Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Weraaaaa!! ,tutawakomesha sana wale wanaojifanya hawapendi umbea, ila thread unakuta ina viewers 3k au 9k ,sasa najiuliza hawa watu wote wametokea wapi wakati wapigaji umbea ni wale wale na tunao.coment humu wote wanajulikana, nikaja kujua kumbe umbea ni ugonjwa wa taifa binamu, yani tutawakomesha manina mpaka wakome
Ndio hao hao umewapa lao haswaaaa wanasoma udaku wakimaliza kwa kunogewa wanafika mwishoni wanatamani zaidi, wanaona ngoja warushe kikomenti eti wengine wanapenda udaku...uwa nachekaga maana hawawezi sema kama hawakusoma...lol
Na watakoma kweli kuna watu wapenda ubuyu ila hawataki kuonekana. Asilimia kubwa ya wabongo wanapenda umbea sana tu.
Binamu ndo nini kuniacha kwenye mataa ya karume siyo vizuriMi nawashauri waje tu, unajua watu wanajishtukia kuja ku comment, unakuta sijui ana baby wake humu so akimuona anapiga umbea atamshusha so wanaona soo wakati umbea wanaupenda sana, wajiachie tu siku izi kila mtu anapiga umbea, kwanza unaleta afya na kukupunguzia maumivu na stres, hadi watu wazima wanapenda umbea, watakufa bure uko
Uwa siku nikikosa kazi kule insta uwa napekua account za mastaa wale wenye hadhi zao yani wanaheshimika, naangalia watu walio wafollow, jamani binamu mpaka unashangaa, unakuta mtu anaheshimika anawa follow watu wanaotukana matusi mazito, unakuta account imeandikwa flan kumam*yo mtu ana follow, yani nachekaga kweli, halafu sio mtu mmoja aliye mfollow, watu kibao anawafolow wenye matusi, nachekaga jaman uwiii warumi mie mbeya aisehh, basi uwa nawaonea huruma kweli yani khaa
Mwenzangu umbea una raha yake na ni afya
Weraaaaa!! ,tutawakomesha sana wale wanaojifanya hawapendi umbea, ila thread unakuta ina viewers 3k au 9k ,sasa najiuliza hawa watu wote wametokea wapi wakati wapigaji umbea ni wale wale na tunao.coment humu wote wanajulikana, nikaja kujua kumbe umbea ni ugonjwa wa taifa binamu, yani tutawakomesha manina mpaka wakome
Binamu ndo nini kuniacha kwenye mataa ya karume siyo vizuri
Watu hawajui tu. Hivi hujiulizi ni kwanini Dogie masta kila akifungiwa account akifungua followers wengi wana mfata ni umbea. Tena wengine waheshimiwa wana account fake za kufata account za ajabu.
Wapi tena binamu? Napata shida kwenye notification, yan mtu akintag mpaka niende kwenye uzi ndo naona
hhaaahhhhhaaaaa
hhhhhaaahhhhaaass
hhaaahhhhhaaaaa
hhhhhaaahhhhaaass
Binamu binamu umbea mtamu asikwambie mtuKuna waheshimiwa flan iv na mastaa wenye heshima nilienda kupekua kwenye watu wanao wa follow (following ) khaa nikachoka, yani wana follow account za ajabu mpaka unashangaa, sasa unajiuliza huyu nae yamesibu yapi jaman? Account kabisa imeandikwa flan kumam*yo halafu mtu ana folllow, mbaya zaidi mtu huyo anayetukanwa ni rafik wa huyo staa ila mtu ana follow, umbea ni janga kama ukimwi tu, hauchagui mtu
Binamu binamu umbea mtamu asikwambie mtu
hahahhah uwiii binamu shauri yako.Mdomo koma mdomo utaniponza ujue? Mimi mwenyewe sijisikii vzur kwa kweli kuna kitu kimenikaba kooni, mwenzangu ni k -lyn binamu, eh ntakufa buree ,kutunza siri siwezi mie
Binamu binamu umbea mtamu asikwambie mtu
Hahahahahahahahaha na ukiukosa unasononeka kama umepoteza Tanzanite vileKuna zile breaking news ukizipata mtu unachanganyikiwa, unataman uwe wa kwanza kutoa taarifa yani, roho inapaa nakwambia khaa mbili haikai wala tatu yani balaa tupu
Breaking news iliyovunja rekodi kwangu ni pale lulu alipofunga account yale, halafu watu wanampa pole, jaman nilichanganyikiwa warumi mie, nahangaika uku na kule kutaka kujua kunani, watu walinipigia simu siku hiyo sijawahi kuona, kila mtu ananitegemea mimi nitakuwa najua habar, basi najitutumua kutafuta umbea mpaka basi, nikipata roho kwatu.
Kuna zile breaking news ukizipata mtu unachanganyikiwa, unataman uwe wa kwanza kutoa taarifa yani, roho inapaa nakwambia khaa mbili haikai wala tatu yani balaa tupu
Breaking news iliyovunja rekodi kwangu ni pale lulu alipofunga account yale, halafu watu wanampa pole, jaman nilichanganyikiwa warumi mie, nahangaika uku na kule kutaka kujua kunani, watu walinipigia simu siku hiyo sijawahi kuona, kila mtu ananitegemea mimi nitakuwa najua habar, basi najitutumua kutafuta umbea mpaka basi, nikipata roho kwatu.
Binamu binamu umbea mtamu asikwambie mtu
Weraaaaa!! ,tutawakomesha sana wale wanaojifanya hawapendi umbea, ila thread unakuta ina viewers 3k au 9k ,sasa najiuliza hawa watu wote wametokea wapi wakati wapigaji umbea ni wale wale na tunao.coment humu wote wanajulikana, nikaja kujua kumbe umbea ni ugonjwa wa taifa binamu, yani tutawakomesha manina mpaka wakome
Hahahahahahaaa ni hivi basi tu lakini I wish ungekua hata rafiki yangu nje ya JF ila binamu wewe mbea sana!
Hata hivyo 1 day nitakuona tu Inshaallah...