Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?



hhhhhhhhaaaaaaa jamaniii hadi majii warumi njoo ucheke
 
Last edited by a moderator:
Diva Devota wamegombana nini? Maana kaenda LA lakini hata kuonana hawajaonana wakati alikuwa anatuma corset dukani kwake
 
labda za eskrow zangu kabisaaaaa au??hhheeeeeehhee

Eeh uwe unatukatia kabisa na tiketi za ndege tuje kupiga umbeya.
Ila duu tusijuane tu maana tukijuana fulluu kufunguliana miuzi ya kuchafuana
Koh koh koh!
 
Jamani TATIANA mbona hiyo app inazingua kujiunga? Mara niambiwe nichague sandwich sijui nini...😡😡🙂
 
Last edited by a moderator:
Eeh uwe unatukatia kabisa na tiketi za ndege tuje kupiga umbeya.
Ila duu tusijuane tu maana tukijuana fulluu kufunguliana miuzi ya kuchafuana
Koh koh koh!


teh teh teh itakua balaaaaa mkishakua group kubwa urafiki lazima mkosane tuuuu,tukichafuana jukwaa litachangamka
 
Karibuni katika group la "Ladies wa Social Media" lililofunguliwa dakika chache zilizopita nimewasoma nikaamua kulifungua, je umepata invitation? Nimewatumia chekini

KAMA HAUJAPATA MWALIKO ANDIKA HAPA

NATANGULIZA SHUKURANI NYINGI NI WAZO ZURI ALIYELETA MADA YA HILI.
 
Hujanipa mwaliko
 
Mume yupi unayeongelea? Mange hana mume ndio maana kichaaa kinazidi kupanda, yaani sasahivi ndio wakati ambao anawahitaji sana marafiki zake but ndio keshanyea kambi.Stress kibaooooo huoni mzungu alivyofuga midevuuuuu
 
Mume yupi unayeongelea? Mange hana mume ndio maana kichaaa kinazidi kupanda, yaani sasahivi ndio wakati ambao anawahitaji sana marafiki zake but ndio keshanyea kambi.Stress kibaooooo huoni mzungu alivyofuga midevuuuuu

Na rangi za nguo kumekucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…