kuzoa Taka?? Jiheshimu we mzeeeeeee. Kwendraaaaaaa.. By the way vyeti is nothing watu wana vyeti vya Harvard na hawajui hata Harvard iko state gani? . Umeombwa graduation photos, Au Utuambie ndugu na marafiki waliokujaga kwenye graduation zako... au wewe mwenzetu vyeti ulipokeaga Posta???
 
- hahahahahahahah Instagram ina safari yangu nzima ya South Africa hakuna kilichofichwa hata kimoja, nilienda mwenyewe Johannesburg na nikafikia Maslow Hotel, siku nilipofika Kinje alinialika nyumbani kwake jioni tukachoma nyama nilirudi Hotelini kwangu nikaungana na Mshikaji wangu Mo na kina Petitman,

- Sikumuona tena Kinje mpaka naondoka kesho yake nikakutana na Kampuni ya Glenfiddich Whiskey kama nilivyopanga nao Tarehe 19 nikarudi, hizi habari ni za Isntagaram sasa naona yeye kazifanya kama vile yeye ni Spy zilikuwa siri please hahahahahaha poleni sana mnaomsikiliza this is a big joke

le Mutuz
Hahahaha mkuu mbona umekuja mapema kabla ya page kumi? Halafu swala la apartment haujalitolea ufafanuzi!

Hivi wewe na Mange mlikoseana nini?
 
- hahahahaha yale yale haya maswali ya nyumba nilishaulizwa kwenye Interview na Mboni Masimba, ninazo Apartment 2 moja ninayoishi na nyingine Changombe, nyumba yangu Kinyerezi hahahahahahahaa poleni sana

le Mutuz Nation
Sasa kwanini usimshitaki Mange kwakukuchafua?
 
13249728_1806523272911959_1570283627_n.jpg
We baba unajiaibishaaaaaa Sasa hii ni degree???? ...nimechekaaaaaa Huyu Kweli Le mburulaz .. Tuseme cheti ni cha Kweli sio feki hii ni degree Sasa??? Kwa Marekani hii inaitwa associate degree Tena ya community college wala sio ya chuo kikuuuuu... Kwa bongo ni Sawa na advanced diploma. Sasa Ndo hi unawaambiaga watu una degree sijui ya criminology?? Degree ya Marekani unaichezea wewe?? degree ya Marekani unayo Unadhani ungekuwa unaendesha magari ya kunyonya mavi Marekani na ulivyopandishwa daraja ukaanza kuendesha magari ya Taka? Mtu mwenye degree ya mmarekani anaendesha gari za kuzoa Taka?? Jiheshimu we mzeeeeeee. Kwendraaaaaaa.. By the way vyeti is nothing watu wana vyeti vya Harvard na hawajui hata Harvard iko state gani? . Umeombwa graduation photos, Au Utuambie ndugu na marafiki waliokujaga kwenye graduation zako... au wewe mwenzetu vyeti ulipokeaga Posta???
Teh Teh...
 
13266803_647270042088262_1674419956_n.jpg
zee vipi bio yako inasema unayo degree BS Marine engineering we baba una mchezo wewe engineering unaijua wewe? Unadhani ni rahisi Kama mabebez Ziko wapi hizo degree?? na Hiyo degree ya criminology iko wapi?? Au Ndo ile diploma ya police academy sijui ushuzi gani ndo Hiyo ulimaanisha bachelor of criminology
 
13269333_600559363442397_219513603_n.jpg
e mburulaz amekutwa Posta anatoa copy vyeti Sasa sijaelewa nahisi alikuwa ana tengeneza sio anatoa copy maana copy ya nini ???
 
Mambo ya Apartment tuache hii ya Kinje na Riz ndio mada kuuu.
 
..endelea uzuri mnajuana!
namjua le mutuz ni mtu super sana kweli sijapendezwa na udhalilishaji aliofanyiwa na huyu mke wa mzungu...
le mutuz ni mtu wetu sana wadada wakareee tunamjua...yaani hyu mange ipo siku tu simpendi hata kidogo yaani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom