Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Ndio basi tena, wale waanzisha id's mpya kila siku imekula kwao.
Tunataka wambea tu, hatutaki mamluki.
Haya niambie ulichotaka kusema kwanza.
Ahahah wewe binamu una vituko ujue? Utanifanya nikuote kwa kweli, khaaa, sikupatii picha kwanza ilo pozi ulilomuwekea, ebu atueleze anataka nn kwanza
Ndo yale yale niliyokuwa namwambia mzurimie na Diva Beyonce, yeye kajuaje kama humu tunashinda 24/7 kama hatushindagi wote? Jamani huyu ananivunja mbavu ujue apa
Ndo kuna watu wa aina hyo anajuaje kuwa twashinda JF ka yeye huwa hashindi Jf.
Wewe nae hebu tutokee hapa.Huo ushauri wako kawape binti/mke au dada zako.
Sisi tunakuhusu nini? Halafu hao wanaume wala hatuna shida nao.
Labda nijiongelee mimi mwenyewe.Sina shida ya mwanaume maana ninae ninaempenda nae vilevile.
Halafu usichukulie haya mambo serious sana ndugu, umejua vipi niko humu 24/7 hours kama nawe hushindi humu?
Nadhani nimekujibu vyema maana sijakutukana.
Mume yupi unayeongelea? Mange hana mume ndio maana kichaaa kinazidi kupanda, yaani sasahivi ndio wakati ambao anawahitaji sana marafiki zake but ndio keshanyea kambi.Stress kibaooooo huoni mzungu alivyofuga midevuuuuu
Apo tu binamu, yani nitamnyea huyu mbwa leo na ivi sijapeana madongo siku nyingi
Hahahahahaaa warumi kwakweli itabidi urafiki wetu uishie huku JF tu.
Maana usijenivunjia ndoa yangu bure, nimekuogopa!
Sina gazeti wala ukurasa yakhe, wala mm cyo spy ni mkulima tuuu wa nyanya huku kijijin ila napenda kusoma hbr za mjini jaman
Kuna nyumba nilipangaga, kuna dada mmoja nae alikuwa mbea jaman, ilitokea akanipenda, basi wapangaji wenzetu wakawa wanatuchukia kweli mpaka tukapewa notsi ya kuhama nakwambia,yani ilikuwa shidaaa watu hawana amani na ndoa zao, sema uzuri tulikuwa wakweli, tukimkuta mtu njian na mchepuko atakavyochanganyikiwa maana anajua habar ishafika kwa mumewe,yan ni shidaaa
Mume yupi unayeongelea? Mange hana mume ndio maana kichaaa kinazidi kupanda, yaani sasahivi ndio wakati ambao anawahitaji sana marafiki zake but ndio keshanyea kambi.Stress kibaooooo huoni mzungu alivyofuga midevuuuuu
Sasa ukitaka kujua ataanza kuokota makopo soon angalia kaisha anza kufunguka juu ya babake nam quote "2months before my dad killed himself" siku zote anakataa babake hakujiua leo kasema sasa next atasema babake alivyoliwa kiboga! Kawa chizi usicheze na kutukana watu wengi kiasi kile kuna watu hawachezewi hovyo hovyo
Awaombe radhi wote aliowadhalilisha mana wengi wamemunenea maneno mabaya na huumba. Ataishia vibaya kuna wengine watu ni wabaya hawachezewi.
Kuna zile breaking news ukizipata mtu unachanganyikiwa, unataman uwe wa kwanza kutoa taarifa yani, roho inapaa nakwambia khaa mbili haikai wala tatu yani balaa tupu
Breaking news iliyovunja rekodi kwangu ni pale lulu alipofunga account yale, halafu watu wanampa pole, jaman nilichanganyikiwa warumi mie, nahangaika uku na kule kutaka kujua kunani, watu walinipigia simu siku hiyo sijawahi kuona, kila mtu ananitegemea mimi nitakuwa najua habar, basi najitutumua kutafuta umbea mpaka basi, nikipata roho kwatu.
Wewe nakuonaga lakini.....inabidi tujiridhishe kwanza kama na wewe ni mbea au lah.
Kwakweli itabidi niingie kazini kama detective nichunguze wambea wote wanaotaka kujiunga, nikijiridhisha basi ruksa kujiunga.
Note:Hatutaki watu wa kusoma umbea tu, tunataka watu wa kushirikiana nao katika umbea.
Wewe nakuonaga lakini.....inabidi tujiridhishe kwanza kama na wewe ni mbea au lah.
Kwakweli itabidi niingie kazini kama detective nichunguze wambea wote wanaotaka kujiunga, nikijiridhisha basi ruksa kujiunga.
Note:Hatutaki watu wa kusoma umbea tu, tunataka watu wa kushirikiana nao katika umbea.
mabinamu na mie mnikumbuke kwenye grup hiloooooo
Pls pls usituletee watu tusiowajua.Naomba member wote wanaotaka kujiunga wawekwe hadharani watu tuseme kama tunamjua au lah.
Tunataka uhuru hatutaki unafiki wa huku.