Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mwenzangu! Naona anataka tusilale bila kumeza headaxe leo...
Mimi hadi comments kwa mange nimeshindwa kusoma kwakweli, hili la leo sio gazeti bali ni novel!

Nimeattach...
 
and the list goes on,what about that woman wanted to kill herself?hapo anakaribia kufikisha 30 watu aliogombana nao.but she forget that alikua akigombana na mmoja wa hao 30 anatukana the whole family members,husband watoto etc.30x let say 5=150 enemies.She think that can go away just easy like that?this woman has a very bad end.And the thing is that end is here and haunting her now.We mtu unakaa unaandika ku-explain umbea this how many pages huna kazi.maisha gani anaishi huyu mama?
And the thing is she cant apologise that why she come with this apology from the behind door.
By the way lets count days,i never feel sorry for this woman.theres many heart she hurt and theyre still crying from her poison.
Only the latest Nakaaya and her sister.
 
warumi hii ni nini... Tafuta pa kuiweka plz
 

Attachments

  • 1433358110711.jpg
    33.1 KB · Views: 708
Last edited by a moderator:
Nimeona dear, pole kwa tatizo la network naona kwenye hizo screen shots iko low sana, utakua unatumia tigo bila shaka.

Ila mbona chagga kaongea kwa upole sana? Au anaogopa ile picha ya ....... isiwekwe nini?Lol

Hahaha hahahaha... Asante dear.. Na hapa natumia Voda.. Nipo bush huku..

Chezea vichambo ww... Hahahaha hata mi nimeshangaa sana aisee.. Machachari yoooote ya chagga leo hamna
 
warumi hii ni nini... Tafuta pa kuiweka plz

Nimejaribu kuunga dots nimeshindwa kujua anayemtumia messages mume wa uwoya ni nani.
Ngoja wambea wengine waje huenda tukajua.
 
Last edited by a moderator:

Nyie marafiki zenu huwa mnaokota wapi?
 
Last edited by a moderator:
Yani huyu kwa kuandika gazeti hajambo. Urafiki wa wanawake zaidi ya watatu hugeuka umbea na kusemana semana kusiko na kichwa wala miguu. Kugombana hakuepukiki huyu atapeleka lile abadilishe maneno. Ushosti wa wanawake wengi siupendi kabisa.

Kweli aisee katika maisha yangu ushosti siuendekezi kabisa nina best wawili tu na hawajuani na ibaki hivyo. Maana umbea siuwezi. Wanawake hatunaga siri
 
Eeish, Ms.Lincoln kuna sehemu niliyosema sisi ni wema? Huu ni umbea tu kama umbea mwingine.
Naona umechukulia serious sana hili .Sikumtuma Mange akaandike kuhusu hili suala.
Mambo yako hadharani mwenye kuona keshaona.

Unajua tunapokaa na kujadili facts za watu ni raha sana.Napenda umbeya, ila siwezi kuvuka ile limit ya kibinadamu kushangilia ghiliba linalompata mwenzangu kisa umbeya?
Watu mnakazana kusema eti wadada wa mujini sijui wana roho mbaya siri zao zimefichuka! !
Wengine hapo wala sio celebrities ni watu wa kawaida tu.
Ujue pale akiwepo ndugu yako mmoja unaweza kunielewa.
Hili swala limegubikwa na WIVU,KIJIBA CHA ROHO NA HUSDA
Mie sioni kama Mange ni jasiri.Namwona kama mzandiki.
Serious wanawake tunajishushia sana heshima.Yani mie nimsifu mtu kama huyo ambaye mada zake nyingi ni personal na huwa anatoa maalumu kwa ajili ya kuumiza hisia za watu.
Tofauti sana na Global.
Yani ni sawa Emelda Mtema ator udaku afu aingize na hisia zake na chuki juu ya mlengwa?
Kama umbeya ndo huu, this is madness.
We are all human beings, not perfect at all.Unajisikiaje mtu anapokuanika kwa imperfection zako kisa uliwahi kuwa rafiki uake au ulikwaruzana naye tu.Unatukanwa wewe na ukoo wako na rafiki wa karibu kisa mkwaruzano huo?!
Mange siwezi kumsifu abadani, nyie wenzangu endeleeni kumtukuza tu
 
Last edited by a moderator:

Mumeo kapata MWANAMKE na MKE.
Hongera sana.
 

Ni vizuri kutoleana vinyongo, km waliotajwa hawana kinyongo na wao wacha wajieleze.
Si rahisi kwakwa Mange kumpigia cm kila mmoja waanze kujadili sababu kila mtu atajitetea kuwa si yy na watakuwa wanarushiana mpira na isitoshe group ni kubwa. Nimempenda starlisha kasema ukweli wake na hata Rachel hakuwa mnafki pia.
Ila ni vizuri kusafiana nia.
Yy Mange si perfect, wala ww wala mm yani kila mmoja na mapungufu yake ila kila mtu na alivyojaaliwa akili katika ku deal na vitu. Wengine watanyamaza, wengine watasutana wengine na wengine ni km Mange.

Ila sio vizuri to come to conclusion about people all the time that they are bad people or because they have been nasty to others,that means they can't change.
Life is too short, it's good to come clean and being honest to each other.
 
:-πŸ™‚-πŸ™‚-πŸ™‚-πŸ™‚-(
 

Attachments

  • 1433363230657.jpg
    15.3 KB · Views: 479
hivi huyu nae ana bwana?asee huyu hata ukinipa bure sichukui..mwananke kama kasuku kazi chuki na umbea..pumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…