Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Ndio basi tena, wale waanzisha id's mpya kila siku imekula kwao.
Tunataka wambea tu, hatutaki mamluki.

Na hao new I'd kumbe wenyeji ndo waharibifu sasa. Nadhani group la waliozeleka litakua more better.
 
Haya niambie ulichotaka kusema kwanza.

Ahahah wewe binamu una vituko ujue? Utanifanya nikuote kwa kweli, khaaa, sikupatii picha kwanza ilo pozi ulilomuwekea, ebu atueleze anataka nn kwanza
 
Ahahah wewe binamu una vituko ujue? Utanifanya nikuote kwa kweli, khaaa, sikupatii picha kwanza ilo pozi ulilomuwekea, ebu atueleze anataka nn kwanza

Hivi na mimi nimesahaulika kwenye hilo group Au?
 
Last edited by a moderator:
Wewe nae hebu tutokee hapa.Huo ushauri wako kawape binti/mke au dada zako.
Sisi tunakuhusu nini? Halafu hao wanaume wala hatuna shida nao.

Labda nijiongelee mimi mwenyewe.Sina shida ya mwanaume maana ninae ninaempenda nae vilevile.
Halafu usichukulie haya mambo serious sana ndugu, umejua vipi niko humu 24/7 hours kama nawe hushindi humu?

Nadhani nimekujibu vyema maana sijakutukana.

Haaaaaa haaaa haaaaa nifah katika ubora wake..mbavu zangu mie!
 
Last edited by a moderator:
Mume yupi unayeongelea? Mange hana mume ndio maana kichaaa kinazidi kupanda, yaani sasahivi ndio wakati ambao anawahitaji sana marafiki zake but ndio keshanyea kambi.Stress kibaooooo huoni mzungu alivyofuga midevuuuuu

Namzungumzia Devota Diva
 
Hahahahahaaa warumi kwakweli itabidi urafiki wetu uishie huku JF tu.
Maana usijenivunjia ndoa yangu bure, nimekuogopa!

Kuna nyumba nilipangaga, kuna dada mmoja nae alikuwa mbea jaman, ilitokea akanipenda, basi wapangaji wenzetu wakawa wanatuchukia kweli mpaka tukapewa notsi ya kuhama nakwambia,yani ilikuwa shidaaa watu hawana amani na ndoa zao, sema uzuri tulikuwa wakweli, tukimkuta mtu njian na mchepuko atakavyochanganyikiwa maana anajua habar ishafika kwa mumewe,yan ni shidaaa
 
Last edited by a moderator:
Sina gazeti wala ukurasa yakhe, wala mm cyo spy ni mkulima tuuu wa nyanya huku kijijin ila napenda kusoma hbr za mjini jaman

Usipate tabu post unazochangia zitatueleza zaidi. Usiende edit tutaona tarehe
 
Kuna nyumba nilipangaga, kuna dada mmoja nae alikuwa mbea jaman, ilitokea akanipenda, basi wapangaji wenzetu wakawa wanatuchukia kweli mpaka tukapewa notsi ya kuhama nakwambia,yani ilikuwa shidaaa watu hawana amani na ndoa zao, sema uzuri tulikuwa wakweli, tukimkuta mtu njian na mchepuko atakavyochanganyikiwa maana anajua habar ishafika kwa mumewe,yan ni shidaaa

Hahahahahahahahahahaha Warumi
 
Hahahahahaaa warumi kwakweli itabidi urafiki wetu uishie huku JF tu.
Maana usijenivunjia ndoa yangu bure, nimekuogopa!

Halafu mtu mbea ata umpe laki moja akufichie siri yako hawezi, mwisho wa siku lazima aseme tu, haha ahaha
 
Last edited by a moderator:
Mume yupi unayeongelea? Mange hana mume ndio maana kichaaa kinazidi kupanda, yaani sasahivi ndio wakati ambao anawahitaji sana marafiki zake but ndio keshanyea kambi.Stress kibaooooo huoni mzungu alivyofuga midevuuuuu

Sasa ukitaka kujua ataanza kuokota makopo soon angalia kaisha anza kufunguka juu ya babake nam quote "2months before my dad killed himself" siku zote anakataa babake hakujiua leo kasema sasa next atasema babake alivyoliwa kiboga! Kawa chizi usicheze na kutukana watu wengi kiasi kile kuna watu hawachezewi hovyo hovyo
 
Sasa ukitaka kujua ataanza kuokota makopo soon angalia kaisha anza kufunguka juu ya babake nam quote "2months before my dad killed himself" siku zote anakataa babake hakujiua leo kasema sasa next atasema babake alivyoliwa kiboga! Kawa chizi usicheze na kutukana watu wengi kiasi kile kuna watu hawachezewi hovyo hovyo

Awaombe radhi wote aliowadhalilisha mana wengi wamemunenea maneno mabaya na huumba. Ataishia vibaya kuna wengine watu ni wabaya hawachezewi.
 
Awaombe radhi wote aliowadhalilisha mana wengi wamemunenea maneno mabaya na huumba. Ataishia vibaya kuna wengine watu ni wabaya hawachezewi.

Hawezi anajiona mbabe wakati hana loloote eti Lowassa anaugonjwa kama wa Mohamed Ali hajui Mohamed Ali kawa hivyo sababu alikuwa anaruhusu kupigwa ngumi za uso mtu anaejua boxing atakwambia yeye anawadanganya hao misukule wake eti ni ugonjwa sawa na wa Mohamed Ali! Na bado kuna watu wanamuona ana akili timamu kabisa.
 
Kuna zile breaking news ukizipata mtu unachanganyikiwa, unataman uwe wa kwanza kutoa taarifa yani, roho inapaa nakwambia khaa mbili haikai wala tatu yani balaa tupu

Breaking news iliyovunja rekodi kwangu ni pale lulu alipofunga account yale, halafu watu wanampa pole, jaman nilichanganyikiwa warumi mie, nahangaika uku na kule kutaka kujua kunani, watu walinipigia simu siku hiyo sijawahi kuona, kila mtu ananitegemea mimi nitakuwa najua habar, basi najitutumua kutafuta umbea mpaka basi, nikipata roho kwatu.

Hahahaaa noma sana!
 
Wewe nakuonaga lakini.....inabidi tujiridhishe kwanza kama na wewe ni mbea au lah.
Kwakweli itabidi niingie kazini kama detective nichunguze wambea wote wanaotaka kujiunga, nikijiridhisha basi ruksa kujiunga.

Note:Hatutaki watu wa kusoma umbea tu, tunataka watu wa kushirikiana nao katika umbea.

Sometimes nashindwa
Nabaki kusoma tu mtandao shida si wajua vijijini ...
 
Wewe nakuonaga lakini.....inabidi tujiridhishe kwanza kama na wewe ni mbea au lah.
Kwakweli itabidi niingie kazini kama detective nichunguze wambea wote wanaotaka kujiunga, nikijiridhisha basi ruksa kujiunga.

Note:Hatutaki watu wa kusoma umbea tu, tunataka watu wa kushirikiana nao katika umbea.

Hilo kundi halitadumu
 
Pls pls usituletee watu tusiowajua.Naomba member wote wanaotaka kujiunga wawekwe hadharani watu tuseme kama tunamjua au lah.
Tunataka uhuru hatutaki unafiki wa huku.

Unakuta nyaningabu naye anajoin, hakyanani nitapinga mpaka mahakamani.
 
Back
Top Bottom