Mange Kimambi yumo humu JF....

Mange Kimambi yumo humu JF....

Hhahahaa akikuskia atakuchamba wik nzima ...na id yako ataipata na picha yakijjn kwenu atakua nayo....simpendi jmn yule mdd mbeeeea km nn cjui
Mnamwona mungu mtuu
 
Leo hii ukiwa mtu wa matusi matusi unaogopwa sana hata na wababa watakuogopa tu ilihali we…mwanamke
 
Nina mashaka na chanzo chako cha taarifa. Mange Kimambi amesoma UDSM kiwango cha shahada ya kwanza(Bachelor degree) miaka 2002 hadi 2006 hapo katikati. Kuna watu wamesoma nae humu watakuja kutuambia exactly alisoma lini na kozi gani kwa miaka mingapi.
Hahahaha, Labda shahada ya umbeya
 
yule dada analaana kuna kipindi alikuwa anasapport ushoga uje tz nikaandika comments kumbe aliisoma bhna kilichofata mamamamamam ctaki kumbuka ila cha kwanza alinipiga bonge la komeo mpk leo sina hamu nae
 
9e260cb78016a276bd98a6426ac10b1b.jpg



Madongo yake yote hua anayapata....


Limemchoma hilo, msome tu humu utamuelewa.
 
Masters hata polytenic college manzese unaipata...

Narudia.. Mange hana kichwa cha kuingia udsm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mshaambiwa ikikuuma sana una meza wembe alafu maisha yanasongaaaaa msonyooooooo
 
acheni masihara jamani mnasema mange kasoma Makerere University?
 
Back
Top Bottom