Mwenzangu! Naona anataka tusilale bila kumeza headaxe leo...
Mimi hadi comments kwa mange nimeshindwa kusoma kwakweli, hili la leo sio gazeti bali ni novel!
Nimeattach...
Nimeona dear, pole kwa tatizo la network naona kwenye hizo screen shots iko low sana, utakua unatumia tigo bila shaka.
Ila mbona chagga kaongea kwa upole sana? Au anaogopa ile picha ya ....... isiwekwe nini?Lol
Andika basi japo kwa ufupi jamani! Maana kuna watu wanawatetea kua ni watu wema!
Jamanii Mrembo by Nature leta basi screen shot za chaga bibi tuone ,Nami ashaniblock hhhhaaaaa
Siku hiz mange ananifurahisha jamaniii japo Ana mapungufu yake lakin pia Ana mazuri yake,halaf haogopi wala hajalii,
Urafiki wetu sie wanawake lazima mgombaneeee tuu sijui kwanini tuna wivu,chuki,husuda,umbea,
Bora kukaa kivyako vyako tu
Yani huyu kwa kuandika gazeti hajambo. Urafiki wa wanawake zaidi ya watatu hugeuka umbea na kusemana semana kusiko na kichwa wala miguu. Kugombana hakuepukiki huyu atapeleka lile abadilishe maneno. Ushosti wa wanawake wengi siupendi kabisa.
Itabidi akumbuke woteeeee lazima wanafika kwenye mamia
Atarudi tu
Ngoja tusome kwanza
Eeish, Ms.Lincoln kuna sehemu niliyosema sisi ni wema? Huu ni umbea tu kama umbea mwingine.
Naona umechukulia serious sana hili .Sikumtuma Mange akaandike kuhusu hili suala.
Mambo yako hadharani mwenye kuona keshaona.
Kweli aisee katika maisha yangu ushosti siuendekezi kabisa nina best wawili tu na hawajuani na ibaki hivyo. Maana umbea siuwezi. Wanawake hatunaga siri
Unajua tunapokaa na kujadili facts za watu ni raha sana.Napenda umbeya, ila siwezi kuvuka ile limit ya kibinadamu kushangilia ghiliba linalompata mwenzangu kisa umbeya?
Watu mnakazana kusema eti wadada wa mujini sijui wana roho mbaya siri zao zimefichuka! !
Wengine hapo wala sio celebrities ni watu wa kawaida tu.
Ujue pale akiwepo ndugu yako mmoja unaweza kunielewa.
Hili swala limegubikwa na WIVU,KIJIBA CHA ROHO NA HUSDA
Mie sioni kama Mange ni jasiri.Namwona kama mzandiki.
Serious wanawake tunajishushia sana heshima.Yani mie nimsifu mtu kama huyo ambaye mada zake nyingi ni personal na huwa anatoa maalumu kwa ajili ya kuumiza hisia za watu.
Tofauti sana na Global.
Yani ni sawa Emelda Mtema ator udaku afu aingize na hisia zake na chuki juu ya mlengwa?
Kama umbeya ndo huu, this is madness.
We are all human beings, not perfect at all.Unajisikiaje mtu anapokuanika kwa imperfection zako kisa uliwahi kuwa rafiki uake au ulikwaruzana naye tu.Unatukanwa wewe na ukoo wako na rafiki wa karibu kisa mkwaruzano huo?!
Mange siwezi kumsifu abadani, nyie wenzangu endeleeni kumtukuza tu
Unajua tunapokaa na kujadili facts za watu ni raha sana.Napenda umbeya, ila siwezi kuvuka ile limit ya kibinadamu kushangilia ghiliba linalompata mwenzangu kisa umbeya?
Watu mnakazana kusema eti wadada wa mujini sijui wana roho mbaya siri zao zimefichuka! !
Wengine hapo wala sio celebrities ni watu wa kawaida tu.
Ujue pale akiwepo ndugu yako mmoja unaweza kunielewa.
Hili swala limegubikwa na WIVU,KIJIBA CHA ROHO NA HUSDA
Mie sioni kama Mange ni jasiri.Namwona kama mzandiki.
Serious wanawake tunajishushia sana heshima.Yani mie nimsifu mtu kama huyo ambaye mada zake nyingi ni personal na huwa anatoa maalumu kwa ajili ya kuumiza hisia za watu.
Tofauti sana na Global.
Yani ni sawa Emelda Mtema ator udaku afu aingize na hisia zake na chuki juu ya mlengwa?
Kama umbeya ndo huu, this is madness.
We are all human beings, not perfect at all.Unajisikiaje mtu anapokuanika kwa imperfection zako kisa uliwahi kuwa rafiki uake au ulikwaruzana naye tu.Unatukanwa wewe na ukoo wako na rafiki wa karibu kisa mkwaruzano huo?!
Mange siwezi kumsifu abadani, nyie wenzangu endeleeni kumtukuza tu